Gushleviv
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 3,475
- 5,290
kumtambua Chizi barabarani lazima nawe uwe Chizi??Umejuaje Mkuu?
Are you within the circle?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumtambua Chizi barabarani lazima nawe uwe Chizi??Umejuaje Mkuu?
Are you within the circle?
Mkuu Arusha sikuitegemea kabisa kwenye haya mambo. Ila niliyo yaona ? .... nakubaliana na wewe. Upo sahihi.
Kule kwao Wana ugumu wa kishamba , wakipigwa joto la Dar wanalainika....ready to be eatenChuga si ndo kwa wagumu au vipi tena
Binamu unamaana Jux ameshapoteza marinda?
Vee mwenyewe ana danga muda mwingine, alishawah lala na boss wa kichina kwa Tsh 2m per night
Hawa wasanii msione wana ishi maisha mazuri, they do shitty things
Kanye alishawah kuimba
"It seems we living the American dream,
the people higher up, have the lowest self esteem,
The prettiest people do the ugliest things,
On the road to riches and diamond rings,"
Ndo maisha ya hawa wasanii sasa...
Hahaha[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]na hii sura.
ah watu wana roho ngumu kuliko wauaji.
Huko ndio wanaliwa ile mbayaChuga si ndo kwa wagumu au vipi tena
All Falls DownLyrics za wimbo gani brah!
Ni mdauNa mm nimeshangaa huyo siku hiz ni stylish anavisha watu nguo anaitwa ndeki sasa mbona mm nilijua ni kauzu kumbe na yeye ni mchele nimeshangaa sana
Umesema haswaa kila MTU anatumia mwili wake atakavyo, hakuna kupangianaUna ushahidi uhakika gani kuwa haya si majungu tu? Mna ushahidi kuwa wanapakuliwa? After all kila mtu ana m****u wake akiutumia anavyopenda watu wengine inawakera nini? Huko si kuingilia faragha ya mtu?
Vee mwenyewe ni lesbianDuuuuu sasa kama jux angekua punga Vanessa si angemkimbia kwa kushindwa kumridhisha????
Mmh.Vee mwenyewe ni lesbian
Huko mashuleni full kuchimbana eehHaya mambo yapo sana tena mashuleni saivi ni hatari tupu full kugeuzana zamu zamu
Chuga wakishakula bange mishipa inalegea. Pia, influence ya utalii imewafanya vijana kutoa jicho kama namna ya kuongeza kipato na kupata wazee wa kizungu.Huko ndio wanaliwa ile mbaya