Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu tupe intro kidogo mkuuu ni kwanininilishapandaga na police mmoja kwenye bas akawa anatueleza kwa nn huko ndio mchele super unapatikana huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Warumi Warumi Warumi.Watu wanaogopa ya kina kanumba , chezeya kaburi weye, maisha matamu binamu[emoji1787][emoji1787]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mnyonge mnyogeni ila ki ukweri warumi kichwa kingine kabisa akiamua kuisimamisha jamii Forum kwa dk moja inatikisika angalia wachangiaji wa leo.Huu uzi kiboko, umewafukunyua wambea wazoefu wote waliokua wamepotea, chezea Warumi weye! Wapi Dinazarde jamani, Niffah Umbea matamu jamani
Waswanu?,pestana? Malaika?toa codeMsojua umbeya wa mujini poleni sana hzi code zitawatoa hasho. Hahahahhaha nacheka kama mazuri. Watu mpk huku Idodomya tupo on rait traki
Jamani ni nani huyo mwanasiasa?Huyu mahusiano ya huyo alianziaga kwa small brother kumkoboa, jamani imagine mtu apewe u prime minister huku ni homo..... Hicho kitendo kilinifanya nimshushe heshima yake aisee.
Umenichekesha eti the jiwe refused and threw him, kumbe our president alifanya vyema kumtupia huko aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujue mimi nilidhani binti atakuja na bonge la project baada ya ile kesi ila kimyaaaaaa! Mwisho anatujea na maronya yake. Mwanzoni alijidai kama anagawa bure baadae akatubadilishia gia angani.
Basi ubuyu wote niupata ile siku ilipozuka skandali ya kupigwa na bwana. Nilipewa ubuyu mzito kwamba bwana anachepuka vibaya mnoooo! Binti anavumilia mengi jamani!
Halafu bwana anamkontroo vibaya mnooo. Hataki binti hata apendeze, yake mashauzi ya zamani kila wiki photoshoot mara 2 hamna tena!
Ndio maana kapauka masikini [emoji24][emoji24]
Sent from my iPhone using JamiiForums
aiseee code JUU ya codes..car wash =Mnyama mkali=tunachekesha stor za bongo ndo Nan au jamaa wa BIG KAKA
Ndo kanunuliwa altezza na February?Perfecto crispinoo
am better here
Dada wa Idris[emoji44][emoji44]....code imegoma aseeKistuli anapigwa sana sema ndo hataki kuwapa wambea cha kusema ila nyuma ya pazia anaishi maisha magumu mnooo. Nilishangaa Kipindi kile insta wanamsifia CEO kwamba hachepuki khaaaa hakuna mwanaume malaya kama huyo amemkula Yule Dada wa Idris mpaka akachoka
I'm the girl from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...[emoji97]
Sasa hata juzi kwenye tuzo, hawako beneti na Demu wake Misa daaah!Yule kaka wakishuwa ila anaoneka mswahili usikute kamwambia sihitaji mtoto mie
Unakumbuka alivyomuumbua tahiya stop posting our TBT move on nahisi na bibie naye kapewa makavu kwamba sitaki fujo za watoto
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119][emoji119]Anamaanisha Majizo ( mmiliki wa efm) anamtafuna b12( clouds fm)
Daaah! Noma sanqAnamaanisha Majizo ( mmiliki wa efm) anamtafuna b12( clouds fm)
Daah, hata mzee baba watu wanafukua divi? Kabaki nani sasa? Maana yule Mchungaji kitambo watu wananusa harufu ya nyaxJengo limejaa mapunga sese naskia hata mzee ya sauti ya umeme nae anabwana mtangazaji hapo mjengoni,kuna watu walimkuta parking ucku anabanduliwa kwenye noah yake
Sent using Jamii Forums mobile app