tabularassa One
Member
- Mar 1, 2011
- 8
- 0
inawezekana ni ugonjwa wa zinaa,
nenda hosptl nyingine kachek, maana kuna ugonjwa unaitwa GENITAL WARTS unasababishwa na virusi vya Human Papilona Virus (HPV) niliambiwa upo sana nchi za wenzetu Ulaya huku africa bado hujaenea sana, em check hizi dalili kwenye weekpedia. my advice, acha ngono zembe, jitaidi sana kuacha ngono kwan hakuna jipya kwa hao wanawake unaobadilisha kila siku... chunga tamaa mbaya,m tuliza moyo wako mkuu! utapona
inawezekana ni ugonjwa wa zinaa,
nenda hosptl nyingine kachek, maana kuna ugonjwa unaitwa GENITAL WARTS unasababishwa na virusi vya Human Papilona Virus (HPV) niliambiwa upo sana nchi za wenzetu Ulaya huku africa bado hujaenea sana, em check hizi dalili kwenye weekpedia. my advice, acha ngono zembe, jitaidi sana kuacha ngono kwan hakuna jipya kwa hao wanawake unaobadilisha kila siku... chunga tamaa mbaya,m tuliza moyo wako mkuu! utapona
mmmhh!!! hii dawa ni sawa na kumngoa mgonjwa jino kwa ngumi!!!
Duuuh... umemuogopesha badala ya kumshauri...
my advice, acha ngono zembe, jitaidi sana kuacha ngono kwan hakuna jipya kwa hao wanawake unaobadilisha kila siku... chunga tamaa mbaya,m tuliza moyo wako mkuu! utapona