Mjane...

Mjane...

ni she na si mjane...@Geoff
nyamayao mbona mmh zimetawala leo? kwema?


kwema kabisa kipenzi, umeniacha njia panda hapo unaposema utaendeea kuolewa na kuolewa na ni hadhi kwa wanao, sasa hadhi ipi wakati watoto wanajua baba yao amefariki wewe ni kuolewa mfululizo sasa hapo utawaonyeshea nini wanao kama utakuwa mtu wa kuwabadilishia baba kila wakati, afadhali uolewa then akifariki na huyo usiolewe tena, sio kuolewa kama mara tatu hivi, kwangu naona haipendezi, halafu kila atakae kuoa utamzalia?
 
kwema kabisa kipenzi, umeniacha njia panda hapo unaposema utaendeea kuolewa na kuolewa na ni hadhi kwa wanao, sasa hadhi ipi wakati watoto wanajua baba yao amefariki wewe ni kuolewa mfululizo sasa hapo utawaonyeshea nini wanao kama utakuwa mtu wa kuwabadilishia baba kila wakati, afadhali uolewa then akifariki na huyo usiolewe tena, sio kuolewa kama mara tatu hivi, kwangu naona haipendezi, halafu kila atakae kuoa utamzalia?

kwa hiyo nyamayao unadhani mtu akifiwa na mumewe na hamu ya kufanya mapenzi inaku?

na ipi itakuwa picha nzuri kwa wanao kati ya hizi:
1-unaolewa,legal na watoto wakajua
2-unazini bila utaratibu maalum,na watoto wakajua kuwa mama yao anafanya mapenzi nje na jamaa fulani mume wa mtu
 
kwa hiyo nyamayao unadhani mtu akifiwa na mumewe na hamu ya kufanya mapenzi inaku?

na ipi itakuwa picha nzuri kwa wanao kati ya hizi:
1-unaolewa,legal na watoto wakajua
2-unazini bila utaratibu maalum,na watoto wakajua kuwa mama yao anafanya mapenzi nje na jamaa fulani mume wa mtu


hapana Geoff cjamaanisha hivyo, ila mrembo amesema ataendelea kuolewa na kuolewa, eg kama anaemuoa alkatangulia mbele ya haki yeye ataolewa tena na akitangulia ataolewa tena, kwa mie nicngependa kuolewa tena na hata nikiolewa huyo muoaji labda tukubaliane kwamba ctazaa tena, kuolewa ni vizuri lakini ucolewe mara kama 3 hivi nahic haipendezi....umenipata G?
 
hahaha ...crispin kweli life expectancy ya watanzania ipo chini sana, lakini sidhani kaa nitafika miaka 60 nishazika waume watano!

wanaume mpende nyie tu kuoa wake zenu wakifa.......lakini nyie mkifa wenzenu wasiolewe! mwee

...mnnh, na doubt hivyo vifo vitakuwa na mkono wa mtu, wife ukiwa suspect number one!
 
Du hata matanga hayajaisha wewe ndani ya kitu kipya ahaaaaaa.

...no wonder wengine 'chap chap' wanayajengea
tena kwa cement kali makaburi ya wenza wao...

sijui wanadhani watatoka?
 
kama mwenzetu alivyosema hapo juu..ni mapokeo ya mfumo dume. Unakuta mama akitangulia mali inakuwa ya baba automatically kwahiyo ile vita inakuwa ndogo [labad kwa few]; lakini akifa mwanaume utakuta kila mtu anataka chake.
kibaya zaidi hata tukiwa hai, mke akinunua mali, bado utakuta anayepewa pongezi ni baba kuliko mama


MTM, suala la mume kuonekana ndie anayestahili kutoa urithi katika jamii yetu ya leo ni hata kama mwenye kutafuta ni mke, hiyo inatokana na mabadiliko ya mifumo katika jamii. Historia inafundisha kuwa kabla ya binadamu hajaanza kuishi kama familia (wakatin ulw wa kina Zinja (Zinjanthropus) ambapo binadamu aliishi kwa kuhangaika na kula matunda na nyama za porini, dhana ya "mali" haikuwepo kichwani kwake. Lakini dunia ilivyozidi kubadilika matunda na wanyama kuanza kupotea katika mazingira ya karibu, ikiwa "mtu mke" kwa kuwa alikuwa anamajukumu ya kuzaa aliwajibika kutulia sehemu na hapo alipoamua kutulia pakawa ndo nyumbani kwake. Zama hzo mwanaume alikuwa na nguvu ya kuzunguka porini kuwinda na kutafuta matunda na mfumo uliokuwepo ni kama wa wanyama pori, unazalisha na kwenda hakuna jina baba kwenye familia!!.

