Mjapan: Rais Magufuli yuko sahihi, vyuo vikuu duniani kulikoendelea huandaa wahitimu kujiajiri na sio kusubiri ajira ya serikali

Mjapan: Rais Magufuli yuko sahihi, vyuo vikuu duniani kulikoendelea huandaa wahitimu kujiajiri na sio kusubiri ajira ya serikali

Kuliko endelea wahitimu wanaenda kuanzisha vibiashara vidogo vidogo halafu ndio unakuwa solution ya tatizo la ajira?
Muhitimu wa chuo atafanyaje biashara ya vitumbua ambayo ni kubwa kumletea maendeleo wakati hana mtaji, hana uzoefu, hajasomea kuhusu biashara? Wachache wanaweza kuanzia from scratch wakasota na wakafika scale kubwa baada ya muda, lakini hao ni asilimia ngapi ya wahitimu wote? Sio kila mtu amezaliwa kufanya biashara, ndio maana hata huko walikoendelea ni watu wachache sana wamejiajiri

Small and medium-sized businesses ndizo zimebeba the lion’s share ya workforces za hao walioendelea. Na hizo biashara ndogo nyingi zake ni ndogo kweli (sole proprietorships).

Ukikalia takwimu zetu utapotea bure, my dear; reliability yake iko chini sana. Kuna watu ni waajiriwa (e.g., houseworkers, sehemu kubwa ya makonda na matingo, waangalizi wa mifugo, etc.), lakini kitakwimu wanahesabika kama self-employed kwa sababu hakuna returns zozote zinazopelekwa serikalini kuonesha kuwa ni sehemu ya waajiriwa.
 
Ok, ndogo ukimaanisha zinaajiri watu wangapi na revenue kiasi gani?
Ukubwa wa kampuni unatokana na mapato yake hivyo ni vigumu kutumia kiasi cha waajiriwa kama kigezo cha ukubwa. Kuna baadhi ya industries zinahitaji wafanyakazi wachache (high skilled) lakini mapato yake ni makubwa sana.
kuna mdau kaweka data hapo, watu wengi kwenye nchi zenye uchumi ulioendelea wamejiriwa, sio kujiajiri
Hii inatofautiana kati ya nchi na nchi kutokana na mfumo wa maendeleo na utamaduni wa nchi husika. Nchi za kijamaa kama China, zenye makampuni makubwa ya serikali tegemea kukuta ajira kubwa inatoka serikalini. Vile kwa zile za kibepari zenye bajeti kubwa jeshini utaona serikali ndiyo mwajiri mkubwa.
 
Ya nini mkuu? Hii inasomwa nchi Masikini, Haaaa wajapani ikiwauliza hata Waziri mkuu wao hawamjui wengi. Wako bise huko kwenye viwanda vya Nisani na Toyora na Isuzu.

Politicla Sayansi ni kwa jili yenu nyie
Kiongozi, you are not serious.
Wanasoma sana tu. Tena hata nje ya nchi zao kupata uzeofu wa nchi nyingine.
 
Small and medium-sized businesses ndizo zimebeba the lion’s share ya workforces za hao walioendelea. Na hizo biashara ndogo nyingi zake ni ndogo kweli (sole proprietorships).

Ukikalia takwimu zetu utapotea bure, my dear; reliability yake iko chini sana. Kuna watu ni waajiriwa (e.g., houseworkers, sehemu kubwa ya makonda na matingo, waangalizi wa mifugo, etc.), lakini kitakwimu wanahesabika kama self-employed kwa sababu hakuna returns zozote zinazopelekwa serikalini kuonesha kuwa ni sehemu ya waajiriwa.
Sasa mkuu kama takwimu hazifa kuamini tuamini nini sasa, ama tutumie reference gani katika huu mjadala, maana takwimu zinasapoti kinacho make sense kiuchumi na ndicho ninachokiamini,
Kuwa ili kuwe na ufanisi katika uchumi, wasomi wetu wanatakiwa kuajiriwa zaidi na sio kujiajiri, watu kujiajiri tutaishia kuwa na vibiashara vidogo vidogo vingi vyenye ufanisi hafifu, na proffesionalism kiduchu. Sipingi wasomi kujijajiri ila wanaoweza kujiajiri na kutoboa ni wachache sana,

Small and medium business kwenye nchi iliyoendelea mfano wa Japan na kwenye nchi kama ya Tanzania ni tofauti, kule small inaweza kumaanisha kuwa na watu kuanzia 100, huku small inamaanisha kibanda cha mama lishe au saluni ambaye hawezi hata kupata mkopo wa benki. So efficiency yake ni tofauti
 
Ukubwa wa kampuni unatokana na mapato yake hivyo ni vigumu kutumia kiasi cha waajiriwa kama kigezo cha ukubwa. Kuna baadhi ya industries zinahitaji wafanyakazi wachache (high skilled) lakini mapato yake ni makubwa sana.

