Yaani................ Sikuwahigi kumuwazia mauchafu yoyote Boss Kistuli. Pole zake Bi Kistuli kwa kweli.Kwakweli Hamisi kajua kuniumiza jamani! Loooh
Boss mfupi ana mamboooo! Wewe hushangai na pesa zote zile lakini hakuwa commited kimahusiano? Watu hadi wamezikimbia ujue sio mchezo.
Ila mimi mwanaume aliyefikia stage ya kuwafanyizia wanaume wenzie hata awe na hela vipi simtaki. Huyo ni shetani
Laana itatafuna hadi watoto! Ptuuuuu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Siku hizi hakuna cha les wig wala make up sijui kushona nguo,kuigiza hata kwenye huba hakuna ni kujifungia ndani daily
Zile mbenjuo sasa mwanzon wambea tukadhan ni style mpya ya binti kumbe pesa imekata na jamaa busy kusomesha mdogo mtu
Alichoacha hoi wananzengo ni kuibuka kwa tetesi za kupigwa mara paaap bint kakurupukia media tour kukanusha na mbwembwe za kusave valentine,baada ya valentine kimyaaa ila kama anasoma hapa sooon atatuumbua kwa kwenda kugawa misaada
Saivi ni zamu yake kusota alisotesha sana wake za watu ndoa alizitingisha vya kutosha.
Nawasoma kwa ukaribu wa hali ya juuKwakweli Hamisi kajua kuniumiza jamani! Loooh
Boss mfupi ana mamboooo! Wewe hushangai na pesa zote zile lakini hakuwa commited kimahusiano? Watu hadi wamezikimbia ujue sio mchezo.
Ila mimi mwanaume aliyefikia stage ya kuwafanyizia wanaume wenzie hata awe na hela vipi simtaki. Huyo ni shetani
Laana itatafuna hadi watoto! Ptuuuuu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yaani................ Sikuwahigi kumuwazia mauchafu yoyote Boss Kistuli. Pole zake Bi Kistuli kwa kweli.
Nawasoma kwa ukaribu wa hali ya juu
Samehe saba mara sabini....Ulishanizingua bhana, wewe sio mwana wala nini.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Binamu tumegee kidogo wengine tulipitwa jamaniiiUjue mimi nilidhani binti atakuja na bonge la project baada ya ile kesi ila kimyaaaaaa! Mwisho anatujea na maronya yake. Mwanzoni alijidai kama anagawa bure baadae akatubadilishia gia angani.
Basi ubuyu wote niupata ile siku ilipozuka skandali ya kupigwa na bwana. Nilipewa ubuyu mzito kwamba bwana anachepuka vibaya mnoooo! Binti anavumilia mengi jamani!
Halafu bwana anamkontroo vibaya mnooo. Hataki binti hata apendeze, yake mashauzi ya zamani kila wiki photoshoot mara 2 hamna tena!
Ndio maana kapauka masikini [emoji24][emoji24]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nawasoma kwa ukaribu wa hali ya juu
Hata mimi nikadhani ameamua kuwa humble kwa ile kesi iliyomkuta kumbe wapi shoga! Nasikia bwana bahili hatariiiiiiii
Na nasikia anamtisha kwa jinsi alivyomsave na kifungo, hivyo binti inabidi awe mpole.
Ni wazi hana furaha, binti sio yule tunayemjua aliyekuwa na nuru na tabasamu tele.
Mwenzio huku JF ndipo ninapoweza kutoa nyongo ila kule naogopa block. Na huwa anafuatilia kila comment 🤣🤣🤣
Huku pia lazima anapitaga.
Karma shoga, karmaaaaa
Yule mke wa Seth aliniuma mnooo! Dada lizuri hatari mume akawa hasikii haoni kwa binti.
Ila alimkomesha kwa kumnyang’anya lile livogi maana tungekoma.
Kwani vile vyuma mdomoni kunani shoga?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Samehe saba mara sabini....
Binamu tumegee kidogo wengine tulipitwa jamaniii
Jamani jamani mi nakosea wapi mbona huu ubuyu nao ulinipita khaaa 😀 😀 😀 😀Siku hizi hakuna cha les wig wala make up sijui kushona nguo,kuigiza hata kwenye huba hakuna ni kujifungia ndani daily
Zile mbenjuo sasa mwanzon wambea tukadhan ni style mpya ya binti kumbe pesa imekata na jamaa busy kusomesha mdogo mtu
Alichoacha hoi wananzengo ni kuibuka kwa tetesi za kupigwa mara paaap bint kakurupukia media tour kukanusha na mbwembwe za kusave valentine,baada ya valentine kimyaaa ila kama anasoma hapa sooon atatuumbua kwa kwenda kugawa misaada
Saivi ni zamu yake kusota alisotesha sana wake za watu ndoa alizitingisha vya kutosha.
Hahahaha mbona kistuli, watu mna mamboYaani................ Sikuwahigi kumuwazia mauchafu yoyote Boss Kistuli. Pole zake Bi Kistuli kwa kweli.
We soma page ya kwanza mpaka ya mwisho...Mkuu mi sijang'amua kitu.
Ntoe tongotongo..
Save my valentine.We soma page ya kwanza mpaka ya mwisho...
Bado sijaelewa Kistuli ni nani...!?
Yani wote wanaume auJohm@ka stori zilizopo kitaani ni kuwa anamsukuma yule mdogo wake twanga ambaye anamwitaga twanga dadii redioni
Weeeee Boss kituli ana mamboooo! Hivi unajua hiyo media ilikuwaje mpaka akawa yeye C.E.O?
Hebu mie
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ndo huyo huyo H²O...zzo....
Mkuu kuna mambo huku....
Hata mimi nikadhani ameamua kuwa humble kwa ile kesi iliyomkuta kumbe wapi shoga! Nasikia bwana bahili hatariiiiiiii
Na nasikia anamtisha kwa jinsi alivyomsave na kifungo, hivyo binti inabidi awe mpole.
Ni wazi hana furaha, binti sio yule tunayemjua aliyekuwa na nuru na tabasamu tele.
Mwenzio huku JF ndipo ninapoweza kutoa nyongo ila kule naogopa block. Na huwa anafuatilia kila comment 🤣🤣🤣
Huku pia lazima anapitaga.
Karma shoga, karmaaaaa
Yule mke wa Seth aliniuma mnooo! Dada lizuri hatari mume akawa hasikii haoni kwa binti.
Ila alimkomesha kwa kumnyang’anya lile livogi maana tungekoma.
Kwani vile vyuma mdomoni kunani shoga?
Sent from my iPhone using JamiiForums