Hali ilivyozidi kuwa mbaya kwenye maumbile ya dunia,ikalazimu wanaume waanze kutafuta kwa kuishi na kwa kuwa walikuwa na nguvu za kuzalisha mali na watoto, historia inasema ilikuwa rahisi kukubalika kukaa kwnye himaya za wanawake na wakati huo, mke alikuwa ndio anamiliki mali yaani eneo analoishi , watoto na mwanaume atakayejitokeza kuomba hifadhi!....Kukuwa kwa jamii kulileta mifarakano na tamaa ya kuwa na mali nyingi, hivyo mke kama mmiliki wa familia na mali akashindwa kukabiliana na cnagamoto hizo za kimaisha hivyo kwa kuwa mume alikuwa na nguvu za kuilinda familia na mali, ikawa yeye ndio kichwa na familia na kwa ajili ya usalama (security) kwenye mali binafsi (private property),jamii ilibadilika na tokea hapo mume akawa anaoekana ndie mwenye kuweza kusimamia mali katika jamii na hali hiyo imepata nguvu zaidi pale ulipoanza utaratibu wa kuoa na kuoana ambapo mke na mume wanapooana, mke anakuwa amepoteza hadhi ya kuendelea kuwa kwenye jamii yake (baba na mama yake) na badala yake, yeye na watoto atakao wazaa na mali atakayochuma inachukuliwa kuwa ni sehemu ya mali za mumewe!...(Lakini haipo hivyo kwa jamii zote).

Kwa wafuasi wa dini ya kikristu Bibilia inatafsiri ndoa kama muungano unaomtoa mume kwa wazazi wake na kumpeleka kwa mkewe ili wakaishi pamoja kwa nukuu ifuatayo " KWA SABABU HIYO, MTU MTU ATAMWACHA BABA YAKE NA MAMAN YAKE, ATAAMBATANA MKEWE NAO WAWILI WATAKUWA MWILI MMOJA" (Efe 5:31).

Kwa wafuasi wa Kikristo Bibilia kupitia Waraka wa Paulo Mtume kwa Waefeso sura ya 5:22 -25, inaelekeza zaidi wanawake kuwa na utii kwa waume zao ("enyi wake watiini waume zenu ...........kwa maana mume ni kichwa cha mkewe........kama vile kanisa limtiivyo Kristo vivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo).

Kuhusu waume, Bibilia inaweka msisitizo zaidi kwa wanaume kuwapenda wake zao na kukazia kuwa "ampendae Mkewe hujipenda mwenyewe....kwa maana nyingine ukimpenda mkeo utamlinda na usipotaka apate tabu ukifa, acha wosia kuhusu mali uliyoichuma nae akiwemo yeye mwenywe na watoto>.....[quote]KWA KUWA HAKUNA "MFUME JIKE", NI PIA RAHISI KUSEMA HATA HUO UNAOITWA "MFUMO DUME" NI PROPAGANDA TU ZA WANAHARAKATI AMBAO WENGI WAO KAMA HAWAN NDOA BASI WANAJARIBU KUKWEPA WAJIBU WAO KATIKA NDOA KWA POROJO ZA MANENO.......[/quote]
 
hapana Geoff cjamaanisha hivyo, ila mrembo amesema ataendelea kuolewa na kuolewa, eg kama anaemuoa alkatangulia mbele ya haki yeye ataolewa tena na akitangulia ataolewa tena, kwa mie nicngependa kuolewa tena na hata nikiolewa huyo muoaji labda tukubaliane kwamba ctazaa tena, kuolewa ni vizuri lakini ucolewe mara kama 3 hivi nahic haipendezi....umenipata G?[/QUOTE]
NI KWELI.
kibongo bongo kama hawa waume wanakufa lazima mwanamke ni candidate wa ARV

