Mji mzito huu

Mji mzito huu

Chaga babe na Haya ana akili zake nyingi tu!Lulu ana nyumba Charambe nafikiri ana maduka ya nguo pia anashea na watu sio mchache mbona!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Sema Lulu nae kichwa maji to
Wakat alitoka na foolish ager Ile filam
Yake najua alivuna pakubwa.......

Bas angekua Co wa biashara kadhaa
Bila Shea na watu Ila starehe ya lucifa nayo ilikua kipaumbele[emoji1][emoji1]
 
Sema Lulu nae kichwa maji to
Wakat alitoka na foolish ager Ile filam
Yake najua alivuna pakubwa.......

Bas angekua Co wa biashara kadhaa
Bila Shea na watu Ila starehe ya lucifa nayo ilikua kipaumbele[emoji1][emoji1]
Tatizo wanafia ndoa,status mjini!
Na yeye kaolewa the problem ni kutaka kuwaprove watu wrong kua pamoja na yote bado yuko vzr na ameachieve vingi ambavyo kuna wengine hawana mambo ya ajabu km yake wamepata hiyo ndo shida

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Halafu uki imagine na utandawaz huu
Mtoto wa dozen kamaliza standard 7 this year
[emoji134][emoji134][emoji134] Hapo najua hawez kosa laptop nyumban ama simu[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Yaani acha kabisaa hata asipojua Leo ipo Siku atajua tu ukweli

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Tatizo wanafia ndoa,status mjini!
Na yeye kaolewa the problem ni kutaka kuwaprove watu wrong kua pamoja na yote bado yuko vzr na ameachieve vingi ambavyo kuna wengine hawana mambo ya ajabu km yake wamepata hiyo ndo shida

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Mambo ya kulazimidha ndo haya unakuja kuaibika mchana wa jua Kali Kama la dsm
Cjui unajificha wapi na kivuli hupat[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Mambo ya kulazimidha ndo haya unakuja kuaibika mchana wa jua Kali Kama la dsm
Cjui unajificha wapi na kivuli hupat[emoji1][emoji1][emoji1]
Wenzio hawajali ujue wanaona normal tu!they don't kea at all..sio shida zao eti kuona haya!!!ingawa family zao zina hard time kiukweli ila hawana namna!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Sasa huyo rappa anaemkamua mwanasiasa, nadhan hata politie mwenyew huwa anang'ata mto, maan alivyo tyuuh kwa muonekano wake show zake n konkiiii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo rapa ni nani?
 
Back
Top Bottom