Hii inatofautiana kati ya nchi na nchi kutokana na mfumo wa maendeleo na utamaduni wa nchi husika. Nchi za kijamaa kama China, zenye makampuni makubwa ya serikali tegemea kukuta ajira kubwa inatoka serikalini. Vile kwa zile za kibepari zenye bajeti kubwa jeshini utaona serikali ndiyo mwajiri mkubwa.
sasa mzee unaposema nchi ina kampuni ndogo napaswa nikueleweje sasa, maana ndogo ni relative, inategemea na umeilinganisha na nini. Kampuni ya bia kama Serengeti hapa tz tunaiona kama kampuni kubwa ila kwenye nchi nyingine kampuni ya size hiyo ni kampuni ndogo kutegemea na ukubwa wa makampuni mengine, so ndio maana nikakuuliza hizo biashara ndogo unamaanisha nini?

Mtu kuajiriwa kampuni ya serikali ama binafsi haibadili hoja yangu kuwa mass self employement ni less efficient kuliko employment
 
Hiki kichaka cha kujiajiri kinacholetwa na serikali ni pigo kubwa sana kwa young graduates.
Mnakatisha tamaa sana vijana na ndoto zao, sio kila mtu ana entrepreneurship skills na mitaji pia ni changamoto, elimu imekua haina msaada tena.!
Hivi sasa hata ajira za walimu na madaktari ni shida sasa hawa watajiajiri vipi? Wafungue shule au zahabati binafsi kwa mitaji ipi? Au huko kujiajiri ni kila mtu afuge kuku, mbuzi na biashara ya kuuza karanga?

Serikali inabidi wawe serious kidogo kwa hili sio ngonjera za kufungua viwanda 4,000 ambavyo havionekani wakati wao wameajiriwa wengine hawajui hata biashara zinafanyika vipi.!
 
sasa mzee unaposema nchi ina kampuni ndogo napaswa nikueleweje sasa, maana ndogo ni relative, inategemea na umeilinganisha na nini. Kampuni ya bia kama Serengeti hapa tz tunaiona kama kampuni kubwa ila kwenye nchi nyingine kampuni ya size hiyo ni kampuni ndogo kutegemea na ukubwa wa makampuni mengine, so ndio maana nikakuuliza hizo biashara ndogo unamaanisha nini?
Kwa kurahisisha hoja tuseme kampuni ndogo ni zile zinayoajiri watu wachache (chini ya 20).
Mtu kuajiriwa kampuni ya serikali ama binafsi haibadili hoja yangu kuwa mass self employement ni less efficient kuliko employment
Unamaana gani kusema less efficient? Huoni ni rahisi kuwa na kampuni ndogo ndogo 1000 zinazoajiri watu 10, kila moja kuliko kuwa na kampuni kubwa moja inyoajiri watu elfu kumi?

Hizo kampuni ndogo mitaji yake ya kuanzisha ni midogo na hata kama 50 kati za hizo 1000 zikifa bado uchumi utakuwa imara kuliko kampuni moja kubwa ikifa. Makampuni makubwa yakifa serikali inabidi itumie kodi za masikini ili iisaidie kampuni isivunjike, pesa hizo zingetumika katika maendeleo mengine.

Pia makampuni makubwa yanaweka tabaka la watu wasioshikika kwenye nchi na mara nyingi huwa wanawanunua viongozi wa serikali, hivyo uchumi wa nchi kuwa umewekwa kiganjani na watu wachache.
 
Ni kweli, lakini pia ujasiriamali ni passion na kipaji pia, so asilimia chache sana ya wahitimu wanaweza kujiajiri na kukuza makampuni makubwa kutoka chini kabisa, so kutegemea kila grauduate ajiajiri na afanikiwe kiasi hicho ni kuwa unfair
Naona njia mbadala zaidi ni serikali kufanya iwezavyo kurahisisha uwekezaji utakaoajiri graduates wengi
Uwekezaji utegemea na sera za kiongozi kama Ana allergy na matajiri sahau kuhusu hilo.lengo la Kuwasomesha watu namba ni kuongeza idadi ya masikini na kuongeza tatizo la ukosefu Wa ajira kwenye nchi
 
Injinia wa kijapani pale Mwenge amekubaliana na ushauri wa Rais Magufuli kwa vyuo vikuu kwamba Degree zao zilenge kuwaandaa vijana katika kujiajiri na si kusubiri ajira za serikali.

Mjapan ameniambia vyuo vikuu katika dunia iliyoendelea huwaandaa vijana katika ubunifu, ujasiri na uthubutu na si kuwafanya wanyonge wa kusubiria ajira katika utumishi wa umma.

Mjapan ameshangaa kuona UDSM kuna wanafunzi wengi sana wanaosoma kozi ya siasa na kuniuliza, hivi hawa wanaandaliwa kuwa nani?

Maendeleo hayana vyama!
Shida sio kujiajiri tatizo linakuja pale tunapohimizwa kujiajiri na wanaotuhimiza watoto wao wanaajiriwa tena serikalini,
 
Inaweza kuwa discussion ndefu.
Tunao lecturers wa kutosha kufundisha Engineering kwa mfano?
DUCE na MUCE zinatoa walimu wengi wa science au arts?
Kwahiyo vijana wanasoma siasa kwa sababu hakuna walimu wa sayansi?!
 
Back
Top Bottom