na kama wanamuacha tu,lazima ana tatizo
 
MTM, suala la mume kuonekana ndie anayestahili kutoa urithi katika jamii yetu ya leo ni hata kama mwenye kutafuta ni mke, hiyo inatokana na mabadiliko ya mifumo katika jamii. Historia inafundisha kuwa kabla ya binadamu hajaanza kuishi kama familia (wakatin ulw wa kina Zinja (Zinjanthropus) ambapo binadamu aliishi kwa kuhangaika na kula matunda na nyama za porini, dhana ya "mali" haikuwepo kichwani kwake. Lakini dunia ilivyozidi kubadilika matunda na wanyama kuanza kupotea katika mazingira ya karibu, ikiwa "mtu mke" kwa kuwa alikuwa anamajukumu ya kuzaa aliwajibika kutulia sehemu na hapo alipoamua kutulia pakawa ndo nyumbani kwake. Zama hzo mwanaume alikuwa na nguvu ya kuzunguka porini kuwinda na kutafuta matunda na mfumo uliokuwepo ni kama wa wanyama pori, unazalisha na kwenda hakuna jina baba kwenye familia!!.

Hali ilivyozidi kuwa mbaya kwenye maumbile ya dunia,ikalazimu wanaume waanze kutafuta kwa kuishi na kwa kuwa walikuwa na nguvu za kuzalisha mali na watoto, historia inasema ilikuwa rahisi kukubalika kukaa kwnye himaya za wanawake na wakati huo, mke alikuwa ndio anamiliki mali yaani eneo analoishi , watoto na mwanaume atakayejitokeza kuomba hifadhi!....Kukuwa kwa jamii kulileta mifarakano na tamaa ya kuwa na mali nyingi, hivyo mke kama mmiliki wa familia na mali akashindwa kukabiliana na cnagamoto hizo za kimaisha hivyo kwa kuwa mume alikuwa na nguvu za kuilinda familia na mali, ikawa yeye ndio kichwa na familia na kwa ajili ya usalama (security) kwenye mali binafsi (private property),jamii ilibadilika na tokea hapo mume akawa anaoekana ndie mwenye kuweza kusimamia mali katika jamii na hali hiyo imepata nguvu zaidi pale ulipoanza utaratibu wa kuoa na kuoana ambapo mke na mume wanapooana, mke anakuwa amepoteza hadhi ya kuendelea kuwa kwenye jamii yake (baba na mama yake) na badala yake, yeye na watoto atakao wazaa na mali atakayochuma inachukuliwa kuwa ni sehemu ya mali za mumewe!...(Lakini haipo hivyo kwa jamii zote).

Kwa wafuasi wa dini ya kikristu Bibilia inatafsiri ndoa kama muungano unaomtoa mume kwa wazazi wake na kumpeleka kwa mkewe ili wakaishi pamoja kwa nukuu ifuatayo " KWA SABABU HIYO, MTU MTU ATAMWACHA BABA YAKE NA MAMAN YAKE, ATAAMBATANA MKEWE NAO WAWILI WATAKUWA MWILI MMOJA" (Efe 5:31).

Kwa wafuasi wa Kikristo Bibilia kupitia Waraka wa Paulo Mtume kwa Waefeso sura ya 5:22 -25, inaelekeza zaidi wanawake kuwa na utii kwa waume zao ("enyi wake watiini waume zenu ...........kwa maana mume ni kichwa cha mkewe........kama vile kanisa limtiivyo Kristo vivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo).

Kuhusu waume, Bibilia inaweka msisitizo zaidi kwa wanaume kuwapenda wake zao na kukazia kuwa "ampendae Mkewe hujipenda mwenyewe....kwa maana nyingine ukimpenda mkeo utamlinda na usipotaka apate tabu ukifa, acha wosia kuhusu mali uliyoichuma nae akiwemo yeye mwenywe na watoto>.....[quote]KWA KUWA HAKUNA "MFUME JIKE", NI PIA RAHISI KUSEMA HATA HUO UNAOITWA "MFUMO DUME" NI PROPAGANDA TU ZA WANAHARAKATI AMBAO WENGI WAO KAMA HAWAN NDOA BASI WANAJARIBU KUKWEPA WAJIBU WAO KATIKA NDOA KWA POROJO ZA MANENO.......[/quote][/QUOTE]
 
