Mjamzito mie leo nilikuwa na hamu ya kula vitumbua....

Pole sana...

Hao ambao hawana lugha nzuri ya kibiashara hata maeneo wanayofanyia hizo biashara siyo rasmin/halali...

Cc: mahondaw
Tatizo la huku Mwanza mfanyabiashara akiuza mfululizo basi anakuwa na dharau, hata kwenye baa wako hivyo hivyo
 
Wafanyabiashara wengi ndivyo walivyo hasa pale wapatapo tenda kubwa au kua na wateja wengi wanaonunua bidhaa zao kwa wingi..inakera sana hii tabia..nimewahi dharauliwa hadi nikatamani kubidua karai la mihogo...WANAKERA HAWA WATOA HUDUMA..shubbaaaat!
Bora Mungu alikusimamia hukubinua mihogo ya watu! hahahahahahahah si unajua tena hasira ni hasara
 
Huku mwanza woiii..ninaondoka mara kadhaa bila hata ya nilichofata. [emoji57][emoji57]
hahahahhaahhah, biashara inategemea na mazingira kuna mikoa mingine mfano Kilimanjaro wanajua sana kushawishi mtu hadi unanunua bidhaa zake lakini huku Mwanza uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!
 
Mie nimejifunza kupoint wauzaji wangu maalumu
80% ya wauzaji hawana kauli ya biashara na hawajui wanapoteza kiasi gani.

Wanaridhika na kitu kidogo sana wanavyoona wateja wawili watatu wanaamini wamemaliza kumbe wanaweza zaidi ya hapo.

Kiukweli wachuuzi ni tatizo sana kwenye kauli.
 
Sasa shogaa si bora unipe mie hiyo tenda
 
Jamani napenda wadada wenye mimba.
Njoo kwangu ukae hata wiki..
Lol
 
Kuna mwenzio alianzisha uzi wa KALA KITUMBUA AKATAPIKA hapo hapo kwenye kitumbua, mtafute akupa tips na kuepuka kutapika.
 
Kweli kabisa na sio siri wanahitaji kubadilika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…