Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ko kumbe unazungumzia kitu ambacho hukijui wala huna uhakika nacho? Je una uhakika upi kuwa sodoma na gomora ilichomwa?Hatujajua ulikuwa kwa kiwango gani kipindi hicho kulinganisha na sasa. Na pia alimtuma mwanae wa pekee ili kila amuaminie apate uzima wa milele. Hukumu ipo kwa wafiraji na wafirwaji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pambeeeeh tyuuh.Kuna yule mdogo wake na lady Jay Dee anaitwa Wancy nasikia aligongwa na kaapiiteen,dada mtu akawafumania hadi leo dogo hazi ivi na dada yake,huu mji mzito
Heheheheh taratibu, mji mzuto kweli kweli lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni huyu mme wa SuNails?
Huyu nae mbna wale wale tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]One two one twoooView attachment 2006654
Kimaadili ushoga ni laana maana hata wanyama hawawezi kufanya huo uchafu tuendelee kuwaelemisha madhara makubwa ya ushoga na ilivyo chukizo kwa muumba wetu ufiraji ni laana mbaya mnoKo kumbe unazungumzia kitu ambacho hukijui wala huna uhakika nacho? Je una uhakika upi kuwa sodoma na gomora ilichomwa?
Km alimtuma mwanae wa pekee ili kuja kuwaokoa watendao maovu, aliruhusu vipi jambo hili litokee na kuwepo kabisa had leo hii? na hiyo hukumu imeainishwa wapi?
Na ktk kutokomeza ushoga au kupinga, hakna hoja nyingne zaidi ya Dini?
AiseeeHuyu nae mbna wale wale tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa kna mzima pale wote wanapelekwa Dubai na Ibiza, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aiseee
Kwa io bin laden wale vijana wake wote wanapelekewa moto?
Ndio maana wote macho yamewalegea namna ile[emoji3]Sasa kna mzima pale wote wanapelekwa Dubai na Ibiza, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakna anayekataa ktk upingaji wa ushoga, ila mbinu na hoja bado hazijitishelezi, maadili yapi hayo? Wanyama wepi hao? Au kna ushahidi upi kuwa wanyama hawafany hivyo? Na kitu kutofanywa na wanyama ndo kiwe upotovu wa maadili?Kimaadili ushoga ni laana maana hata wanyama hawawezi kufanya huo uchafu tuendelee kuwaelemisha madhara makubwa ya ushoga na ilivyo chukizo kwa muumba wetu ufiraji ni laana mbaya mno
Tutoe dini manake unabikia na Uafrika wako au kabila lako ndiyo asili yako, je kuna kuna kabila lina ruhusu hili?Ko kumbe unazungumzia kitu ambacho hukijui wala huna uhakika nacho? Je una uhakika upi kuwa sodoma na gomora ilichomwa?
Km alimtuma mwanae wa pekee ili kuja kuwaokoa watendao maovu, aliruhusu vipi jambo hili litokee na kuwepo kabisa had leo hii? na hiyo hukumu imeainishwa wapi?
Na ktk kutokomeza ushoga au kupinga, hakna hoja nyingne zaidi ya Dini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio anawapa zamu kabisaah, labda lokole ndo kila siku ionekanayo,Ndio maana wote macho yamewalegea namna ile[emoji3]
Bila bin laden naye huwa anawavusha siku 1 1.
Heree halikuelewiAcha alipakue lenyew si halinielewi
Kwahiyo Kabila au asili kutoruhusu jambo, basi muhusika asifanye? Na km Kabila au asili hairuhusu hili jambo, mbna lipo sasa na hakna lolote linalofanyika kuonesha kuwa halikubaliki au sio sahihi kuwepo? Ina maanisha nn?Tutoe dini manake unabikia na Uafrika wako au kabila lako ndiyo asili yako, je kuna kuna kabila lina ruhusu hili?
Hamna kitu jamaa niko nae mtaa mmoja hadi huruma mashoga wenzie angalau wana muonekano msafi ila yeye tia maji tia majiBas anavo jifaragua huki insta na dollars, utasema maisha kayakutaa, labda mh haridhiki nae ndo maan hampi huduma ya kueleweka, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nashukuru mkuuMwezi wa mwanzoni kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mbna insta ana matashtiti sana, lolHamna kitu jamaa niko nae mtaa mmoja hadi huruma mashoga wenzie angalau wana muonekano msafi ila yeye tia maji tia maji
Anapendaga kusema usinikaushe uzaziMji mzito huu Aggrey ni nani jamani, nifunglie code plz🙂🙂
Kuna siku nilikutana nae anatoka dukani nilitamanii nimfotoe picha 😀😀😀😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mbna insta ana matashtiti sana, lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na ungemfotoa tyuuh.Kuna siku nilikutana nae anatoka dukani nilitamanii nimfotoe picha [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]