Mjapan: Rais Magufuli yuko sahihi, vyuo vikuu duniani kulikoendelea huandaa wahitimu kujiajiri na sio kusubiri ajira ya serikali

Mjapan: Rais Magufuli yuko sahihi, vyuo vikuu duniani kulikoendelea huandaa wahitimu kujiajiri na sio kusubiri ajira ya serikali

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Injinia wa kijapani pale Mwenge amekubaliana na ushauri wa Rais Magufuli kwa vyuo vikuu kwamba Degree zao zilenge kuwaandaa vijana katika kujiajiri na si kusubiri ajira za serikali.

Mjapan ameniambia vyuo vikuu katika dunia iliyoendelea huwaandaa vijana katika ubunifu, ujasiri na uthubutu na si kuwafanya wanyonge wa kusubiria ajira katika utumishi wa umma.

Mjapan ameshangaa kuona UDSM kuna wanafunzi wengi sana wanaosoma kozi ya siasa na kuniuliza, hivi hawa wanaandaliwa kuwa nani?

Maendeleo hayana vyama!
 
Hii ina maana kuwa tukiwaandaaa kwa kujiajiri wasaaau kuajiliwa je watumishi wamechoka kutumikia nchi?
 
Injinia wa kijapani pale Mwenge amekubaliana na ushauri wa Rais Magufuli kwa vyuo vikuu kwamba Degree zao zilenge kuwaandaa vijana katika kujiajiri na si kusubiri ajira za serikali.

Mjapan ameniambia vyuo vikuu katika dunia iliyoendelea huwaandaa vijana katika ubunifu, ujasiri na uthubutu na si kuwafanya wanyonge wa kusubiria ajira katika utumishi wa umma.

Mjapan ameshangaa kuona UDSM kuna wanafunzi wengi sana wanaosoma kozi ya siasa na kuniuliza, hivi hawa wanaandaliwa kuwa nani?

Maendeleo hayana vyama!
Unataka kusema Japan hawasomi Political Science?
Itakuwa Japan ya Matombo labda.
 
Hayo maneno tu Bongo wabongo tunajuana easier said and at the end remains empty words

Mipango inayoishia mdomoni na kwenye karatasi kama slogan fulani eti nchi ya viwanda
 
Mjapan? Huyo Mjapan ni nani kwani? Mtu yoyote akiongea pumba kwa kuwa ni mjapan basi ni kuanzishia uzi?

Anyway ngoja tujadili hili, ukisema graduates wote wajiajiri tutakuwa na biashara/viwanda ndogo ndogo sana kama utitiri ambazo zitakuwa hazina ufanisi kutokana na economies of scale

Nchi zilizoendelea kama Japan hakuna utitiri kama huu, bali ni giant companies ambazo zinaajiri wahitimu wa vyuo, so huyu mjapan hata hajui uchumi

Unataka mhitimu wa chuo amalize chuo then akajiajiri kuuza vitumbua, sasa tutakuwa na uchumi gani? Elimu yake si imekuwa wasted hapo?
 
Mjapan? Huyo Mjapan ni nani kwani? Mtu yoyote akiongea pumba kwa kuwa ni mjapan basi ni kuanzishia uzi?

Anyway ngoja tujadili hili, ukisema graduates wote wajiajiri tutakuwa na biashara/viwanda ndogo ndogo sana kama utitiri ambazo zitakuwa hazina ufanisi kutokana na economies of scale

Nchi zilizoendelea kama Japan hakuna utitiri kama huu, bali ni giant companies ambazo zinaajiri wahitimu wa vyuo, so huyu mjapan hata hajui uchumi

Unataka mhitimu wa chuo amalize chuo then akajiajiri kuuza vitumbua, sasa tutakuwa na uchumi gani? Elimu yake si imekuwa wasted hapo?
Wewe utakuwa umesoma kozi za uhasibu.......utaajiriwa na wenye daladala uwe konda!
 
Injinia wa kijapani pale Mwenge amekubaliana na ushauri wa Rais Magufuli kwa vyuo vikuu kwamba Degree zao zilenge kuwaandaa vijana katika kujiajiri na si kusubiri ajira za serikali.

