Mji mzito huu

Mama biskuti daaah nimecheka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Noel , rio na david wako poa , ni talented na wana future , shida hawa kina davito, kazi hawana, akili hawana, unaarufu tu wa mitandaoni


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kweli kabisa napitiaga page Yake hata activities anazofanya ni zenye faida, huwezi mlinganisha na wale kina aggrey wa kina Wema.

Sent using Jamii Forums mobile app

Yule sio wa mchezo , anatoka na prominent people , Yule anatoka na Mabaloz na watu wakubwa, sio akina lokole wanatok na akina kantupen


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hivi mchele mchele lokole mbona habanduki kwa kina Domo?

Sent using Jamii Forums mobile app

Yule kashalalwa na domo zaman sana mpaka rommy kamla Ila sasa hiv sidhan kama wanaendelea tena, sasa hiv analalwa na jembe , hyu nae mastaa wote kalala nao, mpaka barnaba na sijui pesa hawampi maana Hana la maana mjini zaid ya kuuza mchele,


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hasa wanawake sasa una mloga mwanaume awe mjinga ili iweje. Mie siwezi roga aisee, nikikumbuka case ya hamisa mobetto hatari sana ila kuna watu hawalogeki kuna mdada aliumbuliwa alikuwa analoga, akaambiwa wewe acha hyo tabia Mara moja
Usiombe!...wanaloga sana wanyamwezi asee!

Na ukisikia mme wako anatembea na mnyamwezi we sepa zako tu usingoje kudhalilishwa na huyo mme wako!...nimeyashuhudia kwa shangazi yangu



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh...huo mtaji wa mchele kapewa na Domo!

Sasa hivi namuona Aristotee anajisogeza karibu daaah!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hiv waganga na wenyew ni wa kweli , natak niloge danga langu na Mimi , maana lina pesa Ila mbahili, nikaroge wap binamu🤣🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kuna wanaofanikiwa shoo...huyo mobetto gundu lake tuu!

Mbona mganda zari kaloga angalau kaondoka na mjengo wa maana!

Kuloga nako bahati hivooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…