tabularassa One
Member
- Mar 1, 2011
- 8
- 0
Wana jf, ni miezisita tokea uume wangu uanze kutokewa na vijipele juu ya ngozi,sio kichwani. LAKUSHANGAZA, haviumi wala haviwashi. Nimejaribu kupima magonjwa ya zinaa lakini sijapata jibu sahihi.Labda mnanisaidiaje,kwani nakosasana raha...........????????????????????????????????????????????