Mji mzito huu

Oya kama vipi fungukeni tu haya macode mi sielewi, ila nilichobaini kuna watangazaji wa mawinguni ni ma punga, ndo hivyo ama code zipo upside down
 
Huu uzi kiboko, umewafukunyua wambea wazoefu wote waliokua wamepotea, chezea Warumi weye! Wapi Dinazarde jamani, Niffah Umbea matamu jamani
Mnyonge mnyogeni ila ki ukweri warumi kichwa kingine kabisa akiamua kuisimamisha jamii Forum kwa dk moja inatikisika angalia wachangiaji wa leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msojua umbeya wa mujini poleni sana hzi code zitawatoa hasho. Hahahahhaha nacheka kama mazuri. Watu mpk huku Idodomya tupo on rait traki
Waswanu?,pestana? Malaika?toa code
 
Jamani ni nani huyo mwanasiasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmmmm usiombwe ukawa mmbeya na ukapitwa na umbeya
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada wa Idris[emoji44][emoji44]....code imegoma asee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule kaka wakishuwa ila anaoneka mswahili usikute kamwambia sihitaji mtoto mie
Unakumbuka alivyomuumbua tahiya stop posting our TBT move on nahisi na bibie naye kapewa makavu kwamba sitaki fujo za watoto
Sasa hata juzi kwenye tuzo, hawako beneti na Demu wake Misa daaah!

Yaan lile penzi halieleweki[emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jengo limejaa mapunga sese naskia hata mzee ya sauti ya umeme nae anabwana mtangazaji hapo mjengoni,kuna watu walimkuta parking ucku anabanduliwa kwenye noah yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Daah, hata mzee baba watu wanafukua divi? Kabaki nani sasa? Maana yule Mchungaji kitambo watu wananusa harufu ya nyax
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…