Mji mzito huu

Yaani................ Sikuwahigi kumuwazia mauchafu yoyote Boss Kistuli. Pole zake Bi Kistuli kwa kweli.
 

Hata mimi nikadhani ameamua kuwa humble kwa ile kesi iliyomkuta kumbe wapi shoga! Nasikia bwana bahili hatariiiiiiii

Na nasikia anamtisha kwa jinsi alivyomsave na kifungo, hivyo binti inabidi awe mpole.
Ni wazi hana furaha, binti sio yule tunayemjua aliyekuwa na nuru na tabasamu tele.

Mwenzio huku JF ndipo ninapoweza kutoa nyongo ila kule naogopa block. Na huwa anafuatilia kila comment 🤣🤣🤣
Huku pia lazima anapitaga.

Karma shoga, karmaaaaa
Yule mke wa Seth aliniuma mnooo! Dada lizuri hatari mume akawa hasikii haoni kwa binti.
Ila alimkomesha kwa kumnyang’anya lile livogi maana tungekoma.


Kwani vile vyuma mdomoni kunani shoga?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nawasoma kwa ukaribu wa hali ya juu
 
Binamu tumegee kidogo wengine tulipitwa jamaniii
 
Okay...
Em ngoja sasa niende kwenye main thread..nshapata kitu.
 
Jamani jamani mi nakosea wapi mbona huu ubuyu nao ulinipita khaaa 😀 😀 😀 😀

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weeeee Boss kituli ana mamboooo! Hivi unajua hiyo media ilikuwaje mpaka akawa yeye C.E.O?
Hebu mie


Sent from my iPhone using JamiiForums

Zaman alikua anauza ule unga haramu Ila akaacha, akaja kujiingiza kwenye mambo ya kutisha na kuogopesha , yan watu waone tu watu wana pesa , mkijua chanzo chake hamtaamini

Nilitaka kumwaga ubuyu wote Ila ngoja tu nimsitiri kwa kuwa hanaga shida na mtu kwenye ulimwengu unaoonekana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Yale mashauzi yote kwisha,kabaki wa kawaida mno na alichokosea na kumuegemea jamaa mazima. Duh jamaa aleee kistuli,mdogo mtu na mama mtu lazima abane uchumi.

Shukran kwa mwanasiasa kufosi mambo pete ikapatikana bila hivyo angeendelea kwenye hadhi ya ugelofrend

Binti hana furaha,furaha ya kweli aliondoka nayo kanumba saiv ni tabasamu feki,tatizo alianza beba mizigo mikubwa umri mdogo.

Shosti Yale meno bana yamelegea hakuna cha kuyaweka sawa wala kuyapanga. Maana ya zaman yalikua mazuri mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…