Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]........ Eti nitapungukiwa figo, bado sijampata japo naamini nitapata mke mwema kama inavyosemwaSasa we ukisema tu huna utapungukiwa figo ama ? Nilichokuwa namaanisha ni utulie na mke,girlfriend nk kama unaye.[emoji57]
Duh......Aya kumbuka tena ukatapike....!dah
Kweli we mgeni, hujui tofauti ya matiti na sponji..!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwahiyo shoga alikupa oral sex.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akakukula na mate[emoji23][emoji23][emoji23]
Vipi๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ
Vipi
Noma sana! Asee we jamaa.. ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃWikiendi moja niko zangu kwenye kilaji ndio nilikutana na hili jinamizi lililojipachika jina la Sarah, tunaburudishwa tu na hawa warembo wanaofanya kazi kwenye sekta yao isiyo rasmi (kujiuza) muda huo mi najifanya mgumu tu sitaki mazowea na sketi wala vimini na hata kuhudumiwa nilichagua kijana mwenzangu anihudumie kinywaji.
Matatizo yalianza ilipofika bia nadhani ya 5 au 6 hivi akaingia mdada wa kawaida tu sio mnene sana wala huwezi kusema ni mwembamba, kifupi ana umbile ambalo ndio ugonjwa wangu mkubwa, wakati anaangaza sehemu ya kwenda kukaa nikawa nimeshajua kuwa huyu sio mteja ila ni mboga hii nikamuita kwa ishara za siri wale wadau wa kupiga top hizi mboga watakuwa wanaelewa, akaja mezani kwangu akanirushia salamu na mi nikamkaribisha aketi.
Piga kinywaji na stori kwa sana huku naona uzuri wa yule mgeni wangu unazidi kuongezeka, moyoni nikawa nazilaumu kamati za mashindano ya urembo kushindwa kuwaona warembo kama huyu aliyeko hapa mbele yangu, majibu ya bia ni kuanza safari za lazima kwenda na kutoka maliwatoni mgeni wangu akiwa ni mmoja wao, kila akiinuka naliangalia umbo lake najisemea moyoni tu "hiii yani leo nitapiga tako la viwango vya dunia"
Kila akirudi kutoka maliwatoni tunajifanya tumeshakuwa wazungu tunapokeana tunakumbatiana mabusu kama yote achilia mbali hizi mnazoita denda sijui nini, lakini sasa kila nikataka kujaribu kupenyeza mkono kwa chini (alikuwa kavaa mini sketi moja matata sana) ili nipime oil naona ananizuia, nimejaribu kama mara 3 hivi anagoma nikajua labda hapendi tu.
Vumilieni ni ka stori karefu kidogo, kama saa 7 hivi tukakokotana kwenda kulala lodge, fika room akawa wa kwanza kufanya utangulizi wa shoo piga sana madenda nikanyonywa sana gegedeo tena kwa ufundi mkubwa kila kitu tulifanya vizuri tu, ndani ya muda mfupi mi nimeshachojoa kila kitu yeye akainuka kwenda kuzima taa, nikaona ni kawaida tu, akarudi keshavua.... Kawaida yangu hata iweje lazima kidole kizame kwanza kwenye papuchi kwa ukaguzi zaidi kabla sijaanza kupiga UNO, hapo ndio nikapata mshituko mkubwa nilipokutana rungu kama nilivyo mimi tu.
Nikatoka kitandani nikawasha taa.
wewe nini hiki......
Nikamuuliza
Usijali baby kwani cha ajabu nini njoo bwana tufanye kilichotuleta humu
Eti bila aibu likanijibu ivo kwa sauti ya puani, nikaanza kupata kichefuchefu nilipokumbuka tulinyonyana ulimi, sikumjibu kitu nikaanza kuvaa nguo zangu, likanifuata limefura kwa hasira eti usinizungue we kaka kama umeahirisha nipe changu la sivyo nitakujazia watu hapa, mi namcheki tu huku nimejaa hasira.
Nilipomaliza kuvaa nikamgeukia nikamwambia kwa msisitizo "ukiniacha niondoke bila wewe kunijazia hao watu litakuwa ni jambo jema sana kwako, lakini ukipuuza hili ukaamua kuwajaza hao watu basi utakuwa umewaalika kuja kushuhudia mzoga wako humu ndani" kisha nikamsukuma pembeni nikafungua mlango (alikuwa ameziba pale mlangoni) nikatoka zangu nje.
Sasa nimeshasikia maneno mshenzi yule eti anatangazia watu kwamba mi nina kibamia.
Ameshazama topeni huyo jamaa! Hapa anazuga tuu๐ฅด๐ฅดSi useme tu ukweli kua umetafuna mkusti wa gasho[emoji38]
Amen na upate wa kufanana naye.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]........ Eti nitapungukiwa figo, bado sijampata japo naamini nitapata mke mwema kama inavyosemwa
Huu msamiati mpya mjini๐Si useme tu ukweli kua umetafuna mkusti wa gasho[emoji38]
Msamiati wangu for years[emoji16]Huu msamiati mpya mjini[emoji28]