Oii
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 3,930
- 3,128
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waziri ummy ajiuzulu kwa sababu watu wanakufa hovyo kwa uzembe wa rais magufuli ? Siyo Tanzania hiyoo
Umetuignore afu unatujibuUzuri nyie wote niliowaquote nilishawa ignore,ngoja siku huu ugonjwa ubishe hodi kwenye familia zinazowanguka tuone Kama mtakuja hapa na huu ugoro wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafanana sana na Chapombe Mwita Waitara, kama wewe siyo yeye akili zako ni zake.Lete na takwimu za malaria huko
Tatizo akili ndogo hazijaelewa kuwa corona ni mafua tu
Kabla ya corona watu ilikiwa hawafi kwa magonjwa mbalimbali hapa Tanzania. Za kuambiwa changanya na zako
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuna msamiati huoWaziri ummy kuepusha lawama angebwga manyanga tu, hali ilivyo sio kabisa kama mipakani kupo hivyo je ndani kupo vipi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa viongozi wetu kujiuzulu haipo katika kamusi.Waziri ummy ajiuzulu kwa sababu watu wanakufa hovyo kwa uzembe wa rais magufuli ? Siyo Tanzania hiyoo
Wamesoma lakini hawajaelemika,kazi kweli kweli.Yaani mnaishia KUPAYUKA tu, pasiko kujenga hoja ya nini kifanyike wakati huu? Inasikitisha sana kuwa na raia wa mfano wako.
Acha ujinga ,malaria inadawa na inatibika.C-19 haina dawa hata ikiuwa mtu mmoja.Kwa mini Ebola watu wanataka macho hata alikipata mtu mmoja.Acha ujinga wa kipungavu weweLete na takwimu za malaria huko
Tatizo akili ndogo hazijaelewa kuwa corona ni mafua tu
Wangeshirikiana kwa pande zote mbili za Nakonde na Tunduma kuwapima watu wote ili kujua ukubwa wa tatizo,na kuchukua hatua mara mmoja.Na kwa taarifa tu:
1. Tunduma ni kubwa sana kukiko Nakonde - hasa eneo linalokaliwa na watu.
2. Watanzania ni kusema wameivamia Nakonde kwa shughuli mbalimbali za kiuchumi - hasa biashara. Ikumbukwe Watanzania wana maduka Nakonde.
3. Kabla na hata baada ya kutanua mpaka, si rahisi kujua tofauti ya Nakonde na Tubduma. Watanzania huenda kuhemea mahitaji yao ya kawaida Nakonde kana kwamba wanaenda mtaa mwingine.
4. Je unaweza kukisia maambukizi ya Covid Tunduma? Sina lengo la kuwatisha.
Nakonde na Tunduma ni kama mitaa ya mji mmoja.Wangeshirikiana kwa pande zote mbili za Nakonde na Tunduma kuwapima watu wote ili kujua ukubwa wa tatizo,na kuchukua hatua mara mmoja.
Kama kweli idadi ya maambukizi ya Nakonde ni ya kweli,basi Tunduma maambukizi yanaweza kuwa makubwa sana,sio ishara nzuri.
Corona sio siasa ni kirusi hatari hakiogopi una mabavu kiasi gani au una degree ngapi ni maangamizi kwa kwenda mbele.
We kituko umeambiwa maambukizi ya covid19 itabidi moderators waweke utaratibu interview kabla watu hawajaingia humu maana kuna mazombie mengiLete na takwimu za malaria huko
Tatizo akili ndogo hazijaelewa kuwa corona ni mafua tu