Mjadala wa kitaifa: Tuziainishe faida na hasara za uraia-pacha (dual citizenship) kwa Tanzania yetu

Ushamba wako ndiyo unakuongoza. Jaribu kusafiri au hata kufanya reserch nchi nyingine uone mambo yalivyo.
 
Biden yupo better kumlinganisha na Trump?.

Naongelea kukubalika kwake na ile overall efficiency.
 
Mnadiss ujamaa as if ni mfumo mbovu kwa 100%.

Mna akili za kipumbavu sana. Na hii ni kwasababu hamjawahi kuuishi ubepari 100%.

Msichokijua hata huko kwa mabepari bado kuna practice kadhaa za kijamaa.
 
Mnadiss ujamaa as if ni mfumo mbovu kwa 100%.

Mna akili za kipumbavu sana. Na hii ni kwasababu hamjawahi kuuishi ubepari 100%.

Msichokijua hata huko kwa mabepari bado kuna practice kadhaa za kijamaa.
Pole kwa kukukwaza. Lakini ndio ukweli wenyewe, hatujaipokea dunia pana kwa kigezo cha usisi wetu kuwa shakani kama tukijichanganya.

Ubepari ni unyama kwa mujibu wa malezi yetu ya kisiasa lakini dunia hubadilika na sisi tunapaswa kuondokana na hiyo mitazamo ya kilofa.
 
Mpaka sasa bila bila. Hakuna mTanzania awaye yote ambaye ana uraia anazuiwa kuwekeza nyumbani. Ukiwa na uraia wa nchi nyingine, ili mradi una damu ya kiTanzania unawekeza bila wasi wasi wowote. Hiyo kusema huwezi kuwekeza ni kujengeana na kueneza hisia za hofu.
 
Mkubwa watu hawataki ku risk investment yao kwa huruma au mazoea. Wanachohitaji ni uhakika wa Kisheria ama kwa dual citizenship au residence permit yenye hadhi ya kufanya investment bila bugudha.
 

Mie nafikiri wasomi wetu wanasheria ndo wanatuangusha kusema uraia pacha hauruhusiwi Tanzania, kitu kinachopelekea hata police wetu kuanza kuandama watu ndivyo sivyo.

Uraia pacha Tanzania naamini unaruhusiwa ktk katiba hii hii ila tu haijapata mtu wakuitaka mahakama ielezee kwa undani zaidi. Nitachukua snap chache hapa kuonesha hilo.
Kinachotakiwa ni watanzania kurudishiwa haki yao, ambayo imebainishwa ktk katiba, ila watu ama ni ignorant ama kwasababu zao wanakomalia katiba hairuhusu. Wasomi wa sheria naomba mnitafsrie vifungu vya katiba hivi hasa ninapotilia mkazo.

Hii ya kwanza naelewa mimi kama mleyi kwamba mtu aliyeoa na akapata uraia wa huko anaruhusiwa kuendelea na uraia wa Tanzania-dual.


Na hapa chini pia
 
ili mradi una damu ya kiTanzania unawekeza bila wasi wasi wowote.

Unawekeza kama mwekezaji toka nje au kama mzawa wa TZ na mwenye haki zote kama raia wa TZ bila vibali vya foreign investor?
 
Write your reply...mimi siamini kabisa kama kuna diaspora mwenye uwezo wa kufanya uwekezaji wa maana.... wanalilia uraia pacha ili maisha yakiwashinda huko nje , warudishe majeshi nyumbani kama le mutuz... miaka 20 us karudi na dola 500 mgpgmqgrg
 
Unawekeza kama mwekezaji toka nje au kama mzawa wa TZ na mwenye haki zote kama raia wa TZ bila vibali vya foreign investor?

Hizo ni formalities tu. Wakiona jina la directors kama Sanga, Mwakighonjola, Mutahabwa, Kweka etc wala hawaendelei kukuuliza zaidi. Ni permits & rights unapaTa tu
 
Sasa ndugu yangu, wewe tatizo lako ni dharau kwa Diaspora(kama kufanya ligi vile),Vs wale waliobaki Tz.. kwamba uwezo wa 'diaspora' kuwekeza ni sifuri, au ni chuki yako tu kwa sababu watz hao wanaishi nje ya Tanzania..... Kaazi kwelikweli.....
 
Mkubwa watu hawataki ku risk investment yao kwa huruma au mazoea. Wanachohitaji ni uhakika wa Kisheria ama kwa dual citizenship au residence permit yenye hadhi ya kufanya investment bila bugudha.
Kibaya zaidi kila rais anakuja na approach tofauti kuhusiana na suala hili la watanzania wa diaspora kuwekeza kwao.

Kunakuwa na ile hali ya diaspora kusimangwa na kutazamwa kwa chuki kama vile wanaombewa kwa Mungu wanachotaka kukifanya TZ kishindwe kabla hata hakijaanzishwa.
 
Reactions: Tui
Hizo ni formalities tu. Wakiona jina la directors kama Sanga, Mwakighonjola, Mutahabwa, Kweka etc wala hawaendelei kukuuliza zaidi. Ni permits & rights unapaTa tu

Kumbe Unaongelea hisani na mazoea.

Mtu anayetaka kuwekeza kiasi cha kutosha hawezi kurisk kufanya biashara kwa kutegemea kudra na uzembe wa wabongo. Moreover, unajiumiza zaidi wewe mwenyewe kwa kufanya mambo kinyemela. Huwezi kufika mbali.

Fuatilia michango ya diaspora Kenya kabla na baada ya kuruhusu uraia pacha uone exponential increase of remittances. Leo hii banks za Kenya zinazunguka dunia nzima kuwaomba diaspora wawekeze KE na wao wanafanya hivyo sababu hakuna tena vikwazo.
 
"A very carefully curated mentality that keeps the masses blind, loyal, and bound for the benefit of the few"

Ukisoma Animal Farm utagundua mengi sana.
 
Kiukweli hata mie naona faida ni nyingi kuliko hasara kwa TZ. Kwa mfano ili uweze kuekeza au kumiliki ardhi TZ ni lazima uwe raia. Sasa fikiria diaspora wote wa TZ wataweza vipi kuekeza ? Au akija anakuja kama mtalii au inabidi afanye pirika ili aweze kukaa TZ, maana sio raia.

Nadhani wanasiasa wametizama maslahi yao binafsi na kuwatia watu khofu kama waarabu/mabeberu watarudi kuja kutawala 🤷‍♂️ Pure non-sense.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…