Mjapan: Rais Magufuli yuko sahihi, vyuo vikuu duniani kulikoendelea huandaa wahitimu kujiajiri na sio kusubiri ajira ya serikali

Mjapan: Rais Magufuli yuko sahihi, vyuo vikuu duniani kulikoendelea huandaa wahitimu kujiajiri na sio kusubiri ajira ya serikali

Tusaidie details za huyo mjapani anazo degree 4?
Yeye ndie mmiliki wa hiyo kampuni aliyonayo au nae kaja bongo kuajiliwa?
Km kaajiliwa kwann asijiajili uko kwao nn kimemleta uku kwetu?

Madegree ni nchi masikini wenzetu walishatoka kwenye ujinga huo wa kuangalia vyeti
 
Mjapan? Huyo Mjapan ni nani kwani? Mtu yoyote akiongea pumba kwa kuwa ni mjapan basi ni kuanzishia uzi?

Anyway ngoja tujadili hili, ukisema graduates wote wajiajiri tutakuwa na biashara/viwanda ndogo ndogo sana kama utitiri ambazo zitakuwa hazina ufanisi kutokana na economies of scale

Nchi zilizoendelea kama Japan hakuna utitiri kama huu, bali ni giant companies ambazo zinaajiri wahitimu wa vyuo, so huyu mjapan hata hajui uchumi

Unataka mhitimu wa chuo amalize chuo then akajiajiri kuuza vitumbua, sasa tutakuwa na uchumi gani? Elimu yake si imekuwa wasted hapo?
Uko nje reli
 
Mjapan? Huyo Mjapan ni nani kwani? Mtu yoyote akiongea pumba kwa kuwa ni mjapan basi ni kuanzishia uzi?

Anyway ngoja tujadili hili, ukisema graduates wote wajiajiri tutakuwa na biashara/viwanda ndogo ndogo sana kama utitiri ambazo zitakuwa hazina ufanisi kutokana na economies of scale

Nchi zilizoendelea kama Japan hakuna utitiri kama huu, bali ni giant companies ambazo zinaajiri wahitimu wa vyuo, so huyu mjapan hata hajui uchumi

Unataka mhitimu wa chuo amalize chuo then akajiajiri kuuza vitumbua, sasa tutakuwa na uchumi gani? Elimu yake si imekuwa wasted hapo?

Rigidity uliyoionesha katika paragraph yako ya mwisho ni typical ya rigidities za kifikira zinazotukwamisha: kwamba unachosomea ndicho utakachofanya baada ya kuhitimu.

Huko kulikoendelea hakuna rigidities za aina hii. Kama unaweza kufanya biashara ya vitumbua at a commercially viable scale, do it with passion, regardless of your academic major!
 
1. Mwanzisha thread hakusema kuwa Japan hawasomi Political Science.
2. Amesema huyo ''mjapani'' kashangaa kuona vijana wengi sana hapa kwetu wanasoma Political Science.
3. Soma uelewe kabla ya kuchangia.
Msome between the lines. It's very obvious.
Elewa kabla ya kukosoa.
 
NADHANI UPO ULAZIMA WA WANAFUNZI WANAOSOMESHWA KWA GHARAMA ZA SEREKALI KUPATIWA VITAMBULISHO VYA TAIFA KWANZA,KWA NJIA YA KUJIAJIRI HUENDA FEDHA ZA BOARD NYINGI ZIKAPOTEA
 
Viongozi wakisiasa ,kwasasa tunahtaji mgombea uenyekiti wakijiji nakitongoji awe nahiyo digri,ungemwambia hivyo au uliishia kumshangaa ufupi wake
Injinia wa kijapani pale Mwenge amekubaliana na ushauri wa Rais Magufuli kwa vyuo vikuu kwamba Degree zao zilenge kuwaandaa vijana katika kujiajiri na si kusubiri ajira za serikali.

Mjapan ameniambia vyuo vikuu katika dunia iliyoendelea huwaandaa vijana katika ubunifu, ujasiri na uthubutu na si kuwafanya wanyonge wa kusubiria ajira katika utumishi wa umma.

Mjapan ameshangaa kuona UDSM kuna wanafunzi wengi sana wanaosoma kozi ya siasa na kuniuliza, hivi hawa wanaandaliwa kuwa nani?

Maendeleo hayana vyama!
 
