Ukweli kile kitendo ni kinyaa kabisa...huwa si imagine!Katumia fursa vilivyo. Ni smart sio cheap kama wale wengine wanaotia maudhi mpaka unatamani kutapika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anasoma bongo kwqiyo lazima arudiDaah nimemuona insta yuko njema asee....muda wote yuko mamtoni, bongo anakujaga kweli huyu?[emoji44][emoji44][emoji849]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]....eti mtoto wa mama!
Hivi Rio atakuja kuoa kweli?
Ni kabila gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama biskuti daaah nimecheka sanaNgoja nkupe umbea kutoka reliable source kabisaa!!!wako wote ila ndani vululuvululu yaani!!
Aunty hamtaki hata kumuona janaume linajing'ang'aniza balaa...wanamchambaaa iyobo vibaya mnoo!!!kwanza kumbe analelewa hana chochote yule mcheza shoo!mpk gari ya mama biskuti!yupo siku yoyote anabwaga rasmi ile kila mtu kivyake
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule Rio yuko smart mno hana shida yoyote kivile shida ni yule stylish noel waliyeibiana danga na JoJo yeye ndo kampata mzungu anaye mjali hatari shopping south huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanyamwezi kwa madawa ni nyoko!
Wanyamwezi kwa madawa ni nyoko!
Hakuna mnyamwezi aliyefulia, hakuna!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa napitiaga page Yake hata activities anazofanya ni zenye faida, huwezi mlinganisha na wale kina aggrey wa kina Wema.Rio ako classy na Ana akili sidhan kama Ana shida za kipuuz. Sema tu sura Ndo Hana mbaya
Sent from my iPhone using JamiiForums
Heeee!
Danga lipi hilo noel aliiba kwa jo jo?
Stylish kiupande fulani katumia akili kuwa na hata kioffice cha kuingiza kipato, japo rio yupo juu ziadi yake.
Wanao tia huruma ni hawa cheap ambao wanashinda clubs na mabar kudanga tena kibaya hawajali afya kabisa, wengi wamekanyaga umeme.
Na siku hizi kuna viwanja vyao maalumu, Kinondoni walo Papuchiro bar sijui, Pale double tree kuna Bar wapo, Tips Mikocheni wapo, Zingine nishasahau.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh mpaka kabila lake mnalijua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
David ndio naniNoel , rio na david wako poa , ni talented na wana future , shida hawa kina davito, kazi hawana, akili hawana, unaarufu tu wa mitandaoni
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kweli kabisa napitiaga page Yake hata activities anazofanya ni zenye faida, huwezi mlinganisha na wale kina aggrey wa kina Wema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiombe!...wanaloga sana wanyamwezi asee!
Hivi mchele mchele Lokole mbona habanduki kwa kina Domo?Yule sio wa mchezo , anatoka na prominent people , Yule anatoka na Mabaloz na watu wakubwa, sio akina lokole wanatok na akina kantupen
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ha ha haDuh mpaka kabila lake mnalijua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiombe!...wanaloga sana wanyamwezi asee!
Na ukisikia mme wako anatembea na mnyamwezi we sepa zako tu usingoje kudhalilishwa na huyo mme wako!...nimeyashuhudia kwa shangazi yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh...huo mtaji wa mchele kapewa na Domo!Yule kashalalwa na domo zaman sana mpaka rommy kamla Ila sasa hiv sidhan kama wanaendelea tena, sasa hiv analalwa na jembe , hyu nae mastaa wote kalala nao, mpaka barnaba na sijui pesa hawampi maana Hana la maana mjini zaid ya kuuza mchele,
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hasa wanawake sasa una mloga mwanaume awe mjinga ili iweje. Mie siwezi roga aisee, nikikumbuka case ya hamisa mobetto hatari sana ila kuna watu hawalogeki kuna mdada aliumbuliwa alikuwa analoga, akaambiwa wewe acha hyo tabia Mara moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wanaofanikiwa shoo...huyo mobetto gundu lake tuu!Hasa wanawake sasa una mloga mwanaume awe mjinga ili iweje. Mie siwezi roga aisee, nikikumbuka case ya hamisa mobetto hatari sana ila kuna watu hawalogeki kuna mdada aliumbuliwa alikuwa analoga, akaambiwa wewe acha hyo tabia Mara moja
Sent using Jamii Forums mobile app