MTM, suala la mume kuonekana ndie anayestahili kutoa urithi katika jamii yetu ya leo ni hata kama mwenye kutafuta ni mke, hiyo inatokana na mabadiliko ya mifumo katika jamii. Historia inafundisha kuwa kabla ya binadamu hajaanza kuishi kama familia (wakatin ulw wa kina Zinja (Zinjanthropus) ambapo binadamu aliishi kwa kuhangaika na kula matunda na nyama za porini, dhana ya "mali" haikuwepo kichwani kwake. Lakini dunia ilivyozidi kubadilika matunda na wanyama kuanza kupotea katika mazingira ya karibu, ikiwa "mtu mke" kwa kuwa alikuwa anamajukumu ya kuzaa aliwajibika kutulia sehemu na hapo alipoamua kutulia pakawa ndo nyumbani kwake. Zama hzo mwanaume alikuwa na nguvu ya kuzunguka porini kuwinda na kutafuta matunda na mfumo uliokuwepo ni kama wa wanyama pori, unazalisha na kwenda hakuna jina baba kwenye familia!!.

Hali ilivyozidi kuwa mbaya kwenye maumbile ya dunia,ikalazimu wanaume waanze kutafuta kwa kuishi na kwa kuwa walikuwa na nguvu za kuzalisha mali na watoto, historia inasema ilikuwa rahisi kukubalika kukaa kwnye himaya za wanawake na wakati huo, mke alikuwa ndio anamiliki mali yaani eneo analoishi , watoto na mwanaume atakayejitokeza kuomba hifadhi!....Kukuwa kwa jamii kulileta mifarakano na tamaa ya kuwa na mali nyingi, hivyo mke kama mmiliki wa familia na mali akashindwa kukabiliana na cnagamoto hizo za kimaisha hivyo kwa kuwa mume alikuwa na nguvu za kuilinda familia na mali, ikawa yeye ndio kichwa na familia na kwa ajili ya usalama (security) kwenye mali binafsi (private property),jamii ilibadilika na tokea hapo mume akawa anaoekana ndie mwenye kuweza kusimamia mali katika jamii na hali hiyo imepata nguvu zaidi pale ulipoanza utaratibu wa kuoa na kuoana ambapo mke na mume wanapooana, mke anakuwa amepoteza hadhi ya kuendelea kuwa kwenye jamii yake (baba na mama yake) na badala yake, yeye na watoto atakao wazaa na mali atakayochuma inachukuliwa kuwa ni sehemu ya mali za mumewe!...(Lakini haipo hivyo kwa jamii zote).

Kwa wafuasi wa dini ya kikristu Bibilia inatafsiri ndoa kama muungano unaomtoa mume kwa wazazi wake na kumpeleka kwa mkewe ili wakaishi pamoja kwa nukuu ifuatayo " KWA SABABU HIYO, MTU MTU ATAMWACHA BABA YAKE NA MAMAN YAKE, ATAAMBATANA MKEWE NAO WAWILI WATAKUWA MWILI MMOJA" (Efe 5:31).

Kwa wafuasi wa Kikristo Bibilia kupitia Waraka wa Paulo Mtume kwa Waefeso sura ya 5:22 -25, inaelekeza zaidi wanawake kuwa na utii kwa waume zao ("enyi wake watiini waume zenu ...........kwa maana mume ni kichwa cha mkewe........kama vile kanisa limtiivyo Kristo vivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo).

Kuhusu waume, Bibilia inaweka msisitizo zaidi kwa wanaume kuwapenda wake zao na kukazia kuwa "ampendae Mkewe hujipenda mwenyewe....kwa maana nyingine ukimpenda mkeo utamlinda na usipotaka apate tabu ukifa, acha wosia kuhusu mali uliyoichuma nae akiwemo yeye mwenywe na watoto>.....[quote]KWA KUWA HAKUNA "MFUME JIKE", NI PIA RAHISI KUSEMA HATA HUO UNAOITWA "MFUMO DUME" NI PROPAGANDA TU ZA WANAHARAKATI AMBAO WENGI WAO KAMA HAWAN NDOA BASI WANAJARIBU KUKWEPA WAJIBU WAO KATIKA NDOA KWA POROJO ZA MANENO.......[/quote][/QUOTE][/QUOTE]
 
