Mjamzito mie leo nilikuwa na hamu ya kula vitumbua....

Sehemu zote zenye asili ya umwinyi wana hiyo tabia ya kuignore wateja. Tatizo wakishaingiza sh 2 3 wakala wakshiba wanaona wateja wote mafala tu.
 
Me namsubiri mtoto nikutumie pampers ila kuna wafanyabiashara sijui kwa nn wanapenda kudharau mteja hata kama ananunua kidogo pole NAHUJA
Kuna mmoja tunanunuaga chakula kwake. Unapiga simu saa tano mpaka saa tisa hajaleta chakula. Halafu ukienda anakwambia kimeisha. Na hapo katikati ni unapiga simu muda wote hapokei au anakwambia kinakuja. Jana nimepiga simu saa sita mpaka saa nane chakula hakiji. Nikamfuata anasema eti nilichoagiza kiliisha. Yani niliongea kwa hasira mpaka natetemeka. Napenda chakula chake ila siendi tena kwake na marafiki zangu nikawaambia tusiende tena. So kashapoteza wateja watano wa ofisini kwetu
 
Yaan sipati picha kama nakuona
 
Yaan sipati picha kama nakuona
Alinikera sanaa. Hela yangu bado uninyanyase nayo. Alinipigia simu dada blah blah nikamwambia endelea ila wateja wako wanakusema sana badilika. Kuna siku kuna dada alikuja akamwambia siku nikija hapa nimwagie mafuta. Sababu tu ya huduma zake mbovu.
 
Alinikera sanaa. Hela yangu bado uninyanyase nayo. Alinipigia simu dada blah blah nikamwambia endelea ila wateja wako wanakusema sana badilika. Kuna siku kuna dada alikuja akamwambia siku nikija hapa nimwagie mafuta. Sababu tu ya huduma zake mbovu.
Anakosea sana
 
Anakosea sana
Sana wakunyumba. Unajua niliuliza huyu mbona hivi nikaambiwa alikuaga hivyo zamani watu wakamuhama sasa hiv watu wamerudi tunaona kaanza tena.
Sasa kuna siku nimeagiza chakula kikaja wakampa mtu mwingine [emoji23][emoji23][emoji23]. Napiga simu chakula hakifiki wananiambia kaja ofisini kwako haupo. Jamani. Baadae naenda nawauliza vipi eti huyo niliemtuma alimkuta M akampa akajua ni wewe. Nilimuuliza tu kwani we ni mkichaa au mpumbavu usiejua kumjibu mtu inavyostahili. Ungesema tu nimempa mtu nitoe order ingine. Yule baba Mungu ambariki siku wateja wake waishe labda atajifunza kuvalue wateja wake.
 
Duuuhhh umefukua makabur
 
Nikiwa na hali kama yako ni kweli nilinyimwa virumbua ivyoivyo kwa kua vimenunuliwa vyote iliniuma sana.... Nilienda kushtak kwa mama mmoja alikasirika sana akachukia kabisa akasem alivyofanya si Sawa mjamzito hanyimwi chakula ..... Alimaanisha kua pengine hajala kutwa nzima akatamani icho chakula then unamyima c vizuri.... I

Ila uyo mama nilimchukia sana w vitumbua
 
Hadi leo unamchukia? hahahahhaha. Msamehe bwana
 
Naungana na wewe kumtakia kifo ila ningependa mfe wote.
 
Wafanyabiashara wengi ndivyo walivyo hasa pale wapatapo tenda kubwa au kua na wateja wengi wanaonunua bidhaa zao kwa wingi..inakera sana hii tabia..nimewahi dharauliwa hadi nikatamani kubidua karai la mihogo...WANAKERA HAWA WATOA HUDUMA..shubbaaaat!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…