Mbwa dume
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 5,934
- 10,206
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo binti nae mtoaji mzuri tu wa tigoYale mashauzi yote kwisha,kabaki wa kawaida mno na alichokosea na kumuegemea jamaa mazima. Duh jamaa aleee kistuli,mdogo mtu na mama mtu lazima abane uchumi.
Shukran kwa mwanasiasa kufosi mambo pete ikapatikana bila hivyo angeendelea kwenye hadhi ya ugelofrend
Binti hana furaha,furaha ya kweli aliondoka nayo kanumba saiv ni tabasamu feki,tatizo alianza beba mizigo mikubwa umri mdogo.
Shosti Yale meno bana yamelegea hakuna cha kuyaweka sawa wala kuyapanga. Maana ya zaman yalikua mazuri mno
Shishiii hakomi....hata huyu anamlishaBalaaa sana kumlisha Marioo ni kipaji kama vingine!!!ndo maana shilole alishindwaa....aunty fighter nakumbuka ilikua inaitwa cream kama sikosei
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa labda Mario naye anamtumia kwenye MIKITO.COM
He he...pale kwa kadege lazima umjue vzr...mdogo wake bado hajamaliza shule!!!!katoto kale sasa hv ndo kakubw kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaahaaaa....[emoji12][emoji12]Hahahaaa labda Mario naye anamtumia kwenye MIKITO.COM
Wapi wewe, mchicha mwiba yule mbona inajulikaan.
Binti ana jina kubwa nchi hii, akiamua kusimama mwenyewe anaweza tatizo status mama, status!
Anapenda mambo makubwa ndio inabidi avumilie yote... imagine amtoe dogo Feza leo hii ataweka wapi sura yake mjini?
Mimi yale meno naamini anapigwa kweli, tena kapigwa ngumi nzitonzito haswaaa.
Angekuwa na meno mabaya tungemuelewa lakini sio kwa meno mazuri yale...
Kuna wengine wanasema alidondoka kule jela [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ongeza na paulo kolomije.Nimepitia comments mwanzo mpaka mwisho.Niliowagundua mapunga katika hizo codes kama wafuatao.
1.Majizo
2.B12
3.Moses Iyobo(WCB Dancer)
4.Millard Ayyo.
Codes nyingine sijaelewa kusoma kwangu I.C.T
'Waziri before February month' hapa mzee baba sija kupata.Ongeza na paulo kolomije.
Joho Serious
Waziri before February month.
Mambo yasiwe mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kisa cha hand shaking mkuu??huyo twanga alinishika mkono ile handshaking lahaula mkono lainiiiiiiiiiiii kama wa kike nkashindwa kuelewa mwanaume unatakiwa uwe na mkono mgumu kama msasa
Kabla ya february ni mwezi ghani?
Hahah uyo jamaa nasikia anapita na yule mwenye car wash mpaka alteza kamnunuliaKabla ya february ni mwezi ghani?
Ukipata hilo jina ni first name ya minister huyo.
Code unlocked.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah uyo jamaa nasikia anapita na yule mwenye car wash mpaka alteza kamnunulia
Sent using Jamii Forums mobile app