Mji mzito huu

Mji mzito huu

Cant wait kama gauni la mahari niliuza mwanzoniii sembuse ka pete[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila navumilia dogo amalize std seven sekondari ataenda st kayumba ebo!!

Muda muchache sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakijamaliza darasa la saba kile kitoto...mbona muda hivo[emoji134][emoji134]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani pesa ni kichaka cha uovu, watu wanamuonea wivu mtoto wa watu kuwa kapata bahati , wangejua mambo mazito anayo kumbana nayo mmh , Yule mtoto ni super woman , anastahili tuzo , waoneni tu watu insta Ila msitamani maisha yao maana viatu vyao vizito


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hakika[emoji122][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I've deciphered all codes.

Kudos Mkuu kwa kutumia codes hasa kwenye haya mambo ya privacy.

Zamani bila kujua codes utapitwa na siri za huu ulimwengu.

Mawingu media nini tatizo?

Nimeshangazwa na huyo mwana politricks, ambae alikuwa kinara wa mambo ya mtaroni, kumbe ni mbwa mwitu kwenye ngozi ya kondoo.

Water-zo sijui itakuwaje na pearl maana b21 ndio kama kaliamsha dude.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huyo kumi na mbili B ana mabwana wangapi hapa mjini eeeh?

Maana kila kona yupo, mpaka waume za watu[emoji134][emoji134]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku nikiona evidence, itakuwa ndo mara ya mwisho kuwa mbishi kuamini chochote maisha yangu yote...

Tatizo za hizi stori zipo simple sana. Almost improbable. Almost.

Sent using Low Frequency Electromagnetic Waves

Hakuna anayekulazimisha kuamini, ukisikia tu inatosha, only time will tell if what has been said is rumor or it's true , Tatizo dunia hii ya sayansi na technology hakuna siri , siri ya mtu mmoja tu , ya wawili c siri Tena


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huu mji acha kabisa mambo mengi hadharani bora angeendelea kujificha kwa dada wa kubandika,ila napo dada yule kabla ya kuokoka kwa picha alikua hakauki kwa sangoma.

Binti hana jipya,jina linambeba ila habebeki,kesi ilimuharibia kila kona basi bwana yupo huru kuchepuka atakavyo
Anafidia gharama zake za kesi daah!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaumiza sana huyo twangaraaa inamaana dudu halisimami au??
 
Back
Top Bottom