Nimekuwa nikijizuia sana kuandika kuhusu hii topic lakini ngoja niseme machache kuhusu concept ya kujiajiri na kuajiriwa kwa wahitimu/vijana.

Katika dunia ya leo, vijana wengi wabunifu na wanaojiajiri wanatoka katika nchi zinazoeendelea na masikini kama Tanzania. Swala la kwamba nchi tajiri kama Marekani na nchi za bara la ulaya zinaandaa wanafunzi wake wajiajiri ni uongo wa wazi wazi kabisa.

Nadhani hili swala la viongozi wengi wa siasa kupigia kelele swala la vijana kujiajiri ni wao kukukosa ubunifu wa kutengeneza ajira na kuanza kupeleka lawana kwa vijana kwamba wao ndo wanabweteka na hawataki kujiajiri. Serikali ndo inatakiwa itengeneze ajira, hizi kelele za vijana kujiajiri ni serikali kukosa ubunifu katika uchumi.

Statistics zinaonyesha vijana wanajiajiri sana kwenye nchi masikini kuliko nchi tajiri na zilizoendelea.


Self employment statistics 2018
1. low income countries = 81%
2. Middle income = 47%
3. High income = 12%

Marekani ni 6% tu ya watu ndo wamejiajiri

Mwaka jana Burundi ndio iliongoza kwa kuwa na asilimia karibu ya 94% ya self-employment sasa haya malamiko kwamba vijana wa nchi masikini hawataki kujiajiri yanatoka wapi?

Serikali ijitahidi kutengeneza ajira, vijana wanapigana vya kutosha na sio wa kulaumiwa.
20191121_211405.jpeg
 
Ngoja waje wenye Degree zao
Injinia wa kijapani pale Mwenge amekubaliana na ushauri wa Rais Magufuli kwa vyuo vikuu kwamba Degree zao zilenge kuwaandaa vijana katika kujiajiri na si kusubiri ajira za serikali.

Mjapan ameniambia vyuo vikuu katika dunia iliyoendelea huwaandaa vijana katika ubunifu, ujasiri na uthubutu na si kuwafanya wanyonge wa kusubiria ajira katika utumishi wa umma.

Mjapan ameshangaa kuona UDSM kuna wanafunzi wengi sana wanaosoma kozi ya siasa na kuniuliza, hivi hawa wanaandaliwa kuwa nani?

Maendeleo hayana vyama!
 
Ya nini mkuu? Hii inasomwa nchi Masikini, Haaaa wajapani ikiwauliza hata Waziri mkuu wao hawamjui wengi. Wako bise huko kwenye viwanda vya Nisani na Toyora na Isuzu.

Politicla Sayansi ni kwa jili yenu nyie
Unataka kusema Japan hawasomi Political Science?
Itakuwa Japan ya Matombo labda.
 
Serikali ya jpan haiwatupi wasomi. Wenzetu cheti tu wanatumia kuomba mkopo. Wewe nenda na chet chako bank uone utakavyokuwa kituko.
 
Vidogovidogo ndivo uzaa vikubwa,cocacola company ilianza na ndoo moja ya juice ya coca mfano wa deli la kuuzia askrimu,Mac Donald ilianza kama kijimghawa kidogo
Ni kweli, lakini pia ujasiriamali ni passion na kipaji pia, so asilimia chache sana ya wahitimu wanaweza kujiajiri na kukuza makampuni makubwa kutoka chini kabisa, so kutegemea kila grauduate ajiajiri na afanikiwe kiasi hicho ni kuwa unfair
Naona njia mbadala zaidi ni serikali kufanya iwezavyo kurahisisha uwekezaji utakaoajiri graduates wengi
 
Rigidity uliyoionesha katika paragraph yako ya mwisho ni typical ya rigidities za kifikira zinazotukwamisha: kwamba unachosomea ndicho utakachofanya baada ya kuhitimu.

Huko kulikoendelea hakuna rigidities za aina hii. Kama unaweza kufanya biashara ya vitumbua at a commercially viable scale, do it with passion, regardless of your academic major!
Kuliko endelea wahitimu wanaenda kuanzisha vibiashara vidogo vidogo halafu ndio unakuwa solution ya tatizo la ajira?
Muhitimu wa chuo atafanyaje biashara ya vitumbua ambayo ni kubwa kumletea maendeleo wakati hana mtaji, hana uzoefu, hajasomea kuhusu biashara? Wachache wanaweza kuanzia from scratch wakasota na wakafika scale kubwa baada ya muda, lakini hao ni asilimia ngapi ya wahitimu wote? Sio kila mtu amezaliwa kufanya biashara, ndio maana hata huko walikoendelea ni watu wachache sana wamejiajiri
 
Mjapan? Huyo Mjapan ni nani kwani? Mtu yoyote akiongea pumba kwa kuwa ni mjapan basi ni kuanzishia uzi?

