Aika mchakaIli kijana utoboe kwenye haya maisha
Ukweli ni kwamba kuna vitu vya kuepuka
Mosi, ngono huyu ni adui namba moja kwa kijana hick kitendo cha kuchanganya wanawake kina athiri the whole of life la mtu
Kupitia ngono kuna nuksi,balaa na kila aina y a laana (mimi nishahidi wa hili)
Pili, starehe za pombe za kampani na marafiki wasio sahihi
Tatu, kutaka kujilinganisha na mtu maisha hayako hivyo utakufa na stress.
Kwa kuongezea:
Vijana wajikite kutafta hekma, kwa watu mbalimbali wawe na maono makubwa watakuwa na hamu ma maisha yao
Mwisho wawe na imani dhabiti.
Hadi wazee waoga kumbeNimeogopa ban
Njoo nikokee motoHadi wazee waoga kumbe
mimi naomba ushauriNjoo nikokee moto
Omba kwa wazeemimi naomba ushauri
HahahahaOmba kwa wazee
Tukiviacha hivyo si tutaishi maisha ya kikale sasaMapenzi, showoff, social medias
Hizi comment za kipumbavu na zisizo na tija zinapatiakana hasa hasa kule facebook.front seat.
Umevuka hiyo range?Mapenzi, showoff, social medias
Hapa inategemea na aina ya mwanamke uliemuoa,,, ndo maana vijana wanaambiwa usioe ovyo.... Kuna wanaume waliooa na kazi zao na vimishahara vya tamisemi na wameoa wamama wa nyumbani kupitia akili ya mke mume anavimba na kuona kayalengaWanawake wengi hawachangii kitu ktk ndoa, hata awe mfanyakazi ama mfanyabiashara mwenye kipato kikubwa.
Kwahiyo ukiwa unatemgenez kipato cha 1M kabla ya kuoa, basi jua ya kwamba siku ukioa unakigawa hicho kipato kwa watu 2. Na siku ikipata mtoto unakigawa kwa watu 3. Ndiyo mwanzo wa umaskini.
Natamani nikuelewe vizuri ktk hii hoja yako. Lkn imenipiga chenga. Kama hutojali tafadhali iweke vema.Kuna wanaume waliooa na kazi zao na vimishahara vya tamisemi na wameoa wamama wa nyumbani kupitia akili ya mke mume anavimba na kuona kayalenga
Kumbe 35+ to 40 nao ni vijana wadogo? 😂😂Nimekuja na mada hii kwa wazoefu wa maisha mnaweza kutusaidia sisi vijana wadogo ambao tuko kwenye miaka 23 hadi 40.
Ushauri wa bure....mwanamke ni shetani wewe wala usiendekeze upendo kwake.Habari.
Nimekuja na mada hii kwa wazoefu wa maisha mnaweza kutusaidia sisi vijana wadogo ambao tuko kwenye miaka 23 hadi 40.
Maisha yetu yamekuwa ni ya matarajio mengi sana lakini uhalisia wa hayo matarajio ni tofauti na tunavyofikiria au tulivyoahidi.
Umri umefika tumejikuta tuna wake ,watoto na kazi au vitu vya kawaida ambavyo hatukuwa na mipango navyo labda tuseme tunaona tumefeli .
Tuliwaza kumiliki Nyumba Kali,Gari nzuri ,kuwa na kazi yenye mshahara wa kutosheleza mahitaji maishani na ndugu lakini haijawa hivyo.
Kwa wazoefu wa maisha.
Tunaomba mtushauri kitu gani cha ziada tufanye hili tuweze kufikia lengo la maisha wakuu
Sasa bila gari pisi kali utaishia kuzipigia nyeto tuu.Anayetaka kutoboa afanye yafuatayo:
1. KATAA ndoa.
2. Acha mipombe, mibangi na starehe zote.
3. Ishi kulingana na uwezo wako. Ni upuuzi kuanza kununua gari halafu unapaki polisi, petrol station, ama shule jirani.
Kuandika kipaji elewa hivyo hivyoNatamani nikuelewe vizuri ktk hii hoja yako. Lkn imenipiga chenga. Kama hutojali tafadhali iweke vema.