Mji mzito huu

Mji mzito huu

Haya mshapata proof Sasa , sio mnasema mi nazusha wakati wenyewe hapo mmeona wanabembelezanq hadharani kwa raha zao, Na hata hawajali, b dodo sijui kampa nn Kaka wa watu halafu nasikia mmmg mdomo koma nisije rushiwa uchawi wa bluetooth mdomo ukapinda mie


Sent from my iPhone using JamiiForums
Maskini Liz [emoji22]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fuatilia vzur hii thread , then jumlisha Na picha ya Leo then utapata jibu , Hao ni wapenzi wa mda mrefu tu , bora hata wenyewe wamethibitisha... kukumbatiana gan huko , wanaume hawashikanag hvyo halafu anamlalia kabisa mwanaume mwenzie comfortable

B Dee haya mambo Ndo alikua anapenda kitambo tu , anataka na yeye ajulikane, kachoka kufichwa kama hamisa mobeto , lol


Sent from my iPhone using JamiiForums
Aiseee[emoji134][emoji134]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahahah hapo ndo ninapowapendea wambea wenzangu, mpo fastaaa

Mfiwa anapewa faraja kwa raha zake , kwani nani kanuna? Kwan Pete sh ngap? , watu wanalilia ndoa kumbe mwenzao mume wa mtu ( in mobetos voice ) ahaah


Sent from my iPhone using JamiiForums
Huyu B anamharibia mdada wa watu daaah!

Ndo maana kistuli hana nuru kabisa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule kashalalwa na domo zaman sana mpaka rommy kamla Ila sasa hiv sidhan kama wanaendelea tena, sasa hiv analalwa na jembe , hyu nae mastaa wote kalala nao, mpaka barnaba na sijui pesa hawampi maana Hana la maana mjini zaid ya kuuza mchele,


Sent from my iPhone using JamiiForums
Jembe yupi tena?
 
Naoma thread kinyume nyume.....kujifunza umbea kazi jamani
 
Back
Top Bottom