Mje mtushauri vijana wa miaka 25 hadi 40

Mje mtushauri vijana wa miaka 25 hadi 40

Ili kijana utoboe kwenye haya maisha

Ukweli ni kwamba kuna vitu vya kuepuka

Mosi, ngono huyu ni adui namba moja kwa kijana hick kitendo cha kuchanganya wanawake kina athiri the whole of life la mtu
Kupitia ngono kuna nuksi,balaa na kila aina y a laana (mimi nishahidi wa hili)

Pili, starehe za pombe za kampani na marafiki wasio sahihi

Tatu, kutaka kujilinganisha na mtu maisha hayako hivyo utakufa na stress.

Kwa kuongezea:

Vijana wajikite kutafta hekma, kwa watu mbalimbali wawe na maono makubwa watakuwa na hamu ma maisha yao

Mwisho wawe na imani dhabiti.
 
Ili kijana utoboe kwenye haya maisha

Ukweli ni kwamba kuna vitu vya kuepuka

Mosi, ngono huyu ni adui namba moja kwa kijana hick kitendo cha kuchanganya wanawake kina athiri the whole of life la mtu
Kupitia ngono kuna nuksi,balaa na kila aina y a laana (mimi nishahidi wa hili)

Pili, starehe za pombe za kampani na marafiki wasio sahihi

Tatu, kutaka kujilinganisha na mtu maisha hayako hivyo utakufa na stress.

Kwa kuongezea:

Vijana wajikite kutafta hekma, kwa watu mbalimbali wawe na maono makubwa watakuwa na hamu ma maisha yao

Mwisho wawe na imani dhabiti.
Aika mchaka
 
Wanawake wengi hawachangii kitu ktk ndoa, hata awe mfanyakazi ama mfanyabiashara mwenye kipato kikubwa.

Kwahiyo ukiwa unatemgenez kipato cha 1M kabla ya kuoa, basi jua ya kwamba siku ukioa unakigawa hicho kipato kwa watu 2. Na siku ikipata mtoto unakigawa kwa watu 3. Ndiyo mwanzo wa umaskini.
Hapa inategemea na aina ya mwanamke uliemuoa,,, ndo maana vijana wanaambiwa usioe ovyo.... Kuna wanaume waliooa na kazi zao na vimishahara vya tamisemi na wameoa wamama wa nyumbani kupitia akili ya mke mume anavimba na kuona kayalenga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari.

Nimekuja na mada hii kwa wazoefu wa maisha mnaweza kutusaidia sisi vijana wadogo ambao tuko kwenye miaka 23 hadi 40.

Maisha yetu yamekuwa ni ya matarajio mengi sana lakini uhalisia wa hayo matarajio ni tofauti na tunavyofikiria au tulivyoahidi.

Umri umefika tumejikuta tuna wake ,watoto na kazi au vitu vya kawaida ambavyo hatukuwa na mipango navyo labda tuseme tunaona tumefeli .

Tuliwaza kumiliki Nyumba Kali,Gari nzuri ,kuwa na kazi yenye mshahara wa kutosheleza mahitaji maishani na ndugu lakini haijawa hivyo.

Kwa wazoefu wa maisha.

Tunaomba mtushauri kitu gani cha ziada tufanye hili tuweze kufikia lengo la maisha wakuu
Ushauri wa bure....mwanamke ni shetani wewe wala usiendekeze upendo kwake.
 
Back
Top Bottom