Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakua mr mwezi
Nieleweshe kwenye kutisha na kuogopesha, vingine vyote navielewa binamuZaman alikua anauza ule unga haramu Ila akaacha, akaja kujiingiza kwenye mambo ya kutisha na kuogopesha , yan watu waone tu watu wana pesa , mkijua chanzo chake hamtaamini
Nilitaka kumwaga ubuyu wote Ila ngoja tu nimsitiri kwa kuwa hanaga shida na mtu kwenye ulimwengu unaoonekana
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nieleweshe kwenye kutisha na kuogopesha, vingine vyote navielewa binamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaahaaa[emoji1787][emoji1787]Sijasikiliza hiyo radio ya mapunga longi.....ila baada ya ubuyu huu wa zanzibare..nimewasha
ili nimsikilize huyo twangala twiizee....duh!!!!...anatangaza kajikausha kichizi utadhani hakuna kitu kichachu mtandaoni...atakuwa mzoefu huyu.
Sent using Jamii Forums mobile app
UnitagAhahaha et sitapata usingiz, umenivunja mbavu , huu ubuyu ntapost usiku saa nne Leo
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hivi shangazi kamwagwa kweli na mkata mauno?Unajua hawa mastaa wetu hadi kufika hapo walipo wamebebwa vya kutosha hivyo hawajazoea kujiendesha wenyewe. Ndo maana madini anashindwa kutoka yeye kama yeye bila msaada wa mwanaume.
Ngumi za haja,ustaa huko huko tangu afumwe na hirizi ya kupumua ujanja pembeni. Hahahaa eti kadondoka jela duh aiseee waja wana mambo
Maisha ya mastaa wetu ni shinda. Cheki shangazi(kwa kizungu)tangu atoswe na mcheza shoo siku hizi ni mwendo wa editing mpaka mageti na vioo vinapinda ili mradi aonekane ka binti kuvutia danga jipya
Sijakusoma hapo mwishoni shostAngetaka u madame angemfata jack kupata somo,bidada hakufika hapo kirahisi alisota alifulia mpaka ilifikia alienda shop supermarket kachagua vitu wee mwisho anaangalia salio halitoshi akasepa kama sio yeye bila vitu
Wa machache inajidhihirisha wazi...hanaga raha yule dada[emoji848]Mmh yan ukisikia mambo yao waweza kuogopa hii dunia , walivyo na mambo yao tofauti
Huyu mke wa machache nae sekeseke lake ni hataree , mdomo komaaa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hii ni laaanakum...kuna mshkaji yupo karibu sana na CLASS, huyo mshkaji mi homeboy sana tu, ndio kanipa kuwa kipindi CLASS ana bif na Biikuminambili, chanzo ni CLASS kukataa KUTUNUKIWA mzigo!
Wanazengo ngoja na Mimi Leo ni jaribu kuwapa umbea wa code sijui ntaweza mbea Mimi🤣🤣 , haya twende Sasa
Yule boss mfupi mwenye kumiliki redio flani hivi inayokuja kwa kasi, inasemekana yupo kwenye mahusiano yasiyofaa na mtangazaji wa kiume wa radio nyingine , ambapo mtangazaji huyo pia anamiliki duka la nguo.
Juzi kati maeneo ya bahari beach usiku kuliibuka na timbwili zito kati ya wawili wao, ambapo chanzo cha ugomvi huo ni wivu wa kimapenzi, Boss huyo anatarajia kuoa hivi karibuni, ambapo mtangazaji huyo anapinga vikali na hataki kusikia habar za ndoa Kwan anataka kuendelea ku enjoy penzi na pesa za kibosile huyo ambaye kimuonekano ni mfupi na mpole asiye na makuu.
Mashemeji fekero( mastaa Wa kubwa watatu wa kiume, mmoja msanii wa bongo fleva, Ana dread, mtangazaji wa radio , mwingine mwanasiasa) wa mahusiano hayo yasiyofaa walikua na shughuli nzito usiku huo kuwagombelezea wapenzi Hao , na kufanikisha kuwatuliza wawili Hao.
Mtangazaji huyo wa kiume anasifika sana kwa kusafir nchi mbali mbali duniani kwa pesa za mpenzi wake huyo wa siri ambaye inasemekana wapo wote mwaka wa tatu na nusu sasa, mmh mji mzito huu
Ila malkia wa mashauzi sijui atakua anamjua mke mwenzie mmh , mambo mengi mda mchache, Ila ata akijua atafanyaje? Chezeya nguvu ya pesa weye
Sasa hivi ntakua nawaletea ubuyu hot kwa code tu 🤣🤣
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahaaa!etii!??daahhKuna mchezo umeibuka kkoo, ukitaka fremu pale wale watoto wa kiarabu, wanatoa masharti mawili....huwezi kafe na njaa
Ngoja niishie hapa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakijamaliza darasa la saba kile kitoto...mbona muda hivo[emoji134][emoji134]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mchicha mwibaaa!!!anakula na kuliwaInaumiza sana huyo twangaraaa inamaana dudu halisimami au??
" acha maneno weka mziki eeeh"CLASS ni nani..?
Mmh haya kwangu mapya. Shangazi pia katoswa? Maana insta watu kwa kujitia wana mahaba. Kumbe behind close door ni joto tuUnajua hawa mastaa wetu hadi kufika hapo walipo wamebebwa vya kutosha hivyo hawajazoea kujiendesha wenyewe. Ndo maana madini anashindwa kutoka yeye kama yeye bila msaada wa mwanaume.
Ngumi za haja,ustaa huko huko tangu afumwe na hirizi ya kupumua ujanja pembeni. Hahahaa eti kadondoka jela duh aiseee waja wana mambo
Maisha ya mastaa wetu ni shinda. Cheki shangazi(kwa kizungu)tangu atoswe na mcheza shoo siku hizi ni mwendo wa editing mpaka mageti na vioo vinapinda ili mradi aonekane ka binti kuvutia danga jipya
Waende tu wakachukue wakikubaliana masharti mbona rahisi....ila the real devil is swallowing this generation! Haki tena!Unawaogopesha wanaotaka frem,kwani wanadai nini hao waarabu?