Mji mzito huu

Aaaah, sitoki humu binamu ngoja niweke bando la chuo. Umbea kila mtu anapenda tunatofautina jinsi ya kuupata. Wengi hawajioneshi, mitandao imesitiri mengi.

Usiniangushe binamu, penda sana legend wa gossiping. Ungeweka kapaje insta bhasi.
Ahahaha et sitapata usingiz, umenivunja mbavu , huu ubuyu ntapost usiku saa nne Leo


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie msifanye binti mashauzi aka mlokole fake akacomit murder bulee
Mwenzenu ataka kuwa madame kama Jacklin Mengi,tatizo uwezo mdogo,makandokando mengi na alishajiharibia brand since wayback
Wajua katika maisha hakuna short cut and ukitake short cut lazima itaback fire in the long run,kwani Mungu huwa hamfichi mnafiq

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We mwaga tu kwani Ben pize ana shida gani na mtu?ama b twangala?mbona umewaexpoze?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua hawa mastaa wetu hadi kufika hapo walipo wamebebwa vya kutosha hivyo hawajazoea kujiendesha wenyewe. Ndo maana madini anashindwa kutoka yeye kama yeye bila msaada wa mwanaume.

Ngumi za haja,ustaa huko huko tangu afumwe na hirizi ya kupumua ujanja pembeni. Hahahaa eti kadondoka jela duh aiseee waja wana mambo

Maisha ya mastaa wetu ni shinda. Cheki shangazi(kwa kizungu)tangu atoswe na mcheza shoo siku hizi ni mwendo wa editing mpaka mageti na vioo vinapinda ili mradi aonekane ka binti kuvutia danga jipya
 
Angetaka u madame angemfata jack kupata somo,bidada hakufika hapo kirahisi alisota alifulia mpaka ilifikia alienda shop supermarket kachagua vitu wee mwisho anaangalia salio halitoshi akasepa kama sio yeye bila vitu
 

Aaaah kanunue kifurushi cha wiki , huku mambo ni fireee🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Mmh yan ukisikia mambo yao waweza kuogopa hii dunia , walivyo na mambo yao tofauti


Huyu mke wa machache nae sekeseke lake ni hataree , mdomo komaaa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
We naeee unakaribia menopause ka mie unaanza kupoteza kumbukumbu!
mfyuuuu!
Kuna code gani hapa ya kumuombea binamu akufe!
KWANZA mi nataka birthday yake iwe leo!
warumi HAPPY BIRTHDAY LOVE!
Hahahahaaaa hakika menopause imebisha hodi akiweka code nakukimbilia chap
 
hii itakuwa wale vijana wa mavi fm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahahaha et sitapata usingiz, umenivunja mbavu , huu ubuyu ntapost usiku saa nne Leo


Sent from my iPhone using JamiiForums
Binamu nami nausubiri kwa hamu huo ubuyu wa zenji, ila usituchomeshe mahindi tutakufwa wenziooo
 
Mmh yan ukisikia mambo yao waweza kuogopa hii dunia , walivyo na mambo yao tofauti


Huyu mke wa machache nae sekeseke lake ni hataree , mdomo komaaa


Sent from my iPhone using JamiiForums
Nyuzi kama hizi zisipondikwa na Binamu hata hazinogi. Ni mwendo wa Code tu. Nasubiria na hii ya Mama Machache... twende kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…