carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Mbona hujaniita jamani??Mweee mweee mweee muji muzito wananzengo. Jela haturudi tutabanana hapo hapo mjengoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hujaniita jamani??Mweee mweee mweee muji muzito wananzengo. Jela haturudi tutabanana hapo hapo mjengoni
Kama nakuona ukiuza pete ya kisoda[emoji23][emoji23][emoji23]Hii code nyepesi sana. Nasubiria next code .raha ya umbea code[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alieleta hizo code apaliwe na mate akufe
Kuna mtu yuko hapo aliniambia pale wanaume hakuna vijana wauza sura wanatafunika kilaini
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani nmemjua huyo mzibua mtaro wengine sijajuaHad wewe binamu umeshindwa🤣🤣🤣
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mi nikiona code hata huwa sisomi make naambulia patupu, raha ya umbea kuwateta watu bana iikibidi kuwanyooshea na vidole hahahha
Hazinogiiiii banaCode nyepes mbona , yan hivi Ndo najifundisha code , sijabobea bado 🤣🤣
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yani nmemjua huyo mzibua mtaro wengine sijajua
Pm umefunga.....
Kodi zinachosha mno Mimi hufanya nisijisumbue husoma comments tuMi nikiona code hata huwa sisomi make naambulia patupu, raha ya umbea kuwateta watu bana iikibidi kuwanyooshea na vidole hahahha
Pm umefunga.....
We nae unajizibia rizki tu!!!