Mji mzito huu

Hyo redio haina upaako Usipokua punga sese basi inabid uwe mariooo
 
Nieleweshe kwenye kutisha na kuogopesha, vingine vyote navielewa binamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi shangazi kamwagwa kweli na mkata mauno?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyo twanga alinishika mkono ile handshaking lahaula mkono lainiiiiiiiiiiii kama wa kike nkashindwa kuelewa mwanaume unatakiwa uwe na mkono mgumu kama msasa

 
Mmh haya kwangu mapya. Shangazi pia katoswa? Maana insta watu kwa kujitia wana mahaba. Kumbe behind close door ni joto tu
 
Ngoja nkupe umbea kutoka reliable source kabisaa!!!wako wote ila ndani vululuvululu yaani!!

Aunty hamtaki hata kumuona janaume linajing'ang'aniza balaa...wanamchambaaa iyobo vibaya mnoo!!!kwanza kumbe analelewa hana chochote yule mcheza shoo!mpk gari ya mama biskuti!yupo siku yoyote anabwaga rasmi ile kila mtu kivyake
Hivi shangazi kamwagwa kweli na mkata mauno?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…