MTM, suala la mume kuonekana ndie anayestahili kutoa urithi katika jamii yetu ya leo ni hata kama mwenye kutafuta ni mke, hiyo inatokana na mabadiliko ya mifumo katika jamii. Historia inafundisha kuwa kabla ya binadamu hajaanza kuishi kama familia (wakatin ulw wa kina Zinja (Zinjanthropus) ambapo binadamu aliishi kwa kuhangaika na kula matunda na nyama za porini, dhana ya "mali" haikuwepo kichwani kwake. Lakini dunia ilivyozidi kubadilika matunda na wanyama kuanza kupotea katika mazingira ya karibu, ikiwa "mtu mke" kwa kuwa alikuwa anamajukumu ya kuzaa aliwajibika kutulia sehemu na hapo alipoamua kutulia pakawa ndo nyumbani kwake. Zama hzo mwanaume alikuwa na nguvu ya kuzunguka porini kuwinda na kutafuta matunda na mfumo uliokuwepo ni kama wa wanyama pori, unazalisha na kwenda hakuna jina baba kwenye familia!!.

Hali ilivyozidi kuwa mbaya kwenye maumbile ya dunia,ikalazimu wanaume waanze kutafuta kwa kuishi na kwa kuwa walikuwa na nguvu za kuzalisha mali na watoto, historia inasema ilikuwa rahisi kukubalika kukaa kwnye himaya za wanawake na wakati huo, mke alikuwa ndio anamiliki mali yaani eneo analoishi , watoto na mwanaume atakayejitokeza kuomba hifadhi!....Kukuwa kwa jamii kulileta mifarakano na tamaa ya kuwa na mali nyingi, hivyo mke kama mmiliki wa familia na mali akashindwa kukabiliana na cnagamoto hizo za kimaisha hivyo kwa kuwa mume alikuwa na nguvu za kuilinda familia na mali, ikawa yeye ndio kichwa na familia na kwa ajili ya usalama (security) kwenye mali binafsi (private property),jamii ilibadilika na tokea hapo mume akawa anaoekana ndie mwenye kuweza kusimamia mali katika jamii na hali hiyo imepata nguvu zaidi pale ulipoanza utaratibu wa kuoa na kuoana ambapo mke na mume wanapooana, mke anakuwa amepoteza hadhi ya kuendelea kuwa kwenye jamii yake (baba na mama yake) na badala yake, yeye na watoto atakao wazaa na mali atakayochuma inachukuliwa kuwa ni sehemu ya mali za mumewe!...(Lakini haipo hivyo kwa jamii zote).

Kwa wafuasi wa dini ya kikristu Bibilia inatafsiri ndoa kama muungano unaomtoa mume kwa wazazi wake na kumpeleka kwa mkewe ili wakaishi pamoja kwa nukuu ifuatayo " KWA SABABU HIYO, MTU MTU ATAMWACHA BABA YAKE NA MAMAN YAKE, ATAAMBATANA MKEWE NAO WAWILI WATAKUWA MWILI MMOJA" (Efe 5:31).

Kwa wafuasi wa Kikristo Bibilia kupitia Waraka wa Paulo Mtume kwa Waefeso sura ya 5:22 -25, inaelekeza zaidi wanawake kuwa na utii kwa waume zao ("enyi wake watiini waume zenu ...........kwa maana mume ni kichwa cha mkewe........kama vile kanisa limtiivyo Kristo vivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo).

Kuhusu waume, Bibilia inaweka msisitizo zaidi kwa wanaume kuwapenda wake zao na kukazia kuwa "ampendae Mkewe hujipenda mwenyewe....kwa maana nyingine ukimpenda mkeo utamlinda na usipotaka apate tabu ukifa, acha wosia kuhusu mali uliyoichuma nae akiwemo yeye mwenywe na watoto>.....[quote]KWA KUWA HAKUNA "MFUME JIKE", NI PIA RAHISI KUSEMA HATA HUO UNAOITWA "MFUMO DUME" NI PROPAGANDA TU ZA WANAHARAKATI AMBAO WENGI WAO KAMA HAWAN NDOA BASI WANAJARIBU KUKWEPA WAJIBU WAO KATIKA NDOA KWA POROJO ZA MANENO.......
[/QUOTE][/QUOTE]
agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrh!
summary please.sidhani kama watu watakuwa na muda wa kuyasoma haya yote.
 
...hivi mtu umeishi naye takriban miaka mitano na kuendelea,... mlikuwa mnaitana Darling, mnalala kitanda kimoja, hapalaliki kama kachelewa kurudi nyumbani,...

....yaani siku moja ka 'Rest in peace' imekuwa kosa, hata mwaka bado tayari ushampenda mtu mwingine?

Mimi naona usanii tu!
 
Back
Top Bottom