Mji mzito huu

Mji mzito huu

Huyo jamaa yeye hunyaduliwa nje ya nchi ndo mana nilikuwa nashangaa why azunguke nchi mbali mbali Mara Germany, USA kumbe wakwepa wadaku wa mjini
Afundishwe na nani , tamaa tu za kutaka maisha ya juu , Ila si anafanya kaz lakin jaman ? , yan hawa sio kama wana shida ni vile tu wanapenda tu huo mchezo


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cant wait kama gauni la mahari niliuza mwanzoniii sembuse ka pete[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila navumilia dogo amalize std seven sekondari ataenda st kayumba ebo!!

Muda muchache sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Shoga unaonekana unayajua mazito ya couple ya vistuli hatari.

Kuna shogangu juzi alikuwa ananipa ubuyu wa bibi kistuli vile bwana kistuli anavyotoka na rafiki yake halafu nasikia huko michepukoni anamponda bibi kistuli hatariiii.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huu mji acha kabisa mambo mengi hadharani bora angeendelea kujificha kwa dada wa kubandika,ila napo dada yule kabla ya kuokoka kwa picha alikua hakauki kwa sangoma.

Binti hana jipya,jina linambeba ila habebeki,kesi ilimuharibia kila kona basi bwana yupo huru kuchepuka atakavyo
Shoga unaonekana unayajua mazito ya couple ya vistuli hatari.

Kuna shogangu juzi alikuwa ananipa ubuyu wa bibi kistuli vile bwana kistuli anavyotoka na rafiki yake halafu nasikia huko michepukoni anamponda bibi kistuli hatariiii.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Dah Warumi hii ni bonge la ubuyu kama ni wa Zanzibar basi ni wa Babu nani sijui yule.

Nimechoka mwili na roho.

Niffah pole mwaya Bitweluvu ndo hivyo tena................ ila juzi alituonyesha mpiga picha wake akimchumu au ndo danganyishia toto?! Mwe kweli mji mzito huu. Mie boss mfupi ndo kanimaliza heee anataka nini zaidi jamani!!!
 
Huu uzi kiboko, umewafukunyua wambea wazoefu wote waliokua wamepotea, chezea Warumi weye! Wapi Dinazarde jamani, Niffah Umbea matamu jamani

[emoji23][emoji23][emoji23] Yani sijui nilikuwa wapi sikuuona huu uzi. Siku nyingine mniite mapema jamani maana siku hizi nina madini ya kutosha.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huu mji acha kabisa mambo mengi hadharani bora angeendelea kujificha kwa dada wa kubandika,ila napo dada yule kabla ya kuokoka kwa picha alikua hakauki kwa sangoma.

Binti hana jipya,jina linambeba ila habebeki,kesi ilimuharibia kila kona basi bwana yupo huru kuchepuka atakavyo

Ujue mimi nilidhani binti atakuja na bonge la project baada ya ile kesi ila kimyaaaaaa! Mwisho anatujea na maronya yake. Mwanzoni alijidai kama anagawa bure baadae akatubadilishia gia angani.

Basi ubuyu wote niupata ile siku ilipozuka skandali ya kupigwa na bwana. Nilipewa ubuyu mzito kwamba bwana anachepuka vibaya mnoooo! Binti anavumilia mengi jamani!

Halafu bwana anamkontroo vibaya mnooo. Hataki binti hata apendeze, yake mashauzi ya zamani kila wiki photoshoot mara 2 hamna tena!
Ndio maana kapauka masikini [emoji24][emoji24]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Dah Warumi hii ni bonge la ubuyu kama ni wa Zanzibar basi ni wa Babu nani sijui yule.

Nimechoka mwili na roho.

Niffah pole mwaya Bitweluvu ndo hivyo tena................ ila juzi alituonyesha mpiga picha wake akimchumu au ndo danganyishia toto?! Mwe kweli mji mzito huu. Mie boss mfupi ndo kanimaliza heee anataka nini zaidi jamani!!!

Kwakweli Hamisi kajua kuniumiza jamani! Loooh

Boss mfupi ana mamboooo! Wewe hushangai na pesa zote zile lakini hakuwa commited kimahusiano? Watu hadi wamezikimbia ujue sio mchezo.

Ila mimi mwanaume aliyefikia stage ya kuwafanyizia wanaume wenzie hata awe na hela vipi simtaki. Huyo ni shetani
Laana itatafuna hadi watoto! Ptuuuuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Siku hizi hakuna cha les wig wala make up sijui kushona nguo,kuigiza hata kwenye huba hakuna ni kujifungia ndani daily

Zile mbenjuo sasa mwanzon wambea tukadhan ni style mpya ya binti kumbe pesa imekata na jamaa busy kusomesha mdogo mtu

Alichoacha hoi wananzengo ni kuibuka kwa tetesi za kupigwa mara paaap bint kakurupukia media tour kukanusha na mbwembwe za kusave valentine,baada ya valentine kimyaaa ila kama anasoma hapa sooon atatuumbua kwa kwenda kugawa misaada

Saivi ni zamu yake kusota alisotesha sana wake za watu ndoa alizitingisha vya kutosha.
Ujue mimi nilidhani binti atakuja na bonge la project baada ya ile kesi ila kimyaaaaaa! Mwisho anatujea na maronya yake. Mwanzoni alijidai kama anagawa bure baadae akatubadilishia gia angani.

Basi ubuyu wote niupata ile siku ilipozuka skandali ya kupigwa na bwana. Nilipewa ubuyu mzito kwamba bwana anachepuka vibaya mnoooo! Binti anavumilia mengi jamani!

Halafu bwana anamkontroo vibaya mnooo. Hataki binti hata apendeze, yake mashauzi ya zamani kila wiki photoshoot mara 2 hamna tena!
Ndio maana kapauka masikini [emoji24][emoji24]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom