Lakini KILA mtoto huja na riziki yake thus mtoto yeyeto uzaliwa amekunja ngumi ikimaanisha ameshikilia riziki yakeYe aongeze ili tumfate.Haiwezekani sijui ntakula nini then niongeze wanaohitaji chakula zaidi.Mfumo wa leo ni wakibepari!
Navyojua mimi wanawake mna roho nzuri sana...Unataka Kila mmoja abebe wake 🤣🤣🤣...tuko wengi mno utatumaliza kweli jirani🚴
Yeah,kikubwa huduma.Ila usiangalie Leo TU...sikuhizi tunavyozaa tunaangalia na umri....siyo unazaa TU then kulea waje wateseke kaka zake.siyo vyemaNavyojua mimi wanawake mna roho nzuri sana...
Siyo tatizo kwenu mkiwa hata kumi sehemu moja... sii ndiyo jirani...
Hakika...Yeah,kikubwa huduma.Ila usiangalie Leo TU...sikuhizi tunavyozaa tunaangalia na umri....siyo unazaa TU then kulea waje wateseke kaka zake.siyo vyema
Home kwa my wife tayari 5 o'clock. Lkn nineshow love mahali A 1 na B 1. Nafikiri nimejitahidi. Tujitahidi sana jamani kuzaaaa.Mie kwa mke wangu nazaa watatu tu, lakini nitagawa mbegu kwa wanawake wanaotaka sharti awe na kazi ya kudumu au biashara iliyochangamka hasa.
Mungu baba wa Mbinguni pamoja na utajiri wote alio nao, ana mtoto mmoja tu; Yesu Kristo.Karibuni. magu aliposema tufyatue mlimuona was ajabu Sasa musk anasisitiza wenzake waache uvivu
Wee,usijaribu sumu kwa kuilambaLakini KILA mtoto huja na riziki yake thus mtoto yeyeto uzaliwa amekunja ngumi ikimaanisha ameshikilia riziki yake