utafiti
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 12,783
- 7,667
Habari wana jf, kuna ndugu mmoja wa familia yangu ni mjamzito ila anatatizo lakuumwa na kichwa sana mpaka anakua hajielewi, hua anatumia dawa za hospital, sijajua kama kuumwa huko kuna uhusiano wowote na mimba yake, kwa anaefahamau kidaktari zaidi;
Natanguliza shukrani
Natanguliza shukrani