Kapigi nae watu wanampumulia kisogoni?Mhhh huyu hapana... itakua anamaanisha wa kuitwa haris
Hahahahaha Dume linajipodoa kama sugar mammyKabaki nani sasa? Maana kupodoka kule si kwa kawaida asee
Ni kama wanashindana hapo "Kona Mbaya station"
Ndio nani huyo mzee mwenye sauti ya umeme ??Daah, hata mzee baba watu wanafukua divi? Kabaki nani sasa? Maana yule Mchungaji kitambo watu wananusa harufu ya nyax
Mbona hatari sana
Kijana wetu wa mida ya usiku baada ya wale wapenda bia kutoka mawinguni
Oh sawa aliposema mzee nikachukulia ni mtu wa makamo ,kumbe ni yule mtoto wa kutoka Arusha muda wote kageuza kofiaKijana wetu wa mida ya usiku baada ya wale wapenda bia kutoka mawinguni
Yule kabwe aliyekuwa bongo muvi enzi za kanumbaHata yule Jimmy/James wa kipindi cha dini Jumapili asubuhi nae watu wanamla kiboga aiseee.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ayo ayoyoyooooo ayoKijana wetu wa mida ya usiku baada ya wale wapenda bia kutoka mawinguni
Remedy tu ndio kabakiKabaki nani sasa? Maana kupodoka kule si kwa kawaida asee
Vipi hukuona wakiwa wananjunjana???Juzi juzi nilikuwa samaki samaki Morogoro, niliyoambiwa sio rahisi kuamini. Nikaambiwa yule kijana ni choko, yule mwingine ni punga, yule mwingine sio riziki. Nilichoka.Kampani yao ni mademu tu.
Na wakiwa wanacheza, ukiwacheki kwa nyuma, wanavyotwik, utasema ni mademu kabisa.
Hii Dunia kwisha habari yake.
Huyo ana thread nyingi sana as ushoga humu
Kijana sio asee
Eeehh basi ngoja nipumzike maana niko kwenye majonzi hapa ya boss