kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Maana hakawiiKuwa makini asije akakutumia wale vijana waje almaarufu wanaojulikana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana hakawiiKuwa makini asije akakutumia wale vijana waje almaarufu wanaojulikana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ivoo kumbe mbona najina kapewa la kwake sasaYule mtoto wa mkewe alizaa kabla hajaolewa na DC, jamaa anajishaua nae tu promo kibao kwa kumsifia kufaulu sekondari.
Looo atimae code imekuja, kweli mji mzito huu mkuu.Yanga now DC. A.
Toba Rabi[emoji23][emoji23][emoji23] Dc alikuwa chakula toka miaka hiyo tunapiga nae kitabu MLIMANI
Kichwa chako kizito kama uji wa kimakonde[emoji16][emoji16]( joke)
Duuuuh....ndo maana jamaa ana roho mbayaHana mtoto kokote yule binti ni mtoto wa mkewe kamuoa akiwa nae.
Wewe endelea kuhisi tu na mtoa mada hakutaja ni radio ganiMmh radio inayokua kwa kasi EFm au , mmmh nimetoka bila bila hapa
Ila km nahis ni hio hio maana km skosei ndo boss wke ni mfupi na anategemea kuowa hivi karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Dozen hawezi kwenda redio nyingine yeyote hapa tz labda nje.Eti ni kweli B kumi mbili ananitimukia EFM?
Hebu nifungulie mdogo wangu, huyu DC ndio yule mwandishi wa habari?