Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
wanawake wengi wana uwehu, umesafiri tu analeta njemba ndani, hawa viumbe huwa na uwehu wa hatari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini sio haki? Yaani ukimaaniaha kwamba mwanamke mume akifa hatakiwi kutombwer au kuolewa tena?Kurithiwa akatae kabisa lakini pia kumleta mwanaume Kwenye nyumba uliyoachiwa na marehemu SI haki
Kichapiwa kupo pale pale browanawake wengi wana uwehu, umesafiri tu analeta njemba ndani, hawa viumbe huwa na uwehu wa hatari.
Anasikitisha sana, hao walikuwa wana mcheat mwamba hata kipindi yupo hai sasa wamepata nafasi ya kufanya yao live baada ya mwamba kuvuta. Wanawake walivyo na upendo wengi hubakiaga wajane hadi unauti nao unawakita ila haya ya siku hizi mume anakufa leo mwezi ujao ana bwanaLitakuwa JINGA. Hamna mwanaume hapo.
Vyote afanye lakini siyo Kwenye nyumba ya marehemuKwa nini sio haki? Yaani ukimaaniaha kwamba mwanamke mume akifa hatakiwi kutombwer au kuolewa tena?
Sasa kwani akitombwer kwa nyumba ya marehemu nini mbaya.Vyote afanye lakini siyo Kwenye nyumba ya marehemu
Uwe na asubuhi njemaSasa kwani akitombwer kwa nyumba ya marehemu nini mbaya.
Huyo mwanamke malaya malaya tu, wajane ambao walikuwa waaminifu na kuwapenda waume zao haswaa, huwezi kuta anaolewa tena au kuwa na mwaume mwingine. Huyo malaya huenda hata alikuwa ana mcheat mume wake kipindi yupo hai na huyo mwanaume wake mpya
Kabisa National, na Kama kashindwa kujizuia kibinadamu ana haki hiyo ila ni bora akaenda huko akafanywa ila si hapo kwa marehemu.Anasikitisha sana, hao walikuwa wana mcheat mwamba hata kipindi yupo hai sasa wamepata nafasi ya kufanya yao live baada ya mwamba kuvuta. Wanawake walivyo na upendo wengi hubakiaga wajane hadi unauti nao unawakita ila haya ya siku hizi mume anakufa leo mwezi ujao ana bwana
Sheria za Jamhuri zinaruhusu? Wosia wa marehemu unasema hivyo? Kaka mtu anaweza kusaidia bila kumla mke wa mdogo wakeMjane mmoja huku kitaa aliyefiwa na mumuwe na kuachiwa mi mali yakushiba ikiwemo mi jumba ya kifayari, mindinga ya maana na ma maduka ya ujazo yote amegoma kurithiwa na shemeji yake. Shemeji mtu ni kaka wa marehemu hivo alitaka amrithi huyo mjane ili mali zisiende mbali na nyumbani. Sasa huyo mjane amegoma na anataka alete boya wake ndio waishi naye. Je, ni haki kweli? Kwanini agome kurithiwa?
Hatukatai,ila tunachopinga ni kumegwa Kwenye nyumba ya marehemu.Inategemea na age. Mwanamke gani afiwe na mumewe huku yeye mwanamke akiwa na age ya 20s ama 30s halafu aishi bila mume mpaka uzeeni.. hizo n.y.e.ge si zitamuua mapema
hata ujane akae hata mwaka plus, siku mbili tatu kaisha anza kutiwa kweli jamanii 🥹🥹🥹 kuanzia miaka 40 anaweza kuwa mjana na wapo na pia wapo hata 30 walio acha na kuamua kutulia, wanawake hawana nyege kama za kiume na mwanamke akiamua asitiwe anaweza kaa mda mrefu tofauti na MeInategemea na age. Mwanamke gani afiwe na mumewe huku yeye mwanamke akiwa na age ya 20s ama 30s halafu aishi bila mume mpaka uzeeni.. hizo n.y.e.ge si zitamuua mapema
Mwamba hupepesi macho unapiga spana tu haaa haa.Huyo mwanamke malaya malaya tu, wajane ambao walikuwa waaminifu na kuwapenda waume zao haswaa, huwezi kuta anaolewa tena au kuwa na mwaume mwingine. Huyo malaya huenda hata alikuwa ana mcheat mume wake kipindi yupo hai na huyo mwanaume wake mpya
wanakwaza sana hawa viumbe, wana mambo ya ajabu ajabu kabisaMwamba hupepesi macho unapiga spana tu haaa haa.
Mjane mmoja huku kitaa aliyefiwa na mumuwe na kuachiwa mi mali yakushiba ikiwemo mi jumba ya kifayari, mindinga ya maana na ma maduka ya ujazo yote amegoma kurithiwa na shemeji yake. Shemeji mtu ni kaka wa marehemu hivo alitaka amrithi huyo mjane ili mali zisiende mbali na nyumbani. Sasa huyo mjane amegoma na anataka alete boya wake ndio waishi naye. Je, ni haki kweli? Kwanini agome kurithiwa?
Pamoja na upungufu wa anayeletwa ila bado anayetaka kumrithi mke wa ndugu yake ni mpumbavu maana anaweza hata kukuua ili arithi zote. Mali na mke.Kimaadili siyo vizuri,halafu Hugo mwanaume anayetaka kupelekwa kwenye hiyo nyumba,ni mzima kweli?Jamani wanaume wengine waache vya dezo,kwanini asimshawishi mwanamke na amuhamishe hapo,akaishi nae kwingine,eti analetwa na mwanamke kwenye nyumba ya mwanaume mwenzake,ujinga sana huu.
Wazazi tuna jukumu la kuangalia aina ya malezi kwa watoto wetu wa kiume,watafikia mahali watalalwa kwa kupenda dezo.
Yote mawili hayafai,ila hilo la mwanaume kuletwa ndani,halifai zaidi,na kwa tahadhari tu,huyo mpenda dezo,awe makini,anaweza akahisiwa kua alikula njama,mwanaume afe ili awapishe,mwishowe auwawe kivingine.Aache kutaka vya dezo,ni hatari sana na inaleta picha mbaya kwa mtoto wa kiume.Pamoja na upungufu wa anayeletwa ila bado anayetaka kumrithi mke wa ndugu yake ni mpumbavu maana anaweza hata kukuua ili arithi zote. Mali na mke.