Mji mzito huu

[emoji16][emoji16][emoji16]limbwata la Meghan likasome...!!!hahaha...daah!
Yaani dunia hii...yetu macho Dada akiwaza kurudi kudangana ni bora atulie tu na bwana basha

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Kwan dada eliza ataweza maisha ya kudanga? Pesa zenyew hakna sponsors wamefulia na kutulia na ndoa zao, heri abaki na mumewe basha, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila huruma khaaaah
 
Mnyaturu wa Singida vs Mmwera wa Lindi![emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2]

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Teeenaaah ndo hapo sasa, baba g aache kufaidi mauno na, maufundi ya ktoka kusini? Aaah wapiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halafu uki imagine na utandawaz huu
Mtoto wa dozen kamaliza standard 7 this year
[emoji134][emoji134][emoji134] Hapo najua hawez kosa laptop nyumban ama simu[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Sasa c watakua wanagombania wanaume mtu na baba ake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jaman khaaaah
 
Alikuaga ameolewa na mzungu huyu wanaishi masaki enzi hizo. Ila ni malaya msafi na Elimu anayo. Mliwa mizoga huyu na maskio yake kama upawa

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Wakat mtoto alipojua kua na mwanasiasa nae analiwa km anavoliwa yeye, ndo akajfanya kustop ila baadae wakaelewena fresh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jaman mwanasiasa nae hatak kupitwa, anaonja ladha zote.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman muachen aggrey n mke wa mh fulan, hamuon xaiv mambo yake bum bum?
 
Si uliionaga ile picha? Kwenye msiba wa jasiri yani kijana kakumbatiwa na bilionea maji basi nae kajilaza mabegani.....[emoji23][emoji23] Yani enzi hizi mwanamke anakuibia mume mwanaume anakuibia mume kazi ipoooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa huyo dozeen wako unajuaa nan kaanza kumuonesha utamu wa mshedede? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…