Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Safi sana.Nipo Dar
Umesema mkoani kuna nini mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana.Nipo Dar
Kuna fursa lakini zinatofautiana na za DarSafi sana.
Umesema mkoani kuna nini mzee
Sawa sawa mkuuKuna fursa lakini zinatofautiana na za Dar
Watu wengi mnaotoa hii kauli 'uwe na hela' au 'tafuta hela' huwa hamna figure.Uweze kutokuishi uswahilini, uwe na usafiri binafsi, uweze kutembelea sehemu classic mara kwa mara bila kuwaza.
Aiseekumbuka zote ni kanda maalum
Ni ushamba na utoto wa kukalili maisha...Watu wengi mnaotoa hii kauli 'uwe na hela' au 'tafuta hela' huwa hamna figure.
Nakubaliana na wewe namba 2, dar sio mji mzuri kabisa kwenye malezi ya watoto.....hapafai.Nimeishi mikoa msingi sana, Dar es salaam ukiwa na pesa na kazi binafsi is one of the best city to live...
Ila Dar es salaam bila pesa hapafai hata kidogo, na nikisema pesa simaanishi vihela, hapana.
Ubaya wa Dar es salaam:
1. Ukiwa mwajiriwa hapafai.
2. Kulea watoto sio pazuri.
3. Ni mji wa watu waongo ongo.
Sana aiseeSalamu wakuu.
Mji huu Dar es salaam ni Mji mzuri sana katika mishe za hapa na pale.Mji huu haumkatai mtu kama ukiweka starehe mbele.
Pisi za Mji huu hazina upendo kwa apeche alolo.Pisi Za Mji huu zanataka kuona unatembea na AC yako ili wakupe unapopataka lakini hawakupi moyo wao.
Huko mbagala watu wamevurugwa yaani naweza kusema ule Ni Mkoa ambao upo ndani ya Jiji hili Dar es salaam.
Huu ndio Mji unaotoa hela na kuzitawanyisha Kwa watu wamikoani.
Hata ufanye nini huwezi kuukataa huu Mji WA Dar.
HUU mji Ni kama maji vile Usipo yaoga utakunywa au kunawa yaani huwezi kuukimbia.
Kwa ufupi Jiji la Dar es salaam hauna maadui
Yaani Rafiki kwa kila mkoa.
Utaitwa Handsome hata kama sura mbaya,Na hii ndo Daslam unakana kwenu huna haya?.
SahihiNakubaliana na wewe namba 2, dar sio mji mzuri kabisa kwenye malezi ya watoto.....hapafai.
Watu wa mbagala tumeingiaingia vipi hapo mbona watu waliovurugwa hata mererani wapoSalamu wakuu.
Mji huu Dar es salaam ni Mji mzuri sana katika mishe za hapa na pale.Mji huu haumkatai mtu kama ukiweka starehe mbele.
Pisi za Mji huu hazina upendo kwa apeche alolo.Pisi Za Mji huu zanataka kuona unatembea na AC yako ili wakupe unapopataka lakini hawakupi moyo wao.
Huko mbagala watu wamevurugwa yaani naweza kusema ule Ni Mkoa ambao upo ndani ya Jiji hili Dar es salaam.
Huu ndio Mji unaotoa hela na kuzitawanyisha Kwa watu wamikoani.
Hata ufanye nini huwezi kuukataa huu Mji WA Dar.
HUU mji Ni kama maji vile Usipo yaoga utakunywa au kunawa yaani huwezi kuukimbia.
Kwa ufupi Jiji la Dar es salaam hauna maadui
Yaani Rafiki kwa kila mkoa.
Utaitwa Handsome hata kama sura mbaya,Na hii ndo Daslam unakana kwenu huna haya?.
na ukimwambia aame dar huyo anakutukana kabisa..fa mchezo nini!Dar kero nyingi sana. Ukiwa na hela sawa ila sasa wenye hela ni asilimia ndogo sana wengi maisha yakwaida tu.
Juzi nimeona mwanamke amebanwa kwenye mwendokasi mpaka anataka kukata roho analia tu "yesuuuuuu nakufaaaa".
Shida zote hizo za nini?
Kwamba ukiwa Masaki, Oysterbay, Mikocheni huwezi kulea watoto? Mkuu uswahilini ndio tatizo hilo lipo mm nipo Mwanza hata hapa Mwanza ukiwa Ghana, Kilimahewa, Mabatini huwezi kulea watoto masikini wana changamoto nyingi sanaNimeishi mikoa msingi sana, Dar es salaam ukiwa na pesa na kazi binafsi is one of the best city to live...
Ila Dar es salaam bila pesa hapafai hata kidogo, na nikisema pesa simaanishi vihela, hapana.
Ubaya wa Dar es salaam:
1. Ukiwa mwajiriwa hapafai.
2. Kulea watoto sio pazuri.
3. Ni mji wa watu waongo ongo.
Namba 3Nimeishi mikoa msingi sana, Dar es salaam ukiwa na pesa na kazi binafsi is one of the best city to live...
Ila Dar es salaam bila pesa hapafai hata kidogo, na nikisema pesa simaanishi vihela, hapana.
Ubaya wa Dar es salaam:
1. Ukiwa mwajiriwa hapafai.
2. Kulea watoto sio pazuri.
3. Ni mji wa watu waongo ongo.
hiyo namba 2.Adam na Hawa mbona walishindwa kulea watoto hadi wakauana. walikuwa Dar?Nimeishi mikoa msingi sana, Dar es salaam ukiwa na pesa na kazi binafsi is one of the best city to live...
Ila Dar es salaam bila pesa hapafai hata kidogo, na nikisema pesa simaanishi vihela, hapana.
Ubaya wa Dar es salaam:
1. Ukiwa mwajiriwa hapafai.
2. Kulea watoto sio pazuri.
3. Ni mji wa watu waongo ongo.
tarime na dar zote ni kanda maalumWilaya
Kwamba ukiwa Masaki, Oysterbay, Mikocheni huwezi kulea watoto? Mkuu uswahilini ndio tatizo hilo lipo mm nipo Mwanza hata hapa Mwanza ukiwa Ghana, Kilimahewa, Mabatini huwezi kulea watoto masikini wana changamoto nyingi sana