Saad30
JF-Expert Member
- May 26, 2020
- 2,737
- 5,464
Salamu wakuu.
Mji huu Dar es salaam ni Mji mzuri sana katika mishe za hapa na pale. Mji huu haumkatai mtu kama usipoweka starehe mbele.
Pisi za Mji huu hazina upendo kwa apeche alolo. Pisi za Mji huu zinataka kuona unatembea na AC yako ili wakupe unapopataka lakini hawakupi moyo wao.
Huko Mbagala watu wamevurugwa yaani naweza kusema ule ni Mkoa ambao upo ndani ya Jiji hili Dar es salaam.
Huu ndio Mji unaotoa hela na kuzitawanyisha kwa watu wamikoani. Hata ufanye nini huwezi kuukataa huu Mji wa Dar.
HUU mji ni kama maji vile usipoyaoga, utakunywa au kunawa yaani huwezi kuukimbia.
Kwa ufupi Jiji la Dar es salaam hauna maadui
Yaani Rafiki kwa kila mkoa.
Utaitwa Handsome hata kama sura mbaya, na hii ndo Daslam unakana kwenu huna haya?
Mji huu Dar es salaam ni Mji mzuri sana katika mishe za hapa na pale. Mji huu haumkatai mtu kama usipoweka starehe mbele.
Pisi za Mji huu hazina upendo kwa apeche alolo. Pisi za Mji huu zinataka kuona unatembea na AC yako ili wakupe unapopataka lakini hawakupi moyo wao.
Huko Mbagala watu wamevurugwa yaani naweza kusema ule ni Mkoa ambao upo ndani ya Jiji hili Dar es salaam.
Huu ndio Mji unaotoa hela na kuzitawanyisha kwa watu wamikoani. Hata ufanye nini huwezi kuukataa huu Mji wa Dar.
HUU mji ni kama maji vile usipoyaoga, utakunywa au kunawa yaani huwezi kuukimbia.
Kwa ufupi Jiji la Dar es salaam hauna maadui
Yaani Rafiki kwa kila mkoa.
Utaitwa Handsome hata kama sura mbaya, na hii ndo Daslam unakana kwenu huna haya?