Bora thuruhu imepatikana usiombeHivi mtoto kama kazialiwa nje ya ndoa ila hajawahi kutambulishwa kwenye familia au kuletwa na baba yake anatambulika kwenye mirathi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora thuruhu imepatikana usiombeHivi mtoto kama kazialiwa nje ya ndoa ila hajawahi kutambulishwa kwenye familia au kuletwa na baba yake anatambulika kwenye mirathi?
Sheria inasemaje kwenye hilo mkuu? Wa nje ya ndoa huwa hawastahili kwani?Yaani watoto wa nje ya ndoa? Huyu jaji kachanganyikiwa.
Yaani hawa watoto wa nje wa kujulikana wakati wa mirathi tu jamani.Kuna maswali hapa,hayana majibu.Mama yao si ndio kafariki, halafu sasa waende kwa mume na watoto halali wa marehemu mama yao kudai mali, mali ambazo mume halali kachuma kwa msaada wa mke wake na watoto wake. hiyo inakaaje kaaje. Ukizingatia baba yao ambae ndiye mchepuko tu kwa marehemu mama yao nae ndio anasubiri wapewe mgao ili achukue mali ambazo hajachuma kupitia watoto wake haramu?
Sheria inaruhusu hilo, sheria hiyo ilitungwa na wendawazimu au watu wenye akili timamu?
Nje ya ndoa ni wapi? Hao ni watoto wa Augustine mrema acha wapate urithi wa baba yao. Mbona huchanganyikiwi kuhusu Doreen?Yaani watoto wa nje ya ndoa? Huyu jaji kachanganyikiwa.
Tanzania wanapata tu fresh kwa conditions hizi👇Yaani watoto wa nje ya ndoa? Huyu jaji kachanganyikiwa.
Alikuwa kijana wa ovyoo .....Mrema naye alikuwa mpumbavu. Unawezaje kuwapa wanao majina Elizabeth Mrema Snr, na Elizabeth Mrema Jnr?
Kwa hiyo wewe mtoto wako uliyezaa nje ya ndoa hutaki apate jasho lako?Yaani watoto wa nje ya ndoa? Huyu jaji kachanganyikiwa.
Huo muda mfupi ndiyo alikuwa anamsafisha akijinyea, wakati watoto wake wa kuwazaa wanakula bata na kumyanyapaa. Anastahili kwa kweliKimsingi hakustahili kupata mgao wa mali kwani hizo mali alizikuta na hakushiriki kuzipata wakati mume wake anazipata yeye hakuwa mke wa mrema. Ila tafsiri ya mahakama imeamua apate. Kama kupata angepata sehemu ndogo sana kutokana na muda mfupi alioishi kwenye ndoa hiyo. Kwa wanandugu inauma sana mtu kupewa urithi wa mali wakati amedumu muda mfupi na hakuna mali iliyopatikana akiwa kwenye ndoa hiyo
Alikua na udugu na Kitombangile mitwango.Mzee aliupiga mwingi kwenye uzazi
umeongea pwent kubwa sana mkubwa. watoto wa nje wananyanyasika sana na kutengwa wakati hawana hatia. na huu upuuzi upo kwenye jamii karibu zote hapa kwetu. ni ufala sana. big up sana mkuu.Sheria inasemaje kwenye hilo mkuu? Wa nje ya ndoa huwa hawastahili kwani?
Unawezakuta watoto wa ndani ya ndoa wameona wawape ndugu zao japo kidogo maana maisha haya kila kitu tutakufa tutakiacha
kwani alizidiwa sana kiasi cha kushindwa kwenda msalani peke yake mpaka asaidiwe kama mtoto mchanga, ile pisi kali aliyoia ni ya kumfuta akijinyea? Zile pesa za alizopata wakati anatongozwa aolewe zilimtoshaHuo muda mfupi ndiyo alikuwa anamsafisha akijinyea, wakati watoto wake wa kuwazaa wanakula bata na kumyanyapaa. Anastahili kwa kweli
Nenda kamuambie Jaji wa Rufaa hayo maneno, sisi tumefunga mjadala Temekekwani alizidiwa sana kiasi cha kushindwa kwenda msalani peke yake mpaka asaidiwe kama mtoto mchanga, ile pisi kali aliyoia ni ya kumfuta akijinyea? Zile pesa za alizopata wakati anatongozwa aolewe zilimtosha
We baba una roho ya kwa nini?Kwa hiyo imekuuma watoto hao walivyothaminiwa na mahakama?Yaani watoto wa nje ya ndoa? Huyu jaji kachanganyikiwa.
Sasa nyie ndugu muumie kwani huyo ndugu yenu mlimsaidia kutafuta nae?Kimsingi hakustahili kupata mgao wa mali kwani hizo mali alizikuta na hakushiriki kuzipata wakati mume wake anazipata yeye hakuwa mke wa mrema. Ila tafsiri ya mahakama imeamua apate. Kama kupata angepata sehemu ndogo sana kutokana na muda mfupi alioishi kwenye ndoa hiyo. Kwa wanandugu inauma sana mtu kupewa urithi wa mali wakati amedumu muda mfupi na hakuna mali iliyopatikana akiwa kwenye ndoa hiyo