Unaandika vitu vingi sana,nikataka kujua umri wako ili nikamilishe research yangu ndogo ya umri mkubwa au mdogo na it's effect kwenye kujua vitu vingi tofauti tofauti.a) 20-25 hapo mkuu
Mimi siwezi andika neno moja kama yule member kila uzi anaaandika "aisee..." ndio ashamaliza hivo. Ndo maana siandiki thread, litakuwa gazeti. Unakuta nachomekea idea kwenye uziUnaandika vitu vingi sana,nikataka kujua umri wako ili nikamilishe research yangu ndogo ya umri mkubwa au mdogo na it's effect kwenye kujua vitu vingi tofauti tofauti.
πππ...
ππwe jamaa bhanaVipi hawajafanyiwa tohara?
Maana maeneo hayo wanapenda sana kuharibu utamu wa mwanamke.
Jana nmepitia hapo nmewasaka mbn siwaoni nmeenda adi hapo Red Stone na Sparrow holla naenda zangu Arusha kuwatafutaMalaya sana hao wadada..mimi ninafanya kazi hapa toka mwaka jana mwanzoni,aisee hawana tabia nzuri kwa kweli,kuoa hawa ni mpaka uwe mlevi mlevi tu wa virabuni usiye jitambua