Ruwamangi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 1,292
- 2,382
Ili kijana utoboe kwenye haya maisha
Ukweli ni kwamba kuna vitu vya kuepuka
Mosi, ngono huyu ni adui namba moja kwa kijana hick kitendo cha kuchanganya wanawake kina athiri the whole of life la mtu
Kupitia ngono kuna nuksi,balaa na kila aina y a laana (mimi nishahidi wa hili)
Pili, starehe za pombe za kampani na marafiki wasio sahihi
Tatu, kutaka kujilinganisha na mtu maisha hayako hivyo utakufa na stress.
Kwa kuongezea:
Vijana wajikite kutafta hekma, kwa watu mbalimbali wawe na maono makubwa watakuwa na hamu ma maisha yao
Mwisho wawe na imani dhabiti.
Ukweli ni kwamba kuna vitu vya kuepuka
Mosi, ngono huyu ni adui namba moja kwa kijana hick kitendo cha kuchanganya wanawake kina athiri the whole of life la mtu
Kupitia ngono kuna nuksi,balaa na kila aina y a laana (mimi nishahidi wa hili)
Pili, starehe za pombe za kampani na marafiki wasio sahihi
Tatu, kutaka kujilinganisha na mtu maisha hayako hivyo utakufa na stress.
Kwa kuongezea:
Vijana wajikite kutafta hekma, kwa watu mbalimbali wawe na maono makubwa watakuwa na hamu ma maisha yao
Mwisho wawe na imani dhabiti.