Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla ya CORONA watu walikuwa hawafi? Wale wote waliozikwa Kisutu, Ilala au Kinondoni walikufa kwa Corona?Waziri ummy ajiuzulu kwa sababu watu wanakufa hovyo kwa uzembe wa rais magufuli ? Siyo Tanzania hiyoo
Hivi wew dada ukiwa kwa siku zako unagongwa tu siku yeyote wew unagongwa tu ona sasa uharo unaotoa huku jf.Kuna ndugu yako amekufa? Au mihemuko ya jamii forum inakuendesha?
Jamii Forum "The home of great thinkers"..Lete na takwimu za malaria huko
Tatizo akili ndogo hazijaelewa kuwa corona ni mafua tu
Mara ya mwisho nilimuona Kayafa akikohoa kohoa sana... Baada ya hapo alisusia vikao vyote vya online vilivyofuata...Ummy akiachia ngazi Magufuli atamteua Mwigulu. Wanaendana yani wote magarasa. Mwigulu alishauri tusipime kabisa na tusitaje data yoyote. Hahaha. Yani kazi ipo.
TISS kimyaa. Uzuri covid haijawahi kuni let down.
Imemdondosha mdogo wake yule boss wa usalama. Na wasipokuwa makini itakula pale top 3
Bila data lazima tutabakia kama kisiwa cha covidUmmy akiachia ngazi Magufuli atamteua Mwigulu. Wanaendana yani wote magarasa. Mwigulu alishauri tusipime kabisa na tusitaje data yoyote. Hahaha. Yani kazi ipo.
TISS kimyaa. Uzuri covid haijawahi kuni let down.
Imemdondosha mdogo wake yule boss wa usalama. Na wasipokuwa makini itakula pale top 3
Kuna ndugu yako amekufa? Au mihemuko ya jamii forum inakuendesha?
Lete na takwimu za malaria huko
Tatizo akili ndogo hazijaelewa kuwa corona ni mafua tu
Vipi unataka uchukue nafasi yake? Huyo ni askari hawezi kimbia vita!
hawezi jibu.akijujibu naacha kuwatafuna.
wazushi sana hawa vitumbua
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri nyie wote niliowaquote nilishawa ignore,ngoja siku huu ugonjwa ubishe hodi kwenye familia zinazowanguka tuone Kama mtakuja hapa na huu ugoro wenuKabla ya corona watu ilikiwa hawafi kwa magonjwa mbalimbali hapa Tanzania. Za kuambiwa changanya na zako
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe hata ungewekwa ndondocha usingeleta helaLete na takwimu za malaria huko
Tatizo akili ndogo hazijaelewa kuwa corona ni mafua tu
🤣🤣🤣Alikufa kwa corona ? Hujui walevi hufia barabarani pia?
Hivi hamna uwezekano wa kumpiga mtu Ban kwa kuongoza kuchangia ujinga??Lete na takwimu za malaria huko
Tatizo akili ndogo hazijaelewa kuwa corona ni mafua tu
Huyu jamaa ni kuachana nae hata ikiwezekana usisome comments zake maana unaweza tukana kwa sauti.Wewe hata ungewekwa ndondocha usingeleta hela
Wewe kulakulala unashinda kwa shemeji utaona korona mtaa ganiKm hali ya corona ni mbaya km mnavyobwata mtandaoni tungeona mtaani
ugonjwa nishaupata na umeisha kwa sababu sina chuki na tanzania yangu nchi ya baba na mama yangu.Uzuri nyie wote niliowaquote nilishawa ignore,ngoja siku huu ugonjwa ubishe hodi kwenye familia zinazowanguka tuone Kama mtakuja hapa na huu ugoro wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
We vipi weweLete na takwimu za malaria huko
Tatizo akili ndogo hazijaelewa kuwa corona ni mafua tu