Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...nauliza hivi;
Pamoja na miongozo ya kidini (kwa wenye imani zao), inapendeza mjane aolewe baada ya muda gani?(mfano; mara tu baada ya kumaliza eda ya kufiwa?). Ungependelea mwenza wako akufanyie hivyo? 🙂
kwanini unafikiri hivyo?
... mara tu baada ya kumaliza eda ya kufiwa?
Ukweli mtupu nimeipenda sana hii!!Kuoa au kuolewa tena inategemea na experience uliyopata kwenye ndoa ya kwanza,kama ilikuwa chungu hutatamani kurudia ndoa tena.
Mbu vipi bwana. Unamanisha nini hapo nilipohighlight? Kuwa wenye ndoa wawekeane taratibu kabisa kuwa mke akifa basi akae kwa muda gani mpaka aolewe tena? Au? Suppose mume ni mbabe halafu katika kukubaliana wakakubaliana kuwa ni baada ya miaka mitano. Do you think this widow will remain untouchable for those five years?...nauliza hivi;
Pamoja na miongozo ya kidini (kwa wenye imani zao), inapendeza mjane aolewe baada ya muda gani?(mfano; mara tu baada ya kumaliza eda ya kufiwa?). Ungependelea mwenza wako akufanyie hivyo? 🙂
kwanini unafikiri hivyo?
Fidel what do you mean Sir? Wifi au Shemeji? Griiiiiiiiiiiiiiii! Uuuwiiiiiiiiiii!!!! Uuuwwwiiiiiiiiiiii!!! Leo sijatoka nyumbani kwani sijapasi nguo jana nililala late na nimeamka late!!! Mitambo ya IPTL inawashwa lini eti jamani? Uuuuwwiiiiiiiii!! Uuwiiiiiiiiiiii!!Mimi wife wangu akifa sioi tena naendelea kuwa single tu
i was waiting for this Sir MasaniloI will get married in a week time mamsap akifa maana nimekuwa nikicheat all the time! hahahahah
i was waiting for this Sir Masanilo
Ila kuna ombi hapa "badilisha Avatar yako" toka lini maua yakamwagiliwa kwa staili hiyo hapo?
Mmm! Duh! Husiiweeke Mkuu hiyo hapa labda iwe inaonekana kule kwenye nyumba ndogo tu na sio hapa kwenye visitors! LOL! Hujanijibu swali langu umeme wa IPTL unawaka lini? Uuwiiiiiiiiiii!! Uuwwiiiiiiii!!HAhahah nitakayoweka itakuwa lazima uwe above 21 kuiangalia!
LOL! Hujanijibu swali langu umeme wa IPTL unawaka lini? Uuwiiiiiiiiiii!! Uuwwiiiiiiii!!
Uuwwiiiiiiiiii!! Uuuwwiiiiiiiii!! Nimelia sana kwa hili hakika leo nimepata jibu sahihi kuwa hizi ni siasa za tumbo wazi kwa ajili ya kukimu matakwa ya wazito/wanene/vingunge lakini sio kwa wabangaizaji/walalahoi na wengine wa aina hiyo!! Mbu sijasahau mada yako la hasha ila huu ni mkakati niliouanza wa kufanya political mainstraiming katika kuwaondolea Watanzania uwaoga wa Kifisi na kuhotaji lile lililo halali yao na haki yao na ni wajibu wao kuchukua na kutumia kwa mrengo ule ule wa kuondoka katika lindi la umasikini. Si hata hao wajane sasa watakuwa wanolewa within one week kama magenge yao wanayoyendesha yatakuwa hayana mwanga wa kupakulia chakula. Halafu mkumbuke................ndio wapenda wajane kweliKaka IPTL is more politik than reality....si unajua sisi hatuko serious na chochote?
Wanawake wengi huwa hawapendi hili swali sijui kwanini?
Uuwwiiiiiiiiii!! Uuuwwiiiiiiiii!! Nimelia sana kwa hili hakika leo nimepata jibu sahihi kuwa hizi ni siasa za tumbo wazi kwa ajili ya kukimu matakwa ya wazito/wanene/vingunge lakini sio kwa wabangaizaji/walalahoi na wengine wa aina hiyo!! Mbu sijasahau mada yako la hasha ila huu ni mkakati niliouanza wa kufanya political mainstraiming katika kuwaondolea Watanzania uwaoga wa Kifisi na kuhotaji lile lililo halali yao na haki yao na ni wajibu wao kuchukua na kutumia kwa mrengo ule ule wa kuondoka katika lindi la umasikini. Si hata hao wajane sasa watakuwa wanolewa within one week kama magenge yao wanayoyendesha yatakuwa hayana mwanga wa kupakulia chakula. Halafu mkumbuke................ndio wapenda wajane kweli
Wanawake wengi hata kama hawataki ..wanaujua ukweli kuwa ni nadra sana kwa mwanaume aliyefiwa na mke kubaki mjane
Wanawake wengi huwa hawapendi kuolewa tena na mifano imejaa tele hata mkijaribu kufikiria wanawake wajane walioolewa mtaona idada ni ndogo sana.