Mje hapa wale wazee wa watoto wachache

Mje hapa wale wazee wa watoto wachache

Ye aongeze ili tumfate.Haiwezekani sijui ntakula nini then niongeze wanaohitaji chakula zaidi.Mfumo wa leo ni wakibepari!
Lakini KILA mtoto huja na riziki yake thus mtoto yeyeto uzaliwa amekunja ngumi ikimaanisha ameshikilia riziki yake
 
Unataka Kila mmoja abebe wake 🤣🤣🤣...tuko wengi mno utatumaliza kweli jirani🚴
Navyojua mimi wanawake mna roho nzuri sana...

Siyo tatizo kwenu mkiwa hata kumi sehemu moja... sii ndiyo jirani...
 
Navyojua mimi wanawake mna roho nzuri sana...

Siyo tatizo kwenu mkiwa hata kumi sehemu moja... sii ndiyo jirani...
Yeah,kikubwa huduma.Ila usiangalie Leo TU...sikuhizi tunavyozaa tunaangalia na umri....siyo unazaa TU then kulea waje wateseke kaka zake.siyo vyema
 
Mie kwa mke wangu nazaa watatu tu, lakini nitagawa mbegu kwa wanawake wanaotaka sharti awe na kazi ya kudumu au biashara iliyochangamka hasa.
Home kwa my wife tayari 5 o'clock. Lkn nineshow love mahali A 1 na B 1. Nafikiri nimejitahidi. Tujitahidi sana jamani kuzaaaa.
 
Karibuni. magu aliposema tufyatue mlimuona was ajabu Sasa musk anasisitiza wenzake waache uvivu
Mungu baba wa Mbinguni pamoja na utajiri wote alio nao, ana mtoto mmoja tu; Yesu Kristo.
Wewe ambaye hujui kesho utakula nini unataka uwe na watoto sita!
Kwa mtini jifunzeni. Maisha yamebadilika. Usije kuwapa ndugu zako mzigo wa kulea...
 
Mpaka wiki ijayo tutakaposikia matokeo ya sensa ndio tutajua Kama Elon Musk anasema kweli.
 
Kiufupi mimi sipendi kabisa kuona watu wanazaa zaa hovyo hovyo,mfano kwenye sherehe za vijijin au misibani mkikutana ndugu huwa nashangaa kuona kila mwanamke yupo na mtoto mdogo,huwa nakereka sana.

Kumbuka unajukumu la kuwatunza na kuwaandalia mazingira mazuri wanao pamoja na wajukuu
 
Yeye ni billionaire, richest man on earth, yaani ni tajiri kushinda kila mtu duniani hivyo hata akifyatua watoto 20 ana uhakika wa kuwalea na ukilinganisha kafungua shule yake kabisa yenye mfumo wake wa elimu kwa ajili ya wanae tu.

Sasa wewe mmatumbi unayeshindia vitumbua viwili na andazi moja muige alafu subiri hao watoto 10 waje kukuua na kukugeuza mboga sababu uliwazaa ili waje kuteseka na ulijua wazi wewe ni masikini.

Zaa watoto kutokana na kiwango chako cha uchumi.
 
Lakini KILA mtoto huja na riziki yake thus mtoto yeyeto uzaliwa amekunja ngumi ikimaanisha ameshikilia riziki yake
Wee,usijaribu sumu kwa kuilamba

Siku ukiwa na watoto watatu na wote wanadai wamekula lakini hawajashiba ndo utajawa na uchungu ukitamani umuuze mmoja wao ili uwalishe wale wanaobaki!!
 
Back
Top Bottom