Mjapan ameniambia vyuo vikuu katika dunia iliyoendelea huwaandaa vijana katika ubunifu, ujasiri na uthubutu na si kuwafanya wanyonge wa kusubiria ajira katika utumishi wa umma.

Mjapan ameshangaa kuona UDSM kuna wanafunzi wengi sana wanaosoma kozi ya siasa na kuniuliza, hivi hawa wanaandaliwa kuwa nani?

Maendeleo hayana vyama!
Huyu mjapan anaitwa nani?,na mwenge anafanya nini?
 
Injinia wa kijapani pale Mwenge amekubaliana na ushauri wa Rais Magufuli kwa vyuo vikuu kwamba Degree zao zilenge kuwaandaa vijana katika kujiajiri na si kusubiri ajira za serikali.

Mjapan ameniambia vyuo vikuu katika dunia iliyoendelea huwaandaa vijana katika ubunifu, ujasiri na uthubutu na si kuwafanya wanyonge wa kusubiria ajira katika utumishi wa umma.

Mjapan ameshangaa kuona UDSM kuna wanafunzi wengi sana wanaosoma kozi ya siasa na kuniuliza, hivi hawa wanaandaliwa kuwa nani?

Maendeleo hayana vyama!
Nakubaliana na ujumbe unotoa lakini acha uongo.
Mjapani hata siku moja hutamkuta akiongea siasa za nchi husika, tena na wapita njia kama wewe barabarani.
Siye Wajapani tunawafahamu na ACHA UONGO.
 
Unataka kusema Japan hawasomi Political Science?
Itakuwa Japan ya Matombo labda.
1. Mwanzisha thread hakusema kuwa Japan hawasomi Political Science.
2. Amesema huyo ''mjapani'' kashangaa kuona vijana wengi sana hapa kwetu wanasoma Political Science.
3. Soma uelewe kabla ya kuchangia.
 
Mjapan? Huyo Mjapan ni nani kwani? Mtu yoyote akiongea pumba kwa kuwa ni mjapan basi ni kuanzishia uzi?

Anyway ngoja tujadili hili, ukisema graduates wote wajiajiri tutakuwa na biashara/viwanda ndogo ndogo sana kama utitiri ambazo zitakuwa hazina ufanisi kutokana na economies of scale

Nchi zilizoendelea kama Japan hakuna utitiri kama huu, bali ni giant companies ambazo zinaajiri wahitimu wa vyuo, so huyu mjapan hata hajui uchumi

Unataka mhitimu wa chuo amalize chuo then akajiajiri kuuza vitumbua, sasa tutakuwa na uchumi gani? Elimu yake si imekuwa wasted hapo?
Vidogovidogo ndivo uzaa vikubwa,cocacola company ilianza na ndoo moja ya juice ya coca mfano wa deli la kuuzia askrimu,Mac Donald ilianza kama kijimghawa kidogo
 
Kulundika vyuo vikuu vingi katika nchi ni kuongeza idadi ya masikini nchini.
 
Muhimu ni kujenga vyuo vya maendeleo kila kata watu wamalize la saba wakasome ujuzi Wa kuwaongezea uwezo wa kufikiri ili wawe na tija wazalishe kukuza uchumi
 
Tusaidie details za huyo mjapani anazo degree 4?
Yeye ndie mmiliki wa hiyo kampuni aliyonayo au nae kaja bongo kuajiliwa?
Km kaajiliwa kwann asijiajili uko kwao nn kimemleta uku kwetu?
 
Nakubaliana na ujumbe unotoa lakini acha uongo.
Mjapani hata siku moja hutamkuta akiongea siasa za nchi husika, tena na wapita njia kama wewe barabarani.
Siye Wajapani tunawafahamu na ACHA UONGO.
Asante kwa kulifafanua hili
Wajapan huwa hawajiingizi kwenye siasa mahali popote duniani
Japan ni kama boarding school unaambiwa kabisa ole wako uingie kwenye siasa
Aache uongo kabsaaaaa
 
Je mitaji mtawapa? Wataweza shindana na bidhaa bora?
 
Inamanisha kwakuwa ni mjapan kasema basi tukubaliane nae,alosema magufuli lina ukweli hatupingi ila kujiajiri uko kwa nchi ipi?? Hii au
 
Back
Top Bottom