Mji wa Dar es Salaam ni mishe mishe

Mji wa Dar es Salaam ni mishe mishe

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jf bhana et siwezi kuelewa,,,,,,,
Kama huna hela umepanga nyumba moja ina wapangaji kumi pambana na hali yako! Watoto wako wanasoma shule ya serikali ina wanafunzi 900 pambana na hali yako

Kuna watu wanaishi nyumba nzima na ina fensi husiikii vigodoro sijui singeli hakuna wale jamaa wa sumu za panya hakuna bar kiufupi mazingira yametulia

Watoto kwenda shule gari linawafuata nyumbani, shule ina wanafuzi nzima ina wanafunzi 120 tu nashindwaje kulea mtoto?
Thank you very much. Niliposoma hio comment na zilizofuata nilitaka kujibu kama hivi ila nikaona sitaeleweka.
 
Daslam kila mtu yuko bize ukienda sokoni ni ukitoa mguu mwingine anaweka hakuna kujuana juana inapunguza na majungu fitina umbea na uchawi
 
Dar hu mji una shida sana.
Tofauti na zamani hata mbagala kwetu hapakua hivi ila iliyokuja darlive mambo yakabadilika
Miaka ya 2014-15 tulikuwa hapo mtaa wa Nyuma ya bar ya Masakuu ilikuwa shida wanaanza kupiga mziki mida ya saa 10 jioni mpaka asubuhi halafu kuna siku walikuwa na shoo za kusaula,mziki na makelele yote unayasikia ukiwa chumbani kwako ni balaa tupu,watoto wa mitaa hiyo walikuwa wanajifunza matusi kupitia masakuu.
 
Salamu wakuu.

Mji huu Dar es salaam ni Mji mzuri sana katika mishe za hapa na pale. Mji huu haumkatai mtu kama usipoweka starehe mbele.

Pisi za Mji huu hazina upendo kwa apeche alolo. Pisi za Mji huu zinataka kuona unatembea na AC yako ili wakupe unapopataka lakini hawakupi moyo wao.

Huko Mbagala watu wamevurugwa yaani naweza kusema ule ni Mkoa ambao upo ndani ya Jiji hili Dar es salaam.

Huu ndio Mji unaotoa hela na kuzitawanyisha kwa watu wamikoani. Hata ufanye nini huwezi kuukataa huu Mji wa Dar.

HUU mji ni kama maji vile usipoyaoga, utakunywa au kunawa yaani huwezi kuukimbia.

Kwa ufupi Jiji la Dar es salaam hauna maadui
Yaani Rafiki kwa kila mkoa.


Utaitwa Handsome hata kama sura mbaya, na hii ndo Daslam unakana kwenu huna haya?
IMG_20240615_173329.jpg
 
Dar kero nyingi sana. Ukiwa na hela sawa ila sasa wenye hela ni asilimia ndogo sana wengi maisha yakwaida tu.

Juzi nimeona mwanamke amebanwa kwenye mwendokasi mpaka anataka kukata roho analia tu "yesuuuuuu nakufaaaa".

Shida zote hizo za nini?
Huwezi kuniambia chochote kuhusu Dar ,hao wanaoishi mikoa mingine huko wao waendelee tu kuishi.
 
Back
Top Bottom