Mjamzito mie leo nilikuwa na hamu ya kula vitumbua....

Mjamzito mie leo nilikuwa na hamu ya kula vitumbua....

Ngoja nikuweke ignore list maana kuna comment kule nilikujibu kuwa uache kuja ma ID lundo humu JF. Wewe ni HR 66, The List, Joji pola, Yeezus, CURRICULUM, sasa Jumapili umefungua tena hii teketeke. Halafu kule nilikuambia hivi, katika watu ninaowachukia JF wewe ni namba moja, NAKUOMBEA UFE. Sijawahi kumuombea mtu kifo, lakini wewe nakuombea ugongwe na gari hata muda huu ufe hapo hapo hapo. NAKUCHUKIA SANA HR 66 ambaye kwa sasa umejiita teketeke
Mbona mama kijacho unafanya name calling?

Cc:
Moderator
 
Nahuja ni mwanamke wa kipare. Sifa yao moja ni utelezi uliotukuka na mimba ni chap chap kutokana na kuwa na kina kifupi chembamba.
Mkuu mtafute GENTAMYCiNE.anakuthibitishia kuwa huyu DUME.sijui kwanin kavurugwa siku hiz huyu mtu.yaan kama chizi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kweli kabisaaa,tabora unaweza kaa robo saa baa au grosary wahudumu wanakuangalia tu na wakija wanajivuta weee

Koromije soko kuu wakaka wachangamfu ila wamama wakorofi hawana sura ya kirafiki kabisa. Ukiulizia kitu nunua sio unaulizia hiki mara kile anakukata jicho huku kanuna
Hasa hapa kwetu kwenye jiji letu hili.
Pia mkoa wa Tabora hasa pale Tabora mjini nao pia kwenye biashara hawako vizuri hadi kwenye baa wahudumu hawajali wateja!!!
 
Hahaa. Mie sina hali kama yako ila umenikumbusha sehemu moja hivi nilienda kwa lengo la kununua maziwa yale ya jumla yanayotoka sehemu mbalimbali huwezi amini nimefika pale kumbe wale wachuuzi wadogo wameyanunua na wana wateja wao maalum nilipofika pale kila ninayemuuliza ananiambia SIUZI na ukiangalia maziwa wanayo.

Wanakera sana hao aisee sa sijui kuna shida gani kumjibu mtu kistaarabu na akawaelewa ni gharama gani. Inabidi wabadilike aisee.
Hujambo Hajar. Kumbe unapenda maziwa mama
 
Hahaaaa. Nimefurahi tu ulivyojitolea kwa moyo ili Hajar apate kunywa akipendacho lol.

ukhuty yuko busy na kupika cha jioni hivyo hapiti huku mida hii.

Sawa mikono nyuma uwe na jioni njema.
Poa ,siunajua wewe ni mke wa mtu na hapa tunaongelea ni uchochoroni yoyote akipita katufumania,mbaya zaidi unamuita na ukhuty [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji390]
 
Back
Top Bottom