Mji mzito huu

Mji mzito huu

[emoji16][emoji16][emoji16]limbwata la Meghan likasome...!!!hahaha...daah!
Yaani dunia hii...yetu macho Dada akiwaza kurudi kudangana ni bora atulie tu na bwana basha

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Kwan dada eliza ataweza maisha ya kudanga? Pesa zenyew hakna sponsors wamefulia na kutulia na ndoa zao, heri abaki na mumewe basha, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila huruma khaaaah
 
Mnyaturu wa Singida vs Mmwera wa Lindi![emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2]

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Teeenaaah ndo hapo sasa, baba g aache kufaidi mauno na, maufundi ya ktoka kusini? Aaah wapiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halafu uki imagine na utandawaz huu
Mtoto wa dozen kamaliza standard 7 this year
[emoji134][emoji134][emoji134] Hapo najua hawez kosa laptop nyumban ama simu[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Sasa c watakua wanagombania wanaume mtu na baba ake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jaman khaaaah
 
Alikuaga ameolewa na mzungu huyu wanaishi masaki enzi hizo. Ila ni malaya msafi na Elimu anayo. Mliwa mizoga huyu na maskio yake kama upawa

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Wakat mtoto alipojua kua na mwanasiasa nae analiwa km anavoliwa yeye, ndo akajfanya kustop ila baadae wakaelewena fresh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jaman mwanasiasa nae hatak kupitwa, anaonja ladha zote.
 
Ila agrrey ni mchafuuu... mpk kinyaaa. Nakumbuka enzi za kesi ya wema akiwa chadema tulikua tumemfata kibatala mahakamani. Jaman, aggrey tishirt yake nyeusi chafuu ina mabaki ya vyakulaa, miguuni mavumbioi.. tishet limepaukaaaa. Tulijuta kwenda maana camera kibao kuhofia tisirekodiwe maana siyo kesi ilitupeleka pale. Mashoga kibao wema alikia akiwafugaa. Pooh mbaka

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman muachen aggrey n mke wa mh fulan, hamuon xaiv mambo yake bum bum?
 
Si uliionaga ile picha? Kwenye msiba wa jasiri yani kijana kakumbatiwa na bilionea maji basi nae kajilaza mabegani.....[emoji23][emoji23] Yani enzi hizi mwanamke anakuibia mume mwanaume anakuibia mume kazi ipoooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji849][emoji849][emoji849]! Tanzania ni Nchi ngumu sana! Kuna watu wanasema kua Ruge alikua anampiga pipe Twangala! Hapana nakataa!

Ruge na Twangala ni ndugu wale,Mama yake Twangala ni Mhaya kutoka kwao na Ruge,kama sikosei Ruge na Twangala ni mtu na mdogo wake mtoto wa Mama Mkubwa na Mtoto wa Mama mdogo au ni mtu na binamu yake, mtoto wa Shangazi na mtoto wa mjomba

Suala la Twangala,kulia kwenye msiba wa Ruge,ni Ruge huyu huyu ndiyo alikua anamtetea sana B Dozen pale Mawingu kuhusu kufutwa kazi na kina Kusaga kutokana na hizi skendo zake za Ushoga! Ingawa Mawingu kuna mapunga wengi tu! Yule Mnyama mkali mkali nasikia ni msosi wa Mr Politician! Yule Waziri wa Mwanga

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa huyo dozeen wako unajuaa nan kaanza kumuonesha utamu wa mshedede? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom