Mjane wa Dkt. Reginald Mengi (Jacqueline Ntuyabaliwe) apata ushindi rufaa ya mirathi

Umejuaje uchi wa jack ni mzuri?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ina maana ukoo wa mengi hayupo mchawi wa familia akayamaliza ili kuzuia Mali isiende kwa watutsi
 
Una uhakika alfaidi?

Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
 
Kahendaguza!
Isijekuwa kesi ya ngedere imepelekwa kwa nyani.
 
Mambo ya mali haya...mwenye nazo kashakuwa mifupa tu sasa
 
Hawa watoto watoto wataishia kuwatajirisha wanasheria, anger clouds the mind believe that.
 
watoto wa plastiki wale hawakuchakatana ni test tube babies
 
Mengi si mjinga kufanya hayo...
Alitaka kizazi chake kiendelee..

Hao wakubwa wote hamna kitu mule...

Hizo Mali zote watagawa tu hawawezi kutengeza familia..

Na 50% ..walishapewa ya mama yao..sasa mzee kaamua 50% yake iliyobaki awape watoto wake wengine wawili ambao hawakupata mgao wa kwanza!

Bado na hiyo wanaitaka.. ..

Wakae na bi dada wayamalize...
 
Ukiona hivyo, lazima kuna mahali kosa lilifanyika.

Nimeikumbuka NBC iliyouzwa kwa Makaburu baada ya kuvunjwa na kuanzishwa NMB. BAD DEBTS zilizofutwa kwa wadaiwa, inakwenda kuwa BAD WEALTH kwa wanufaika.

YANAZUNGUMZIKA. WAKAE WAKUBALIANE. Vinginevyo, Mali zinavyopatikana ndivyo zinavyotoweka.
 
kama abdieli umo humu chukua hii;

Hivi huyo malaya alosababisha mama yenu aachike kwa mumewe na bado anataka kuwaporeni mali ambazo mama yenu na baba yenu alizichuma, kwanini mnaendelea kumuacha hai?

Hivi ninyi ni wachaga gani wa kupelekeshwa mbele ya mali na chasaka wa kike?

Huyo malaya wa kike muondosheni duniani, hana tofauti na wezi wanaopigwa risasi na kuchomwa moto. Hilo ni dangaji jizi hilo, fala sana hilo.
 
Hili swala nilisema kwamba mengi wale wanae walienda Kwa mama yao na walikuwa wanakula zile 50% walizogawana na pamoja na pesa zile wanazolipwa kila mwezi kama walivyokubalina baada ya kuachana

Jamaa wakaja hapa wachaga ooh abdiel alikuwa anaenda kuwasalimia ila hayo matoto kiukweli walimtenga Mzee wao walikuwa wnasimamia miradi tu na kula pesa
 
Hawatomuweza huyo jack ni smart kushinda Koo zote za uchagani hao machalii wa Mzee wamegubi kitu kama hujui na hawajielewi jack ni mjanja hao madogo wamekosea timing Sana kukaa mbali na Mzee wao

Kingine hao wanaleta ubaguzi ndo ushamba mkubwa mama yao alishachukua 50% mapema Hana chake wakitaka za mzee hapo lazima wagawane na jack na wale pacha wake wa mchongo
 
jasusi mbobezi Paulo k.hawezi kuacha kumpa sapoti mrwanda mwenzie,na kesi ikiisha anasepa Rwanda kuwekeza !!
 
Kumbe pingamizi!!! Nilidhani kashinda kuwa yeye ndiye mrithi na watoto wa mengi hawana chao kama mirathi ya mwanzo ilivyosema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…