Anyway ngoja tujadili hili, ukisema graduates wote wajiajiri tutakuwa na biashara/viwanda ndogo ndogo sana kama utitiri ambazo zitakuwa hazina ufanisi kutokana na economies of scale

Nchi zilizoendelea kama Japan hakuna utitiri kama huu, bali ni giant companies ambazo zinaajiri wahitimu wa vyuo, so huyu mjapan hata hajui uchumi

Unataka mhitimu wa chuo amalize chuo then akajiajiri kuuza vitumbua, sasa tutakuwa na uchumi gani? Elimu yake si imekuwa wasted hapo?
Siyo kweli, wewe utakuwa unaangalia zile kampuni za kimataifa kama Sony na Toyota. Makampuni mengi Japani ni kampuni ndogo ndogo kama ilivyo Ujerumani pia.
 
Nimekuwa nikijizuia sana kuandika kuhusu hii topic lakini ngoja niseme machache kuhusu concept ya kujiajiri na kuajiriwa kwa wahitimu/vijana.

Katika dunia ya leo, vijana wengi wabunifu na wanaojiajiri wanatoka katika nchi zinazoeendelea na masikini kama Tanzania. Swala la kwamba nchi tajiri kama Marekani na nchi za bara la ulaya zinaandaa wanafunzi wake wajiajiri ni uongo wa wazi wazi kabisa.

Nadhani hili swala la viongozi wengi wa siasa kupigia kelele swala la vijana kujiajiri ni wao kukukosa ubunifu wa kutengeneza ajira na kuanza kupeleka lawana kwa vijana kwamba wao ndo wanabweteka na hawataki kujiajiri. Serikali ndo inatakiwa itengeneze ajira, hizi kelele za vijana kujiajiri ni serikali kukosa ubunifu katika uchumi.

Statistics zinaonyesha vijana wanajiajiri sana kwenye nchi masikini kuliko nchi tajiri na zilizoendelea.


Self employment statistics 2018
1. low income countries = 81%
2. Middle income = 47%
3. High income = 12%

Marekani ni 6% tu ya watu ndo wamejiajiri

Mwaka jana Burundi ndio iliongoza kwa kuwa na asilimia karibu ya 94% ya self-employment sasa haya malamiko kwamba vijana wa nchi masikini hawataki kujiajiri yanatoka wapi?

Serikali ijitahidi kutengeneza ajira, vijana wanapigana vya kutosha na sio wa kulaumiwa.View attachment 1268554
Asante sana kwa uchambuzi makini ambao upo backed na takwimu
nchi yoyote ambayo watu wengi wanajiajiri ni kuwa hiyo nchi uchumi wake utadumaa
Sababu ajira nyingi wanazojiajiri nazo nyingi ni za scale ndogo ambazo hazina ufanisi kiuchumi na pia zinakuwa nje ya profession yao na inakuwa ngumu sana kukua.
Hii rasilimali ya watu wasomi inakuwa haijatumika effective, sababu knowledge yao ambayo imegharamikiwa sana haitatumika kwenye hizo ajira. hii ni hasara moja kubwa sana ambayo hatuioni,

Utakuta mtu ametoka chuo hajui chochote kuhusu ufugaji anaenda kufuga kuku, kuku hawatagi ipasavyo ama wanakufa sababu ya kukosa utaalam sahihi, hii ni waste
 
Siyo kweli, wewe utakuwa unaangalia zile kampuni za kimataifa kama Sony na Toyota. Makampuni mengi Japani ni kampuni ndogo ndogo kama ilivyo Ujerumani pia.
Ok, ndogo ukimaanisha zinaajiri watu wangapi na revenue kiasi gani? kuna mdau kaweka data hapo, watu wengi kwenye nchi zenye uchumi ulioendelea wamejiriwa, sio kujiajiri
 
Unajua haya mambo yanatufanya sisi first year tukate tamaa na elimu ya chuo kabisa
 
Back
Top Bottom