Mji mzito huu

Huyo binti nae mtoaji mzuri tu wa tigo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Nimepitia comments mwanzo mpaka mwisho.Niliowagundua mapunga katika hizo codes kama wafuatao.
1.Majizo
2.B12
3.Moses Iyobo(WCB Dancer)
4.Millard Ayyo.
Codes nyingine sijaelewa kusoma kwangu I.C.T
 
Nimepitia comments mwanzo mpaka mwisho.Niliowagundua mapunga katika hizo codes kama wafuatao.
1.Majizo
2.B12
3.Moses Iyobo(WCB Dancer)
4.Millard Ayyo.
Codes nyingine sijaelewa kusoma kwangu I.C.T
Ongeza na paulo kolomije.
Joho Serious
Waziri before February month.

Mambo yasiwe mengi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi ni tetesi kama ni za kweli hazituhusu maana kila mtu na Lifestyle lake..


Code... Code.. Kuna wengine wambea uku hawana code kwenye minyeeelo... Trust me


Kuzungumnzia Maisha ya mtu ni sawa kutaka kujua utamu anao upata au uchungu ana upata.


Mwisho wake ni kukung'uta au kukung'utwa tuwe makini sana na vitu vya kusikia.

Unajua tunapo andika vitu ambavyo hatuna USHAIDI navyo, unajua tuna ziumiza hizi nafsi kiasi gani?

Nafsi hizi tunazo ziumiza zina familia ndugu pamoja na Marafiki.. Tusifanye hivyo tafadhali tunachane na mambo Person.


Mjini kuna mambo mengi usimlaumu mtu kwa kitu usicho kijua undani wake.. Wengine shida zili wadumbikiza uko tusi waseme vibaya.

Kutokuwa na Mke sio sababu eti ni muhumini wa mapenzi ya jinsia moja. Kuna watu Wazee kabisa na familia zao ila wanaliwa vifurushi kwa speed ya 4G.

Kuna nyumba ya Mungu moja Dar ipo maeneo fulani.. humo watu wana laluana waziwazi mpaka Mtumishi kanawa Mikono.. Cha ajabu watu wazima wenye familia zao.









Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…