MONTESQUIEU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 847
- 80
Nimesikia hii katika pitapita yangu but sijamini, eti kuna baadhi ya mila zetu hapa Tanzania kama mtu kafiwa na Mumewe, kuna watu rasimi wanao itwa watakasaji, Wanatakiwa kutembea na mfiwa kama kuondoa nuksi ili aweze kuolewa tena .
Jaman na janga hili la ukimwi haya mambo yapo kweli hapa Tanzania?
Jaman na janga hili la ukimwi haya mambo yapo kweli hapa Tanzania?