Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie wadudu noma,ila mi muonekano wa Barnaba unanifikirisha sana.Ahahah karibu upate break fast
Sent from my iPhone using JamiiForums
sante warumi; kweli mji mzito huAhahah karibu upate break fast
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yap ni mwanamitindo so anafanya ivo ili kuwavuta wateja kwenye biashara yake
Lol hatareeeeUmeona eeeh?.. mi naiangalia mara tatu tatu daaaah!
Halafu B anavyojiliza sasa[emoji134][emoji134][emoji134]
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaaNimetoka kuangalia video clip ya Water zo na B21... Kumbatio lile ni romantic sana.
Warumi mji wake huu sijui anajuaje au yupo kundini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hebu funguka..Bashite yeye mbona yeye ni shoga? Tena choko haswa hivi yule kijana aliyekua kampangia appartiment kule masaki ilikua ni kwa kazi gani?aliponea chupuchupu kurekodiwa Bifu lote la boss wa redio zile bwana watezoo ni dushe tu???kumbe alitaka dushe la bwana huyo wa media
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu ukweli ndo huu nitafungulia uzi hili jamboMkuu hebu funguka..
Mambo mazito haya
Hiii kalii
Kuwa makini asije akakutumia wale vijana waje almaarufu wanaojulikana.
Haahaaa, yule jamaa walishindwana jamaa alikuwa hajatulia bashite akamfukuza kwenye nyumba, now kapata danga lingine yule jamaa inasemekana ni mzungu..bashite ana wivu sana hata alivyoropoka kwa Piere sikumshangaa amejawa na wivu kuliko kale kamdudu.Bashite yeye mbona yeye ni shoga? Tena choko haswa hivi yule kijana aliyekua kampangia appartiment kule masaki ilikua ni kwa kazi gani?aliponea chupuchupu kurekodiwa Bifu lote la boss wa redio zile bwana watezoo ni dushe tu???kumbe alitaka dushe la bwana huyo wa media
Sent using Jamii Forums mobile app
akangalau apate mtoto sasa maana miaka inaenda tangu kaoa hajafanikiwa atubu na Mungu amjalie nae awe baba., aache sasa michezo ya Amber Ruty.Halafu nimeskia ndoa ya dc meru na bashite imevunjika kapinduliwa na lemutuz mama nacheka[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app