Mji wa Goma (mashariki mwa DRC) watanda giza

Mji wa Goma (mashariki mwa DRC) watanda giza

JW wanapigana vita wasivyoweza kushinda.

Pumbavu tunapoteza tu vijana wetu kwa mambo ya kifala.
 
Mkuu kabila kafa 2009?. Mzee amekufa kitambo sisi tulikua congo 2003 wakati wanataka wampindue kabila mtoto. Sasa anasemeje 2009? Kama 2003 walitaka kumpindua mwanae
Alifa ndio makubaliano yanakufa? Hakuna makaratasi?
 
Soon nchi ya Kivu ita tangazwa,na mjini Goma UN,SADC wameanza kutoka na Jeshi la DRC lapewa 48hrs kuweka Siraha chini otherwise watapigwa vibaya. Kisekedi aliambiwa malanyingi ayamalize na wa congoman wenzake akawakana eti sio wa congo ni wanyarwanda,nchi ikimegwa 95% yeye ndio muhusika.
 

Attachments

  • HlAvknGDfnLecXOW.mp4
    1.1 MB
  • FrSqONcr7aXtvjrQ.mp4
    1.7 MB
  • 20250126_100242.jpg
    20250126_100242.jpg
    155.9 KB · Views: 2
  • 20250126_100239.jpg
    20250126_100239.jpg
    218.5 KB · Views: 1
  • 20250126_063430.jpg
    20250126_063430.jpg
    55.3 KB · Views: 2
  • 20250126_063428.jpg
    20250126_063428.jpg
    149.5 KB · Views: 1
  • Z3D9OKEJl5JYmKZX.mp4
    1.1 MB
Kwa hali ilivyo sasa ni kama haiwezekani tena.Labda Mungu mwenyewe aingilie kati.mpaka rasilimali zote zitakapoisha congo ndiyo itatulia. iko hiv,jesh la congo linaongozwa na waasi bila watu kujua.kuna watu walishaingizwa jeshini na wako kwenye nafasi za juu kabisa kwa maslahi ya mataifa mengine
Absolutely.
Watu wengi wasichokijua ni kwamba ndani ya Jeshi la Congo DR kuna Waasi wengi sana ambao wanawaunga mkono Wapinzani wa Utawala wa nchi hiyo na pia wamekuwa wakiwapatia taarifa zote kabisa muhimu kwa Wapiganaji wa Vikosi vya Waasi wa M23.
But all in all, hata mmoja wa Wanajeshi aliyewahi kuwa Mkuu wa Majeshi ya Congo DR (Zaire) hapo miaka ya nyuma pia aliwahi kuwa Mkuu wa Majeshi wa nchi ya Rwanda.
 
Nawahurumia sana hao watu wa Drc


Madini ya Coltan yamwaga mifereji isiyoisha ya damu nchini DRC kupitia vita

View: https://m.youtube.com/watch?v=_6H0SSHFtkY
Simu ya mkononi ni kipande cha ajabu cha uhandisi. Lakini angalia ndani. Kuna damu kwenye mashine hii. Kuna damu kwenye kifaa hiki kwa sababu simu yako ya mkononi ina saketi ndogo za kielektroniki, na hazingeweza kufanya kazi bila madini yanayoitwa COLTAN.

Inachimbwa mashariki mwa Kongo. Kuna damu hapa, damu ya Wakongo wanaokufa katika mzozo mbaya. Mahitaji ya nchi za Magharibi kwa Coltan, inayotumika katika simu za mkononi na kompyuta, yanafadhili mauaji nchini Kongo.

Chini ya uangalizi wa karibu wa wanamgambo wa waasi, watoto wenye umri wa miaka kumi wanafanya kazi migodini kuwinda dhahabu hii nyeusi.

Blood Coltan anafichua mtandao wa maslahi makubwa yanayolinda biashara hii ya damu. Kutana na wababe wa vita wenye nguvu wanaowafanya watu wa ndani kuwa watumwa na wafanyabiashara wa Ulaya wanaoendelea kuagiza Coltan, kinyume na Umoja wa Mataifa
 
Absolutely.
Watu wengi wasichokijua ni kwamba ndani ya Jeshi la Congo DR kuna Waasi wengi sana ambao wanawaunga mkono Wapinzani wa Utawala wa nchi hiyo na pia wamekuwa wakiwapatia taarifa zote kabisa muhimu kwa Wapiganaji wa Vikosi vya Waasi wa M23.
But all in all, hata mmoja wa Wanajeshi aliyewahi kuwa Mkuu wa Majeshi ya Congo DR (Zaire) hapo miaka ya nyuma pia aliwahi kuwa Mkuu wa Majeshi wa nchi ya Rwanda.
Ni Wanyankole na Watutsi hakuna Waasi Congo
 
Matatizo ya DRC yanasababishwa na Rwanda kinachoshangaza Viongozi wa Afrika wapo kimya huku raia wakipata tabu kwa sababu ya mali zilizopo kwenye Nchi yao inasikitisha sana..
Na cha kushangaza zaidi kuna watu wanamsifu huyo Kagame kuwa amekuza uchumi wa rwanda mara sijui rwanda ni bora.Kumbe ni majizi tu how on earth mtu wa namna hiyo anaonekana shujaa.
 
Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo imeamuru Rwanda kusitisha shughuli zake zote za kidiplomasia na za kibalozi nchini humo ndani ya saa 48.

Mamlaka ya Congo na wataalam wa UN wanaishutumu Rwanda kwa kuwasaidia waasi nchini humo ingawa Rwanda imekanusha mashtaka hayo mara kwa mara.
 
Na cha kushangaza zaidi kuna watu wanamsifu huyo Kagame kuwa amekuza uchumi wa rwanda mara sijui rwanda ni bora.Kumbe ni majizi tu how on earth mtu wa namna hiyo anaonekana shujaa.
Kuikatiza Rwanda kutokea Goma, DRC ni hatari sana niliwahi kwenda DRC wakati wa kurudi gari waliisechi balaa wakidhani nimefata dhahabu Goma wakati nilikua nimeenda kuweka mikataba na mteja alikua anahitaji Jeep kutoka SA na hela zilitumwa nikiwa Goma kwenda SA na mikataba walisoma lakini wakaendelea kutafuta dhahabu kwenye gari ila hawasemi wanachokitafuta..wakipata dhahabu wanakuweka jela yao ina mto chini na kupokonywa kila kitu Rwanda sio sehemu salama kabisa..
 
Wamarekani ni Wapumbavu sana...
America wako na Kagame..
Wao ndo wanawawezesha hao M23..
Ni ujinga viongozi Wa Africa kukubali huu uhayawani...
Hapana Afrika imegawanywa kuna nchi zinazozungumza Kifaransa na Nyingine zinazungumza Kiingereza sasa Marekani haiwezi kuingilia makoloni ya Mfaransa.
 
Back
Top Bottom