amekosa aibu, ndoa yenyewe haikufikisha hata mwaka mmoja halafu anataka mirathi na huku hakuachiwa mtotohuyo amewachezea tu wachaga, ingekuwa sumbawanga wala asingesubutu hata kusogea kwenye mirathi.
walaa hajachanganyikiwa mh. jaji! wakati mzee wa kiraracha anatembeza mkuyunge Wake nje hakujuwa kuwa atafyatua Elizabeth Junia na sinia? wawakatie mgao waache janja janja..Yaani watoto wa nje ya ndoa? Huyu jaji kachanganyikiwa.
haki ya mtoto wa kambo kurithi hapo ipojewalaa hajachanganyikiwa mh. jaji! wakati mzee wa kiraracha anatembeza mkuyunge Wake nje hakujuwa kuwa atafyatua Elizabeth Junia na sinia? wawakatie mgao waache janja janja..
UNAONGELEA KESI HII YA MREMA AU UNAONGELEA NYINGINE?Kuna mama mmoja alifiwa na mume wake, fasta akauza nyumba kabla ya ndugu kusanuka wamtimue akaenda kununua nyumba nyingine na akahamia huko akawa amewapoteza maboya ndugu wa mume wake wasimletee undava. Mwingine naye alifiwa na mume ndugu wa mume wakavamia nyumba wakitafuta hati ya nyumba na kuziteka mali za ndugu yao ili mwanamke asiwawahi ujanja na kujimilikisha mali bila ndugu wa mume kupenda. Wanandugu nao ni washenzi, wakati ndugu yao na mke wake wanachuma mali wao waliwasaidia? Tuwatetee wajane kwa nguvu zote wasidhulumiwe na ndugu za waume zao
..ni kama ambavyo mh.jaji ameona. ila kwa maandiko matakatifu hao hawastahilihaki ya mtoto wa kambo kurithi hapo ipoje
alitembeza mkuyunge balaa akapata Elizabeth Junia na sinia.[emoji23]Mzee aliupiga mwingi kwenye uzazi
Wewe unaweza kuweka thamani halisi ya yale yote aliyomfanyia marehemu mrema na akafurahiaa uwepo wake katika hizo siku 150 Ili ndio uwe urithi wake??Kimsingi hakustahili kupata mgao wa mali kwani hizo mali alizikuta na hakushiriki kuzipata wakati mume wake anazipata yeye hakuwa mke wa mrema. Ila tafsiri ya mahakama imeamua apate. Kama kupata angepata sehemu ndogo sana kutokana na muda mfupi alioishi kwenye ndoa hiyo. Kwa wanandugu inauma sana mtu kupewa urithi wa mali wakati amedumu muda mfupi na hakuna mali iliyopatikana akiwa kwenye ndoa hiyo
Mali husika zilichumws kwa mchango wa mke wa ndoa na watoto wa ndoa probably walihusika katika usimamizi wa nmna mojanau nyingine, sivyo?Sheria ya serikali inatambua mtoto halali Kwa nasaba sio ndoa
Watoto wa nje ya Ndoa wa mke wa Mrema wakija kudai mali za Mama yao alizochuma na mume wake wa ndoa hapo inakaaje kaaje?walaa hajachanganyikiwa mh. jaji! wakati mzee wa kiraracha anatembeza mkuyunge Wake nje hakujuwa kuwa atafyatua Elizabeth Junia na sinia? wawakatie mgao waache janja janja..
Yaani watoto wa nje ya ndoa? Huyu jaji kachanganyikiwa.
Hivi mtoto kama kazialiwa nje ya ndoa ila hajawahi kutambulishwa kwenye familia au kuletwa na baba yake anatambulika kwenye mirathi?
Nao ni watoto....Yaani watoto wa nje ya ndoa? Huyu jaji kachanganyikiwa.
Ndioo akipimwa DNA akikutwa ni wake basi atapewaHivi mtoto kama kazialiwa nje ya ndoa ila hajawahi kutambulishwa kwenye familia au kuletwa na baba yake anatambulika kwenye mirathi?
Kisheria hapana, labda busara ya wanandugu itumike
...Miezi MITANO na Siku Kadhaa....!!!Kimsingi hakustahili kupata mgao wa mali kwani hizo mali alizikuta na hakushiriki kuzipata wakati mume wake anazipata yeye hakuwa mke wa mrema. Ila tafsiri ya mahakama imeamua apate. Kama kupata angepata sehemu ndogo sana kutokana na muda mfupi alioishi kwenye ndoa hiyo. Kwa wanandugu inauma sana mtu kupewa urithi wa mali wakati amedumu muda mfupi na hakuna mali iliyopatikana akiwa kwenye ndoa hiyo